Mauaji
TEHRAN (IQNA)- Rais William Ruto wa Kenya ameunda tume ya kuchunguza mauaji katika kanisa moja katika kaunti ya Kilifi eneo la pwani nchini humo na halikadhalika ameunda jopo kazi la kuchunguza taasisi za kidini nchini humo.
Habari ID: 3476958 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/05