Gazeti moja la Uingereza hivi karibuni limechapisha orodha ya misikiti 25 bora duniani kwa mtazamo wa usanifu majengo.
Habari ID: 3338961 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/08/04
Ndege za kivita za Saudi Arabia zimeendelea hujuma zake za kikatili nchini Yemen na mara hii zimehujumu kwa mabomu msikiti wa kihistoria ujulikanao kama Masjid Imam Hadi AS katika mkoa wa Sa'ada kaskazini mwa nchi hiyo.
Habari ID: 3276823 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/05/09
Utawala wa Saudi Arabia unapanga kubomoa kaburi la Mtume Muhammad SAW na kuhamisha mwili wake mtukufu katika kaburi lisilojulikana katika hatua ambayo bila shaka itaibua hasira za Waislamu kote duniani.
Habari ID: 1446086 Tarehe ya kuchapishwa : 2014/09/02