TEHRAN (IQNA)-Chuo Kikuu cha Marywood katika jimbo la Pennsylvania nchini Marekani kimepanga kuandaa ‘Siku ya Kuvaa Hijabu’ mnamo Novemba 15.
Habari ID: 3471253 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/07
TEHRAN (IQNA)-Waislamu nchini Marekani wamelaani hujuma ya kigaidi iliyojiri Jumanne mjini New York katika mtaa wa Manhattan na kupelekea watu 8 kupoteza maisha.
Habari ID: 3471241 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/11/01
Sayyed Hassan Nasrallah:
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesema kuwa, Marekani inazuia kuangamizwa kikamilifu kundi la kigaidi la Daesh au ISIS huko Syria na inalisaidia kundi hilo kwa silaha kupitia kituo vituo vyake vya kijeshi vilivyo Syria kinyume cha sheria.
Habari ID: 3471211 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/10
TEHRAN (IQNA)-Hujuma ya kigaidi hivi karibuni katika mji wa Las Vegas nchini Marekani imetajwa kuwa ufyatuaji risasi mbaya zaidi hadharini nchini na pia tukio hilo limeashiria kuwepo hisia mseto dhidi ya Waislamu.
Habari ID: 3471208 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/08
Amnesty International
TEHRAN (IQNA)-Shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International wamesema kuwa, bomu lililoua raia 16 wa Yemen wakiwemo watu wote wa familia ya mtoto Buthaina aliyenusurika shambulizi hilo, lilitengenezwa nchini Marekani.
Habari ID: 3471187 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/23
TEHRAN (IQNA)-Daktari Abdul El-Sayed, mwenye umri wa miaka 32 kutoka mji wa Detroit jimboni Michigan, anaendeleza kampeni kali ya kutaka kuwa gavana kwa kwanza Mwislamu Marekani.
Habari ID: 3471177 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/16
TEHRAN (IQNA)-Mahujaji kutoka Marekani, Uingereza na Canada walioshiriki katika Ibada ya Hija wamebainisha wasiwasi wao kuhusu sera za chuki dhidi ya Waislamu za Rais Donald Trump wa Marekani.
Habari ID: 3471154 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/09/03
TEHRAN (IQNA)- Bi. Deedra Abboud, ni mwanamke Mwislamu ambaye anawania kiti katika Bunge la Senate nchini Marekani huku akilalamika kuwa anakabiliwa na chuki dhidi ya Uislamu ambazo sasa ni jambo la kawaida katika nchi hiyo.
Habari ID: 3471096 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/08/01
TEHRAN (IQNA) Uchunguzi umebaini kuwa, asilimia 74 ya Waislamu nchini Marekani wanapinga namna rais Donald Trump wa nchi hiyo anavyoamiliana vibaya na jamii ya Waislamu katika nchi hiyo.
Habari ID: 3471088 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/27
TEHRAN (IQNA)-Kumeshuhudiwa ongezeko kubwa la chuki dhidi ya Waislamu Marekani kutokana na rais Donald Trump wa nchi hiyo.
Habari ID: 3471074 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/18
TEHRAN (IQNA)-Nakala ya Qur'ani Tukufu iliyoandikwa na mtumwa Mwafrika nchini Marekani inaonyeshwa mjini Beirut Lebanon.
Habari ID: 3471069 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/16
TEHRAN (IQNA)-Idadi ya Waislamu wanaoingia Marekani imepungua katika miezi mitano ya kwanza ya utawala wa Rais Donald Trump.
Habari ID: 3471064 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/13
TEHRAN (IQNA)-Watu wenye chuki dhidi ya Uislamu wameuhujumu kwa mara nyingine msikiti katika jimbo la Tennessee nchini Marekani.
Habari ID: 3471061 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/07/11
TEHRAN (IQNA)-Wa marekani ambao wamebadilisha dini au itikadi na kuwa Waislamu wanakumbwa na matatizo maradufu zaidi ya Waislamu wengine Marekani.
Habari ID: 3471043 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/30
TEHRAN (IQNA)-Katika hatua inayoatathminiwa kuwa ya kibaguzi, Jeshi la Polisi nchini Marekani limedai mauaji ya binti Mwislamu nje ya msikiti si ya kigaidi.
Habari ID: 3471028 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/06/20
TEHRAN (IQNA)-Idadi ya vitendo vya chuki dhidi ya Waislamu Marekani viliongezeka kwa asilimia 57 mwaka uliopita wa 2016.
Habari ID: 3470974 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/05/11
TEHRAN-(IQNA)-Kumeshuhudiwa ongezeko la asilimia 1,000 la vitendo vya huki dhidi ya dini Tukufu ya Uislamu tokea Donald Trump achukue urasi wa Marekani Januari mwaka huu.
Habari ID: 3470956 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/28
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, Marekani na utawala haramu wa Kizayuni wa Israel zinaipinga Iran ya Kiislamu kwa kuwa Uislamu umedhihiri nchini hapa na ndio unaozuia tamaa zao
Habari ID: 3470951 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/25
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa, hakuna shaka yoyote kuhusu uadui wa madola ya kibeberu hususan Marekani dhidi ya taifa la Iran na kwamba uadui huo umekuwa ukioneshwa muda wote kwa sura tofauti.
Habari ID: 3470940 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/19
TEHRAN (IQNA)- Waislamu wa eneo la Amerika Kaskazni wamekutana katika la 42 la kila mwaka ambapo wamejadili changamoto mbali mbali wanazokabiliana nazo katika nchi za Canada na Marekani hasa katika utawala wa Donald Trump.
Habari ID: 3470938 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/17