Kuuliwa vijana watatu wanachuo Waislamu katika jimbo la Carolina Kaskazini nchini Marekani ni kitendo kinachopaswa kulaaniwa na ni kiashiria kingine cha hatari kubwa ya kuenea kwa vitendo vya ukatili na uchupaji mipaka.
Habari ID: 2858484 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/16
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon ameeleza katika taarifa yake kuwa Waislamu watatu waliouawa hivi karibuni mjini Chapel Hill nchini Marekani walikuwa wakishiriki kwenye shughuli za utoaji misaada ya kibinadamu na ni wawakilishi wa thamani bora za uraia wa ulimwengu mzima.
Habari ID: 2851644 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/15
Maelfu ya watu wamehudhuria mazishi ya wanachuo watatu Waislamu ambao waliuawa kwa kupigwa risasi katika mji wa Chapel Hill jimbo la Carolina Kaskazini.
Habari ID: 2846215 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/13
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema malengo na misingi ya Mapinduzi ya Kiislamu haiwezi kubadilika.
Habari ID: 2840031 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/11
Katika mwendelezo wa chuki dhidi ya dini na matukufu ya Kiislamu, Marekani imepiga marufuku adhana katika Chuo Kikuu cha Duke nchini humo.
Habari ID: 2736720 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/20
Waliul Amr wa Waislamu kote duniani
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema, umoja ni somo kubwa kutoka kwa Mtume wa Mwisho SAW na kwamba hivi sasa ni hitajio la dharura la umma wa Kiislamu.
Habari ID: 2689577 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/09
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inapaswa kuwa na aina ya kinga au chanjo ili kukabiliana na vikwazo inavyowekewa kutokana na miradi yake ya kuzalisha nishati ya nyuklia.
Habari ID: 2684306 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/01/07
Kongamano la Kimataifa la ‘Hatari ya Misimamo Mikali Na Utakfiri Kwa Mtazamo wa Maulamaa wa Kiislamu’ lilianza jana hapa nchini Iran katika mji Mtakatifu wa Qum kusini mwa Tehran kwa kuhuduriwa na mamia ya maulamaa na wanafikra wa Kiislamu kutoka madhehebu ya Shia na Sunni.
Habari ID: 2611223 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/11/24
Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon, Sayyid Hassan Nasrullah amesema, migogoro inayoendelea hivi sasa Mashariki ya Kati ina lengo la kuchora upya ramani ya eneo hili.
Habari ID: 1462702 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/21
Misikiti na vituo vya Kiislamu katika mji wa la Inland ndani ya jimbo la California, vimeendelea na juhudi zao za kuwafahamisha watu kuhusu Uislamu wa asili ambao unapenda amani na utulivu.
Habari ID: 1460941 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/10/17
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullahil-Udhmaa Sayyid Ali Khamenei amesema kuwa, mabadiliko yanayojiri hivi sasa yanatokana na kubadilika mfumo uliokuwa umeasisiwa na Wamagharibi wa Ulaya na Marekani, na kujitokeza mfumo mpya.
Habari ID: 1446839 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/06
Rais Hassan Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuendelea kimya na kutojali Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa UNSC ndio chanzo kikuu ambacho kimeufanya utawala wa Kizayuni wa Israel uendelee kupata kiburi cha kuendeleza jinai zake dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Ghaza.
Habari ID: 1435944 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/04
Huku utawala wa Kizayuni wa Israel ukiendeleza jinai za kivita na mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina wasio na ulinzi wala hatia huko katika Ukanda wa Ghaza, Marekani imejitokeza wazi kuunga mkono kwa hali na mali jinai za utawala huo bandia.
Habari ID: 1435160 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/08/02
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, vyombo vya mfumo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran hivi sasa vinalengwa na madola ya kibeberu ya Magharibi na hasa Marekani.
Habari ID: 1427548 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/07/08
Ayatullah Khatami
Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo mjini Tehran amesema, 'kundi la kigaidi la Daesh ni silaha mpya ya Marekani na madola mengine ya kibeberu inayotumiwa kwa lengo la kuvuruga usalama wa eneo la Mashariki ya Kati.
Habari ID: 1422882 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/06/27
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Marekani imeshindwa katika ndoto yake ya kubadilisha mfumo wa dunia.
Habari ID: 1411335 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/05/26
Amiri Jeshi Mkuu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran
Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, Marekani imekasirishwa na hatua ya taifa la Iran ya kusimama kidete mbele ya mgawanyiko wa dunia katika kambi ya mabeberu na wanaojisalimisha mbele ya mabeberu.
Habari ID: 1409603 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/05/22
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, iwapo taifa la Iran litajikita katika kuimarisha uwezo wa ndani ya nchi, basi Marekani na madola mengine makubwa hayawezi kuthubutu kufanya chochote dhidi ya nchi hii.
Habari ID: 1406967 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/05/14
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesema shughuli za ustawi na utafiti wa nyuklia Iran kamwe hazitasimamishwa.
Habari ID: 1392769 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/04/10
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, matukio ya ulimwengu yanakwenda kinyume na matakwa ya Marekani.
Habari ID: 1389136 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/03/21