AKILI MNEMBA

IQNA

IQNA – Mwanazuoni wa Kiislamu kutoka Iran ametoa wito wa kuitumia Akili Mnemba (Artificial Intelligence - AI) siyo kama nyenzo ya kusaidia pekee, bali kama chachu kuu ya kuleta mageuzi katika tafiti na harakati za Qur’ani.
Habari ID: 3482634   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/08/16

IQNA – Mbunge mmoja wa Malaysia kutoka jimbo la Sarawak amesisitiza umuhimu wa kizazi kipya kujifunza kusoma na kuelewa Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3482533   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/07/25

IQNA – Kituo cha Utamaduni cha Iran nchini Austria kimeandaa kongamano la kimataifa litakalochunguza kwa kina uhusiano tata kati ya maendeleo ya teknolojia, maadili ya kibinadamu, na mifumo ya kidemokrasia. Kongamano hili, lenye kichwa cha habari “Akili Mnemba, Maadili, na Demokrasia”, linatarajiwa kuwa jukwaa muhimu la kubadilishana maarifa.
Habari ID: 3482421   Tarehe ya kuchapishwa : 2026/06/30