Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema mazungumzo na Marekani hayajakuwa na matokeo yoyote na kusisitiza kuwa: " "Kupiga marufuku mazungumzo na Marekani ni moja ya njia muhimu za kuwazuia kujipenyeza nchini Iran."
Habari ID: 3472199 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/11/03
TEHRAN (IQNA) – Msichana Muislamu nchini Marekani ameondolewa kwenye mashindano ya mbio za nyika kwa sababu ya kuvaa Hijabu.
Habari ID: 3472188 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/10/26
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza namna malengo ya uadui wa nchi za Ulaya dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu kimsingi yasivyo na tofauti na ya adui Marekani na kueleza kuwa: Nchi za Ulaya kidhahiri zinajidhihirisha kuwa patanishi na kusema maneo mengi lakini yote hayo ni maneno matupu.
Habari ID: 3472148 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/26
Rais Rouhani katika Umoja wa Mataifa
TEHRAN (IQNA) -Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema ni jambo lisiloyumkinika kwa taifa hili kufanya mazungumzo na adui likiwa chini ya mashinikizo na vikwazo vya kidhalimu na vilivyo kinyume cha sheria.
Habari ID: 3472147 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/26
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA) - Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameashiria kauli mpya zilizotolewa na Marekani kuhusu mazungumzo na akasisitiza kwamba: Viongozi wote wa Jamhuri ya Kiislamu wanakubalina kwa kauli moja kuwa, hayatafanywa mazungumzo na Marekani katika ngazi yoyote ile.
Habari ID: 3472134 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/17
TEHRAN (IQNA) – Meya Mwislamu huko New Jersey nchini Marekani amesema alishikiliwa kwa muda katika Uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa John F. Kennedy mjini New York mwezi uliopita ambapo maafisa wa usalama walimsaili kuhusu iwapo anawafahamu magaidi.
Habari ID: 3472129 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/09/14
TEHRAN (IQNA)- Kwa akali watu 20 wameuawa na wengine 24 kujeruhiwa kufuatia tukio la hujuma ya kigaidi lililotokea leo Jumapili katika jimbo la Texas nchini Marekani.
Habari ID: 3472070 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/08/04
TEHRAN (IQNA) - Wabunge katika Kongresi ya Marekani ambayo walidhalilishwa na Rais Donald Trump wa nchi hiyo wamesema hawatatishika.
Habari ID: 3472046 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/16
TEHRAN (IQNA) - Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema taifa la Iran katu halitasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Marekani.
Habari ID: 3472030 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/02
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa lengo kuu la pendekezo la Marekani la kufanya mazungumzo na Iran ni kutaka kulipokonya taifa la Iran silaha na sababu za nguvu na uwezo wake.
Habari ID: 3472018 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/26
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Sala ya Ijumaa iliyosaliwa leo Tehran ameashiria hatua ya kutunguliwa ndege isiyo na rubani (drone) ya Marekani ambayo ilikuwa imekiuka anga ya Iran na kusema: "Wakuu wa Marekani wafahamu kuwa, Lango Bahari la Hormoz daima litakuwa kaburi la wavamizi."
Habari ID: 3472009 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/21
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema: "Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haiimaini Marekani hata kidogo na uzoefu mchungu wa mazungumzo yaliyotangulia na Marekani katika fremu ya JCPOA kamwe hautarudiwa tena kwani hakuna taifa lolote huru na lenye akili litakubali kufanya mazungumzo chini ya mashinikizo."
Habari ID: 3472000 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/13
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesem siri ya kuendelea kubakia hai na kuwa na mvuto fikra za Imam Khomeini MA, inatokana na sifa maalumu ya shakhsia na tunu aliyopewa na Mwenyezi Mungu.
Habari ID: 3471986 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/05
Bi. Marziyah Hashemi
TEHRAN (IQNA) – M marekani -Muirani mwenye asili ya Afrika, Bi. Marzieh Hashemi anasema msingi wa Tauhidi (kumpwekesha Mwenyezi Mungu) ni nukta ambayo ilimvutia katika Uislamu na kumfanya asilimu.
Habari ID: 3471967 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/21
TEHRAN (IQNA)- Wananchi wa Iran ya Kiislamu wameandamana nchi nzima baada ya Sala ya Ijumaa kuunga mkono hatua zilizochukuliwa na serikali ya Iran kusimamisha utekelezaji wa baadhi ya ahadi zake katika mapatano ya nyuklia ya Mpango Kamili wa Pamoja wa Utekelezwaji (JCPOA).
Habari ID: 3471950 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/10
TEHRAN (IQNA)-Misikiti katika eneo la Long Island mjini New York nchini Marekani imeimarisha usalama kwa kuwaajiri walinzi wenye silaha katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kufuatia hujuma za hivi karibuni za kigaidi katika maeneo ya ibada kote duniani.
Habari ID: 3471941 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/05/05
Rais Hassan Rouhani
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Iran Jamhuri ya Kiislamu amesema nchi hii katu haitasitisha uuzaji wa mafuta ghafi yake ya petroli katika soko la kimataifa pamoja na kuwepo mashinikizo na vikwazo vipya vya Marekani.
Habari ID: 3471936 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/30
TEHRAN (IQNA) – Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kundi lenye misimamo mikali la Timu B linamchochea Rais Donald Trump wa Marekani aanzishe vita dhidi ya Iran.
Habari ID: 3471932 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/29
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuwa: "Katika kulipigisha magoti taifa la Iran, adui amejikita katika mashinikizo ya kiuchumi lakini afahamu kuwa, taifa hili katu halitapigishwa magoti na sambamba na kutumia vikwazo kama fursa ya kustawi na kunawiri, halitaacha uhasama wa Marekani ubakie hivi hivi bila kupata jibu."
Habari ID: 3471929 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/25
TEHRAN (IQNA)- Harakazi za mapambano ya Kiislamu Iraq ambazo zimekuwa mstari wa mbele katika vita dhidi ya ugaidi zimelaani vikali, hatua ya uhasama ya mtawala wa Marekani Donald Trump ya kuliweka Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) nchini Iran katika orodha ya makundi ya kigaidi.
Habari ID: 3471910 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/11