iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA)- Wanajeshi wa Saudi Arabia wanaendelea kuwaua na kuwakandamiza Waislamu wa madhehebu ya Shia katika mji wa al-Awamiyah mashariki mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3470985    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/19

IQNA: Umoja wa Mataifa umeonya kuwa baa la njaa limeenea katika nchi kadhaa za Afrika na Yemen ambapo mamilioni ya watu wakiwa katika hatari ya kupoteza maisha.
Habari ID: 3470866    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/23

IQNA- Mwanamke Mwislamu amekataa kumpa mkono Rais wa Ujerumani lakini Waziri wa Ulinzi wa Saudia amempa mkono mwanamke ambaye ni waziri wa ulinzi wa Ujerumani.
Habari ID: 3470751    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/20

IQNA-Gazeti moja mashuhuri nchini Brunei limefungwa baada ya kuandika kuwa matatizo ya kiuchumi Saudi Arabia yameipelekea iongeze kwa kiasi kikubwa bei ya Visa ya Hija.
Habari ID: 3470664    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/09

IQNA-Saudi Arabia inaendeleza vita vya siri dhidi yay a Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na, Ushia na Waislamu wa madhehebu ya Shia kupitia akaunti bandia za mitandao ya kijamii, imefichuliwa.
Habari ID: 3470656    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/06

Harakati ya Ansarullah nchini Yemen imekanusha madai ya Saudia kuwa imeshambulia msikiti wa Makkah.
Habari ID: 3470642    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/30

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran hatua ya Saudia kuwaua watoto nchini Yemen ni sawa na jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel ambao umekuwa ukiwaua watoto Wapalestina huko Ghaza na pia nchini Lebanon.
Habari ID: 3470625    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/21

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
Khatibu wa Sala ya Ijumaa mjini Tehran amesema a uungaji mkono madola ya Magharibi kwa mashambulizi ya ndege za kivita za Saudia huko Yemen, ndiyo sababu ya kushadidi mgogoro na kuuliwa raia wasio na hatia.
Habari ID: 3470612    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/14

Raia wasiopungua 160 wameuawa kinyama katika mji mkuu wa Yemen Sana'a baada ya ndege za kijeshi za Saudi Arabia kuwashambulia walipokuwa katika kikao cha mazishi.
Habari ID: 3470606    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/09

Ubalozi wa Saudia Arabia nchini Morocco umekosolewa vikali na Waislamu baada ya kuenea picha za kuvunjiwa heshima nakala za Qur'ani Tukufu katika ubalozi huo.
Habari ID: 3470597    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/03

Abdul-Malik Badreddin al-Houthi
Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah nchini Yemen amesema Marekani ndiyo iliyotoa amri ya kushambuliwa nchi hiyo.
Habari ID: 3470574    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/21

Nyaraka za Siri
Huku Saudi Arabia ikijaribu kudai kuwa Ibada ya Hija iliandaliwa kwa mafanikio mwakubwa mwaka huu bila tatizo lolote, ripoti iliyovuja inaonyehsa kuwa mahujaji zaidi ya 800 walifariki wakati wa Hija.
Habari ID: 3470571    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/19

Balozi wa Uingereza nchini Saudi Arabia, Simon Collis, ametekeleza ibada ya Hija mwaka huu baada ya kusilimu.
Habari ID: 3470563    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/14

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekosoa madai yasiyo na msingi ya Saudi Arabia dhidi yake na kutoa wito kwa watawala wa Riyadh kutoruhusu 'ndoto' kutawala vitendo vyao Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3470546    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/03

Saudi Arabia imemkamata mwanazuoni mkubwa wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo.
Habari ID: 3470451    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/07/13

Kiongozi wa Ansarullah Yemen
Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen amesema watu wa nchi yake watailinda ardhi yao na hawatatoa muhanga 'heshima' na 'uhuru' mbele ya hujuma zisizo na kikomo za Saudi Arabia.
Habari ID: 3385390    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/14