Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, katika miaka iliyopita, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imeweza kupeperusha bendera ya izza, heshima na uwezo wa kitaifa katika eneo la Asia Magharibi na imekuwa na nafasi muhimu mno katika kuwasambaratisha wakufurishaji na kuleta amani na usalama.
Habari ID: 3471438 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/21
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: wakati Marekani inajiingiza kila mahali kwa kuzusha fitna na kuleta ufisadi, kila mara inatilia shaka kuwepo na kujishughulisha Iran na masuala ya eneo la Mashariki ya Kati.
Habari ID: 3471422 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/03/09
TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Marekani wamepanga kuswali mbele ya Ikulu White House mjini Washington DC na kisha kufanya maandamano makubwa ya kulalamikia ubaguzi wanaotendewa na utawala wa Rais Donald Trump.
Habari ID: 3471369 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/24
TEHRAN (IQNA)- Baraza la Mahusiano ya Kiislamu nchini Marekani (CAIR) lina mpango wa kutoa mafunzo maalumu ya njia za kukabiliana na vitendo vya chuki dhidi ya Uislamu nchini humo.
Habari ID: 3471351 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/12
Khatibu wa Sala ya Ijumaa
TEHRAN- (IQNA) Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo hapa mjini Tehran amesema, fujo ambazo zimeshuhudiwa siku za hivi karibuni mjini Tehran zinaashiria kuwepo uchochezi wa Marekani na vibaraka wake.
Habari ID: 3471343 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/05
TEHRAN (IQNA)-Idadi ya Waislamu wanaoishi nchini Marekani inatazamiwa kuongezeka maradufu ifikapo mwaka 2050 na hivyo kuufanya Uislamu kuwa dini ya pili kwa ukubwa nchini humo.
Habari ID: 3471342 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/01/04
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Marekani ndio utawala fisadi na dhalimu zaidi ulimwenguni.
Habari ID: 3471327 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/12/28
TEHRAN (IQNA)-Mwalimu mmoja wa kiume katika jimbo la Virginia Marekani ameadhibiwa kwa likizo ya lazima baada ya kupatikana na hatia ya kuivua Hijabu ya mwanafunzi wake Mwislamu.
Habari ID: 3471269 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/18
TEHRAN (IQNA)-Chuo Kikuu cha Marywood katika jimbo la Pennsylvania nchini Marekani kimepanga kuandaa ‘Siku ya Kuvaa Hijabu’ mnamo Novemba 15.
Habari ID: 3471253 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/07
TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Marekani wamelaani hujuma ya kigaidi iliyojiri Jumanne mjini New York katika mtaa wa Manhattan na kupelekea watu 8 kupoteza maisha.
Habari ID: 3471241 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/01
Sayyed Hassan Nasrallah:
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani inazuia kuangamizwa kikamilifu kundi la kigaidi la Daesh au ISIS huko Syria na inalisaidia kundi hilo kwa silaha kupitia kituo vituo vyake vya kijeshi vilivyo Syria kinyume cha sheria.
Habari ID: 3471211 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/10
TEHRAN (IQNA)-Hujuma ya kigaidi hivi karibuni katika mji wa Las Vegas nchini Marekani imetajwa kuwa ufyatuaji risasi mbaya zaidi hadharini nchini na pia tukio hilo limeashiria kuwepo hisia mseto dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3471208 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/08
Amnesty International
TEHRAN (IQNA)-Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International wamesema kuwa, bomu lililoua raia 16 wa Yemen wakiwemo watu wote wa familia ya mtoto Buthaina aliyenusurika shambulizi hilo, lilitengenezwa nchini Marekani.
Habari ID: 3471187 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/23
TEHRAN (IQNA)-Daktari Abdul El-Sayed, mwenye umri wa miaka 32 kutoka mji wa Detroit jimboni Michigan, anaendeleza kampeni kali ya kutaka kuwa gavana kwa kwanza Mwislamu Marekani.
Habari ID: 3471177 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/16
TEHRAN (IQNA)-Mahujaji kutoka Marekani, Uingereza na Canada walioshiriki katika Ibada ya Hija wamebainisha wasiwasi wao kuhusu sera za chuki dhidi ya Waislamu za Rais Donald Trump wa Marekani.
Habari ID: 3471154 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/03
TEHRAN (IQNA)- Bi. Deedra Abboud, ni mwanamke Mwislamu ambaye anawania kiti katika Bunge la Senate nchini Marekani huku akilalamika kuwa anakabiliwa na chuki dhidi ya Uislamu ambazo sasa ni jambo la kawaida katika nchi hiyo.
Habari ID: 3471096 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/01
TEHRAN (IQNA) Uchunguzi umebaini kuwa, asilimia 74 ya Waislamu nchini Marekani wanapinga namna rais Donald Trump wa nchi hiyo anavyoamiliana vibaya na jamii ya Waislamu katika nchi hiyo.
Habari ID: 3471088 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/27
TEHRAN (IQNA)-Kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la chuki dhidi ya Waislamu Marekani kutokana na rais Donald Trump wa nchi hiyo.
Habari ID: 3471074 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/18
TEHRAN (IQNA)-Nakala ya Qur'ani Tukufu iliyoandikwa na mtumwa Mwafrika nchini Marekani inaonyeshwa mjini Beirut Lebanon.
Habari ID: 3471069 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/16
TEHRAN (IQNA)-Idadi ya Waislamu wanaoingia Marekani imepungua katika miezi mitano ya kwanza ya utawala wa Rais Donald Trump.
Habari ID: 3471064 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/13