iqna

IQNA

Naibu Mkuu wa Baraza la Mamufti wa Russia
Sheikh Roushan Abbasov Naibu Mwenyekiti wa Baraza la Mamufti wa Russia amesema shughuli na harakati za Taasisi ya Jihadi ya Vyuo Vikuu nchini Iran ni chimbuko la fakhari kwa Umma wa Kiislamu kote duniani.
Habari ID: 3358324    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/09/05