Profesa Mkristo katika Chuo Kikuu cha Kikristo huko Illinois Marekani aliyevaa hijabu kubainisha mshikamano wake na Wa marekani Waislamu wanaobaguliwa ametimuliwa chuoni hapo.
Habari ID: 3465818 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/19
Donald Trump, mwanasiasa wa chama cha Republicans amesema baadhi ya waitifaki wa Marekani, ikiwemo Israel, wanaliunga mkono na kulipa misaada kundi la kigaidi la ISIS au Daesh.
Habari ID: 3463979 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/16
Mwanamke Marekani Muislamu mwenye asili ya Afrika ameapishwa kwa kutumia Qurani kuwa jaji, katika jimbo la Brooklyn.
Habari ID: 3463116 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/14
Mwanabondia mashuhuri duniani Mohammad Ali ametoa wito kwa Waislamu hasa nchini Marekani kusimama kidete na kuwalaani wale wanaoeneza chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3462056 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/11
Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani CAIR limemlaani Donald Trump anayewania kuteuliwa kugombea urais wa tikiti ya chama cha Republican, kufuatia matamshi yake kuwa Waislamu watimuliwe Marekani.
Habari ID: 3461178 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/08
Waislamu nchini Marekani wamebainisha wasiwasi wao mkubwa kuhusu wimbi jipya la chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu kufuatia mauaji yaliyofanyika California.
Habari ID: 3459724 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/12/04
Ofisi ya Mwendesha Mashtaka nchini Ufaransa imethibitisha kuwa gaidi aliyepanga na kuratibu mashambulizi ya kigaidi ya Paris ameuawa.
Habari ID: 3454889 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/21
Rais Hassan Rouhani
Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, Tehran itaendelea kwa nguvu zake zote kupambana na njama za mabeberu.
Habari ID: 3443715 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/04
Wairani leo wamefanya maandamano makubwa kote nchini kuadimisha mwaka wa 36 wa kutekwa ubalozi wa Marekani mjini Tehran mwaka 1979.
Habari ID: 3443714 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/04
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Ali Khamenei amesema kuwa malengo ya Marekani katika eneo la Mashariki ya Kati yanatofautiana kwa daraja 180 na ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
Habari ID: 3432363 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/02
Wanafunzi Waislamu wanaosoma katika shule za umma au za binafsi zisizokuwa za Waislamu katika jimbo la California nchini Marekani wamefanyiwa uonevu au ubaguzi kwa kiwango cha zaidi ya mara mbili kwa wastani wa kitaifa.
Habari ID: 3432361 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/11/02
Kiongozi Muadhamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amesisitiza kuhusu kulindwa maslahi ya taifa la Iran katika utekelezwaji mapatano ya nyuklia kati ya Iran na madola sita makubwa duniani.
Habari ID: 3391463 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/21
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa Marekani inasaka fursa ya kupenya na kulazimisha matakwa yake kwa taifa la Iran.
Habari ID: 3383038 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/08
Misikiti Marekani imetakiwa kuwa katika hali ya tahadhari na kuimarishwa usalama kutokana na ghasia zinazotazamiwa kuibuliwa Oktoba 10 na makundi ya watu wenye misimamo mikali ya chuki dhidi ya Uislamu ambao wataandamana siku hiyo.
Habari ID: 3382994 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/07
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei ametuma ujumbe kwa mnasaba wa Hija katika mwaka 1436 Hijria. Ifuatayo ni matini kamili ya ujumbe huo
Habari ID: 3366752 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/23
Kampeni ya kusambaza zawadi za nakala za Qur'ani tukufu imezinduliwa Marekani na Baraza la Uhusiano wa Kiislamu Marekani CAIR katika kujibu matamshi yenye chuki dhidi ya Uislamu ya Ben Carson, anayetaka kugombea kiti cha urais nchini humo mwakani kwa tikiti ya chama cha Republican.
Habari ID: 3366378 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/22
Waislamu nchini Marekani wamemkosoa vikali Ben Carson anayetaka kugombea kiti cha urais kwa tikiti ya chama cha Republican kufuatia matamshi yake kuwa Mwislamu hapaswi kuchaguliwa kuwa rais wa Marekani.
Habari ID: 3365872 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/21
Kijana Mwislamu mwenye asili ya Afrika nchini Marekani amekamatwa na polisi kwa kushukiwa kwamba saa ya ukuta aliokuwa ametengeneza ilikuwa ni bomu.
Habari ID: 3364546 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/18
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullahil-Udhma, Sayyid Ali Khamenei, amesema kuwa, Marekani haifichi uadui wake, na daima imekuwa ikipanga njama za kutaka kutoa pigo kwa taifa la Iran.
Habari ID: 3361065 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/10
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullahil Udhma Sayyid Ali Khamenei amezikosoa baadhi ya nchi za Ulaya kwa kufuata kibubusa sera za kiadui za Marekani kuhusiana na Iran.
Habari ID: 3360658 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/09