Nchi tofauti mbalimbali zimepongeza makubaliano yaliyofikiwa hivi karibuni kati ya Iran na madola 6 yenye nguvu duniani kuhusiana na shughuli zake za nishati ya nyuklia. Pakistan imekaribisha makubaliano hayo ambapo Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hiyo imesema, Pakistan ikiwa nchi ndugu na jirani na Iran siku zote imekuwa ikisisitiza umuhimu wa kadhia hiyo kutafutiwa suluhusho la amani. Uturuki pia imekaribisha makubaliano hayo ya nyuklia kati ya Iran na kundi la 5+1 na Rais Abdallah Gul wa nchi
Habari ID: 1323865 Tarehe ya kuchapishwa : 2013/11/26