TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Saudia imefungua tena Msikiti Mtakatifu wa Makka (al-Masjid al-Ḥaram) na Msikiti Mtakatifu wa Mtume SAW (Al Masjid an Nabawi) baada ya kufunga kwa muda maeneo hayo mawili matakatifu (Haramein) kutokana na hofu ya kuenea kirusi cha Corona.
Habari ID: 3472537 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/06
TEHRAN (IQNA) – Saudi Arabia inakusudia kutekeleza adhabu ya kifo dhidi ya vijana watano ambao walikamatwa miaka kadhaa iliyopita wakiwa watoto wadogo.
Habari ID: 3472529 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/03/04
TEHRAN (IQNA) - vikosi vya jeshi la Yemen vimefanya mashamblizi mengine ya kulipiza kisasi kwa kutumia makombora dhidi ya taasisi za shirika kubwa zaidi la mafuta la Saudi Arabia la Aramco katika mkoa wa Madina, magharibi mwa Saudia.
Habari ID: 3472495 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/22
TEHRAN (IQNA) - Huku vita dhidi ya Yemen vikikaribia kutimiza mwaka wake wa tano, Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE au Imarati) ambayo inaunda muungano wa kivita unaoongozwa na Saudi Arabia imo mbioni kuondoa majeshi yake yote katika nchi hiyo.
Habari ID: 3472486 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/19
TEHRAN (IQNA) – Jeshi la Yemen lime imetangza kuwa limeshambulia taasisi za shirika kubwa zaidi la mafuta la kusafisha mafuta Saudi Arabia la Aramco katika eneo la Jizan karibu na Bahari ya Sham.
Habari ID: 3472419 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/30
TEHRAN (IQNA) – Tarjumi ya Qur'ani Tukufu kwa lugha ya Kiebrania iliyochapishwa Saudia Arabia imepatikana ikiwa na makosa zaidi ya 300.
Habari ID: 3472411 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/01/27
TEHRAN (IQNA) Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Saudi Arabia zimetiliana saini mapatano kuhusu Ibada ya Hija katika mwa huu wa Hijria Qamaria.
Habari ID: 3472264 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/09
TEHRAN (IQNA) – Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah ya Yemen ametahadharisha hujuma ya muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia dhidi ya nchi hiyo na kusisitiza kuwa, amani haiwezi kurejeshwa nchini humo kupitia nguvu za kijeshi.
Habari ID: 3472193 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/29
TEHRAN (IQNA) - Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa taarifa baada ya kushambuliwa meli ya mafuta ya Iran karibu na bandari ya Jeddah, Saudi Arabia katika Bahari ya Shamu.
Habari ID: 3472167 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/11
Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon
TEHRAN (IQNA) - Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amekosoa msimamo wa baadhi ya nchi na asasi kuhusu shambulizi la ulipizaji kisasi la Jeshi la Yemen dhidi ya vituo vya kusafisha amfut aya petroli nchini Saudi Arabia na kusema, misimamo hiyo inaonyesha kuwa mafuta ya petroli yana thamani zaidi ya damu ya mwanadamu.
Habari ID: 3472141 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/21
TEHRAN (IQNA) – Rais Vladimir Putin wa Russia amenukulu aya kadhaa za Qur'ani Tukufu katika kutoa wito wa kumalizika vita dhidi ya Yemen ambavyo vilianzishwa miaka mitano iliyopita na muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia.
Habari ID: 3472133 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/17
TEHRAN (IQNA) – Mkuu wa Shirika la Hija na Ziara za Kidini Iran Ali Reza Rashidian amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefanya mazungumzo na Saudi Arabia kuhusu Wairani kuanza tena kutekeleza Ibada ya Umrah.
Habari ID: 3472130 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/15
TEHRAN (IQNA) – Mchunguzi maalumu wa Umoja wa Mataifa ametangaza kuwa ushahidi unaonyesha mrithi wa ufalme wa Saudi Arabia na maafisa kadhaa wa ngazi ya juu wa ufalme huo walihusika na mauaji ya mwandishi habariJamal Khashoggi.
Habari ID: 3472008 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/20
TEHRAN (IQNA) - Vikosi vya Yemen vimetekeleza shambulizi jingine la ulipizaji kisasi kwa kuulenga uwanja wa ndege wa Abha, katika mkoa wa Asir kusini mwa Saudi Arabia. Shambulizi hilo limetekelezwa ikiwa ni katika kulipiza kisasi jinai dhidi ya Wayemen ambazo zimekuwa zikitekelezwa na Saudia na waitifaki wake katika kipindi cha miaka minne sasa.
Habari ID: 3472005 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/17
TEHRAN (IQNA)- Saudi Arabia inaendelea kulaaniwa kimataifa kw akuwanyonga raia wan chi hiyo kutokana na itikadi zao zinazokinzana na zile za watawala wa ukoo wa Aal Saud.
Habari ID: 3471928 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/24
TEHRAN (IQNA)- Mfalme Salman Bin Abdulaziz wa Saudi Arabia ameitembelea Bahrain katika safari fupi na kufanya mazungumzo na mfalme wa nchi hiyo Hamad bin Isa Aal Khalifa.
Habari ID: 3471898 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/04
TEHRAN (IQNA)- Kamati ya Bunge la Uingereza ambayo ilikuwa na jukumu la kuchunguza mauzo ya silaha za nchi hiyo mwaka 2017 imelaaniwa vikali kwa kupuuza uuzaji wa silaha kwa Saudi Arabia nchi ambayo inawaua raia kiholela katika vita vya Yemen.
Habari ID: 3471838 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/12
TEHRAN (IQNA)- Morocco imejiondoa katika muungano wa kijeshi unaoongozwa na Saudi Arabia katika vita dhidi ya Yemen.
Habari ID: 3471836 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/10
Inna Lillah wa Inna Ilayhi Rajioun
TEHRAN (IQNA)-Mtu mwenye chuki za kimadhehebu amemuua mtoto aliyekuwa na umri wa miaka sita, mbele ya mama yake katika mji mtakatifu wa Madina nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3471835 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/09
TEHRAN (IQNA)- Ajuza mwenye umri wa miaka 75 nchini Saudi Arabia amefanikiwa kuhifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu.
Habari ID: 3471820 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/01/27