iqna

IQNA

islamophobia
Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Mashambulizi mengi dhidi ya Waislamu yameripotiwa karibu na Toronto nchini Kanada (Canada) huku polisi wakikamata watu baada ya uchunguzi.
Habari ID: 3477015    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/05/19

Sera za Kigeni
TEHRAN (IQNA)- Ofisi ya Uwakilishi wa Kudumu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika mashirika ya kimataifa yaliyo na makao makuu yao mjini New York Marekani, imeandika kwa mnasaba wa Siku ya Kimataifa ya kupambana na Chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) kwamba: "Iran inasisitiza mshikamano wake kamili na wahanga wa mashambulio yanayochochewa na chuki dhidi ya Uislamu kote duniani."
Habari ID: 3476716    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/16

Waislamu Kanada
TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Kanada (Canada) imemteua Amira Elghawaby kama mwakilishi wa kwanza maalum wa nchi hiyo katika kupambana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia).
Habari ID: 3476474    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/01/27

Chuki dhidi ya Uislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA) - Msomi na mwanafikra wa Ufaransa amesema chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) haikomei kwa chama fulani bali ni sera ya serikali nchini Ufaransa.
Habari ID: 3475936    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/16

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Waislamu katika eneo la Edmonton nchini Kanada (Canada) wametoa ushuhuda wenye nguvu kwa maseneta wa Baraza la Seneti la Kanada kuhusu uzoefu wao na ubaguzi wa rangi na uhalifu unaochochewa na chuki katika mkutano wa hadhara mjini humo.
Habari ID: 3475762    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/10

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Kituo cha Kiislamu huko Veldhoven kusini mwa Uholanzi kilishambuliwa mapema Jumamosi asubuhi katika kile kinachoonekana ni kitendo cha chuki dhidi ya Uislamu au Islamophobia.
Habari ID: 3475652    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/20

TEHRAN (IQNA) – Kituo cha Kiislamu cha Al Azhar nchini Misri kimepongeza uamuzi wa serikali ya Canada kutangaza siku maalumu ya kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu.
Habari ID: 3474879    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/01

TEHRAN (IQNA)- Ripoti mpya inaonyesha kuwa kumekuwepo na ongezeko kubwa la chuki dhidi ya Uislamu au Islamophobia barani Ulaya.
Habari ID: 3474746    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/31

Kikao cha Kazakhstan chabaini
TEHRAN (IQNA)- Washiriki wa kikao kimoja cha kidini nchini Kazakhstan wametaja chuki dhidi ya Uislamu kuwa moja ya vizingiti vikubwa katika kufikiwa amani duniani.
Habari ID: 3474401    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/09

TEHRAN (IQNA)-Wanachama wa Kituo cha Kiislamu cha Langley huko Langley, British Columbia nchini Canada, "wameshtuka" na "wamekata tamaa" baada ya kupokea barua ya vitisho na ya kibaguzi.
Habari ID: 3474254    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/03

TEHRAN (IQNA)- Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ulimwengu wa Kiislamu una wajibu wa kupambana vilivyo misimamoo mikali ndani yake. Amesema, ni wajibu wa ulimwengu huo kuunganisha nguvu zake kupambana na watu wenye aidiolojia za chuki na za kuwakufurisha Waislamu wengine.
Habari ID: 3473745    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/03/18

TEHRAN (IQNA)- Ikiwa ni katika kuendeleza kampeni dhidi asasi za Kiislamu, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa Gerald Darminian ametangaza mpango wa kupiga marufuku Taasisi ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu au Islamophobia Ufaransa (CCIF).
Habari ID: 3473378    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/20

TEHRAN (IQNA) - Jumuiya ya Walimu wa Chuo Kikuu cha Kidini (Hawza) cha Qum hapa Iran imelaani vikali kuvunjiwa heshima matukufu ya Qur'ani Tukufu na Mtume Muhammad SAW na kusisitiza kuwa, kuivunjia heshima Qur'ani Tukufu kwa kisingizio cha uhuru wa itikadi kwa hakika ni kuukata roho uhuru huo na kungamiza kijinai, itakadi ya watu.
Habari ID: 3473137    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/04

TEHRAN (IQNA) – Hatua ya kujiuzulu Sajid Javid, waziri Muislamu wa ngazi za juu zaidi katika chama tawala cha Kihafihdhina (Conservative) cha Uingereza imepelekea chama hicho kutuhumiwa kuwa kinachochea hisia za chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) .
Habari ID: 3472476    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/02/16

TEHRAN (IQNA) - Wahalifu wameuhujumu msikiti na kuvunjia heshima nakala za Qur'ani Tukufu maghairbi mwa Ujerumani.
Habari ID: 3472048    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/07/19

TEHRAN (IQNA)- Kikao cha dharura cha Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) kimefanyika Ijumaa mjini Istanbul, Uturuki kwa lengo la kujadili hatua za kuchukuliwa baada ya shambulio la kigaidi la hivi karibuni dhidi ya Waislamu waliokuwa katika Sala ya Ijumaa kwenye misikiti miwili nchini New Zealand.
Habari ID: 3471886    Tarehe ya kuchapishwa : 2019/03/23

IQNA-Uhalifu na hujuma zitokanazo na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) umeongezeka kwa asilimia 89 nchini Marekani.
Habari ID: 3470630    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/23

Wanafunzi Wakristo nchini Zimbabwe wameshiriki katika warsha ya siku moja kuhusu Uislamu.
Habari ID: 3470510    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/09

Kuongezeka vitendo vya ukandamizaji dhidi ya Waislamu nchini Ufaransa kumeendelea kulaaniwa na kukosolewa na jamii ya Waislamu sio tu nchini humo bali pia katika bara zima la Ulaya.
Habari ID: 2829282    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/02/09