IQNA: Daktari mwenye umri wa miaka 32 anatarajia kuwa Mwislamu kwa kwanza gavana nchini Marekani baada ya kutangaza nia ya kugombea ugavana wa jimbo la Michigan.
Habari ID: 3470875 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/03/03
IQNA-Mwanae bingwa wa masumbwi duniani marehemu Muhammad Ali, ametiwa mbaroni katika uwanja wa ndege wa jimbo la Florida nchini Marekani kwa sababu tu an jina la Kiislamu.
Habari ID: 3470868 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/26
Sayyid Hassan Nasrallah
IQNA-Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, harakati hiyo hauuogopi utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wala shetani mkuu Marekani.
Habari ID: 3470854 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/17
IQNA-Idadi ya makundi yanayowapinga Waislamu yammeongezeka karibu mara tatu Marekani mwaka 2016 baada ya kuanza kampeni za urais za Donald Trump.
Habari ID: 3470853 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/17
IQNA: Waislamu nchini Marekani wameingiwa na hofu Zaidi baada ya mabango yenye maandishi ya "Marekani isiyo na Waislamu'' kupatikana Jumatatu katika Chuo Kikuu cha Rutgers mjini New Jersey siku ya Jumatatu.
Habari ID: 3470850 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/15
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA:Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa taifa la Iran litajibu vitisho vilivyotolewa na Rais Donald Trump wa Marekani katika maadhimisho ya ushindi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran Ijumaa ijayo.
Habari ID: 3470839 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/07
Ubaguzi wa Trump
IQNA: Polisi nchini Marekani wamemtia mbaroni na kumfunga pingu mtoto wa miaka mitano Muirani katika hatua ya ubaguzi iliyojiri huko Uwanja wa Ndege wa Jimbo la Virginia.
Habari ID: 3470830 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/02/02
IQNA: Chuki dhidi ya Waislamu na Uislamu zinaendelea kushika kasi Marekani huku msikiti mwingine ukiteketezwa moto katika katika jimbo la Texas.
Habari ID: 3470820 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/29
IQNA: Baada kuapishwa Donald Trump kama rais wa Marekani, Imamu aliyealikwa katika ibada maalumu alisoma aya za Qur’ani ambazo zilikuwa na ujumbe wa wazi kwa rais huyo na utawala wake.
Habari ID: 3470807 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/23
IQNA: Watu wenye chuki dhidi ya Uislamu wameuteketeza moto msikiti katika mji wa Bellevue, jimboni Washington nchini Marekani.
Habari ID: 3470797 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/15
IQNA-Waislamu wawili wametimuliwa kutoka ndege ya shirika moja la Marekani mjini London baada ya wasafiri kadhaa Waingiereza kulalamika kuwa walimsikia mmoja wao akizungumza kwa lugha ya Kiarabu kwa simu.
Habari ID: 3470753 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/22
IQNA- Mbunge wa kwanza mwenye asili ya Kisomali kuchaguliwa nchini Marekani amemdhalilisha na dereva wa teksi ambaye amemtusi kwa maneno ya chuki dhidi ya Uislamu mjini Washington.
Habari ID: 3470724 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/08
IQNA-Viongozi wapatao 300 wa jamii ya Waislamu nchini Marekani wamemwandikia barua ya wazi Rais mteule wa nchi hiyo Donald Trump likiwa ni jibu kwa matamshi ya chuki aliyotoa dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3470721 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/06
IQNA: Bilionea Mzayuni anayefadhili cha Democrat nchini Marekani anapinga kuteuliwa mjumbe Mwislamu katika Bunge la Kongresi kuwa mwenyekiti wa Kamati ya Kitaifa ya chama hicho.
Habari ID: 3470717 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/05
IQNA-Viongozi wa jamii ya Waislamu Marekani wamelaani vikali hujuma ya kigaidi katika jimbo la Ohio, ambapo mwanafunzi mmoja wa Marekani mwenye asili ya Somalia aliwashambulia kwa kisu wanachuo wenzake.
Habari ID: 3470704 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/29
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, hatua ya Marekani kurefusha vikwazo dhidi ya Iran kwa miaka 10 zaidi, bila ya shaka yoyote ni uvunjaji wa makubaliano ya nyuklia yanayojulikana kwa jina maarufu la JCPOA.
Habari ID: 3470694 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/23
IQNA- Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) limebainisha masikitiko yake baada ya bondia wa kike Mwislamu kupigwa marufuku Marekani kwa ajili ya vazi lake la Kiislamu la Hijabu.
Habari ID: 3470693 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/23
IQNA-Rais-mteule wa Marekani Donald Trump amewateua watu wenye chuki dhidi ya Uislamu kuhudumu katika Ikulu ya White House jambo linanloashiria muendelezo wa sera zake za chuki ambazo zimewatia hofu Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3470684 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/19
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran daima imekuwa ikishuhudia uadui kutoka kwa vyama viwili vikuu vya Marekani.
Habari ID: 3470680 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/16
IQNA-Khatibu wa Swala ya Ijumaa katika mji wa Tehran amesema kuwa taifa la Iran halitauamini utawala wowote unaoingia madarakani huko Marekani.
Habari ID: 3470670 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/12