Kiongozi wa Hizbullah katika Majlis ya Muharram
TEHRAN (IQNA) Kiongozi wa Harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema Marekani ndiyo inayorefusha uwepo wa baadhi ya mabaki ya magaidi wa ISIS au Daesh katika baadhi ya maeneo ya kaskazini mashariki mwa Syria.
Habari ID: 3471680 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/09/20
TEHRAN (IQNA)- Leo idadi ya Waislamu Marekani wanakadiriwa kuwa karibu milioni tatu na nusu lakini wengi hawajui ni kuwa Waafrika ndio waliokuwa miongoni mwa Waislamu wa kwanza katika nchi hiyo.
Habari ID: 3471651 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/29
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria matamashi na lugha zisizo na adabu za viongozi wa Marekani kuhusiana na vikwazo, vita na mazungumzo na Iran kusema kuwa, tunasisitiza kwamba, hakutatokea vita na hatutafanya mazungumzo.
Habari ID: 3471628 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/13
TEHRAN (IQNA)- Kumeshuhudiwa ongezeko la asilimia 82 la chuki dhidi ya Waislamu katika jimbo la California nchini Marekani katika mwaka wa 2017 kufuatia kuchaguliwa Donald Trump kama rais.
Habari ID: 3471624 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/10
TEHRAN (IQNA)- Waislamu zaidiya 90 nchini Marekani wanawania nafasi mbali mbali za uongozi katika ngazi za mitaa, jimbo na kitaifa mwaka huu.
Habari ID: 3471621 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/08/07
TEHRAN (IQNA)-Waislamu Marekani wamelaani uamuzi wa Mahakama ya Kilele nchini humo kuunga mkono marufuku kuingia nchini humo wasafiri kutoka nchi tano za Waislamu huku wakisema uamuzi huo utawaathiri vibaya.
Habari ID: 3471575 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/28
TEHRAN (IQNA) - Jumatano iliyopita , Rais Donald Trump wa Marekani aliandaa katika Ikulu ya White House kile alichodai kuwa ni dhifa ya futari kwa ajili ya Waislamu, lakini la kushangaza ni kuwa Waislamu wa Marekani hawakualikwa.
Habari ID: 3471549 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/06/09
TEHRAN (IQNA)-Baraza La Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) limewasilisha malalamiko mahakamani baada ya kubainika kuwa wafungwa katika jimbo la Alaska wanalishwa nyama ya nguruwe katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
Habari ID: 3471530 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/25
TEHRAN (IQNA)-Baraza la Mahusiano ya Kiislamu nchini Marekani (CAIR) limetoa wito kwa Waislamu kote Marekani kuchukua tahadhari katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani mwaka huu.
Habari ID: 3471503 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/09
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria baadhi ya matamshi kuhusu Iran kuendelea kuwepo katika mapatano ya nyuklia ya JCPOA na nchi tatu za Ulaya na kusisitiza kuwa: "Kuhusu kufanya mazungumzo na nchi tatu za Ulaya, haipaswi kuziamiani na katika kila mapatano lazima kuwepo dhamana ya kweli na ya kivitendo la sivyo haiwezekani kuendelea kwa hali iliyopo."
Habari ID: 3471502 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/05/09
TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Jimbo la Texas nchini Marekani imetangaza zawadi ya $5000 kwa yeyote atakayetoa taarifa zitakazopelekea kukamatwa mtu ambaye alimdunga kisu mwanamke Mwislamu katika mji wa Houston.
Habari ID: 3471457 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/04/07
TEHRAN (IQNA)- Moto mkubwa umeteketeza na kuharibu tena Kituo cha Kiislamu cha Eastside katika eneo la Bellevue, jimbo la Washington nchini Marekani, hii ikiwa ni mara ya pili eneo hilo la Waislamu kuteketezwa moto katika kipindi cha mwaka moja.
Habari ID: 3471439 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/22
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, katika miaka iliyopita, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeweza kupeperusha bendera ya izza, heshima na uwezo wa kitaifa katika eneo la Asia Magharibi na imekuwa na nafasi muhimu mno katika kuwasambaratisha wakufurishaji na kuleta amani na usalama.
Habari ID: 3471438 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/21
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: wakati Marekani inajiingiza kila mahali kwa kuzusha fitna na kuleta ufisadi, kila mara inatilia shaka kuwepo na kujishughulisha Iran na masuala ya eneo la Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3471422 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/09
TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Marekani wamepanga kuswali mbele ya Ikulu White House mjini Washington DC na kisha kufanya maandamano makubwa ya kulalamikia ubaguzi wanaotendewa na utawala wa Rais Donald Trump.
Habari ID: 3471369 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/24
TEHRAN (IQNA)- Baraza la Mahusiano ya Kiislamu nchini Marekani (CAIR) lina mpango wa kutoa mafunzo maalumu ya njia za kukabiliana na vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu nchini humo.
Habari ID: 3471351 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/12
Khatibu wa Sala ya Ijumaa
TEHRAN- (IQNA) Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema, fujo ambazo zimeshuhudiwa siku za hivi karibuni mjini Tehran zinaashiria kuwepo uchochezi wa Marekani na vibaraka wake.
Habari ID: 3471343 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/05
TEHRAN (IQNA)-Idadi ya Waislamu wanaoishi nchini Marekani inatazamiwa kuongezeka maradufu ifikapo mwaka 2050 na hivyo kuufanya Uislamu kuwa dini ya pili kwa ukubwa nchini humo.
Habari ID: 3471342 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/04
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Marekani ndio utawala fisadi na dhalimu zaidi ulimwenguni.
Habari ID: 3471327 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/28
TEHRAN (IQNA)-Mwalimu mmoja wa kiume katika jimbo la Virginia Marekani ameadhibiwa kwa likizo ya lazima baada ya kupatikana na hatia ya kuivua Hijabu ya mwanafunzi wake Mwislamu.
Habari ID: 3471269 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/18