iqna

IQNA

kanaani
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani wimbi la kuvunjiwa heshima Qur'ani Tukufu na makundi yenye misimamo mikali ya mrengo wa kulia nchini Denmark na katika nchi nyingine za Ulaya.
Habari ID: 3476779    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/29