iqna

IQNA

Wanazuoni Mashuhuri wa Ulimwengu wa Kiislamu /21
TEHRAN (IQNA) – Sheikh Abd al-Hamid Kishk alikuwa mhubiri wa Misri, mfasiri wa Qur'ani, msomi wa Uislamu, mwanaharakati, na mwandishi. Alikuwa miongoni mwa wahubiri mashuhuri katika ulimwengu wa Kiislamu na ameacha turathi ya hotuba zaidi ya 2,000.
Habari ID: 3476635    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/02/27