iqna

IQNA

Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema kupambana na mabeberu na mfumo wa kibeberu na kiistikbari kuna misingi katika Qur'ani tukufu na hakuwezi kusimamishwa, na Marekani ndiyo kielelezo kamili cha beberu katika zama hizi.
Habari ID: 3327198    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/07/12