IQNA-Mbunge mmoja kutoka Uskochi nchini Uingereza amewasilisha hoja rasmi akitaka mashirika ya michezo barani Ulaya kuiondoa Israel katika mashindano ya kimataifa kutokana na mauaji ya kimbari yanayoendelea huko Gaza.
Habari ID: 3481217 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/09/12
IQNA-Chama cha Wanafunzi Waislamu wa Ufaransa (EMF) kimelaani vikali pendekezo la sheria inayopiga marufuku uvaaji wa Hijabu katika mashindano ya michezo , likiitaja kuwa "ya kibaguzi, ya chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) na ya ubaguzi wa kijinsia."
Habari ID: 3480247 Tarehe ya kuchapishwa : 2025/02/21
Mawaidha
IQNA - Katika Uislamu, kushiriki katika michezo kwa nia safi au ikhlasi hubadilisha shughuli za kimwili kuwa tendo la ibada, kukuza afya ya kimwili na ustawi wa kiroho.
Habari ID: 3479793 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/11/23
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amevitaja vikwazo vya michezo baada ya kuanza vita vya Ukraine kuwa vinakadhibisha madai ya waistikbari na wafuasi wao kuhusu kutoingizwa siasa katika michezo .
Habari ID: 3475909 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/10
TEHRAN (IQNA)- Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amewapongeza wana michezo wa kike Wairani ambao wanashiriki katika michezo ya kimataifa wakiwa wamevaa vazi la staha la Hijabu.
Habari ID: 3471741 Tarehe ya kuchapishwa : 2018/11/14
Wanariadha watatu Waislamu wameonyesha nguvu na taswira nzuri ya Uislamu katika michezo ya Olimpiki ya Rio, 2016.
Habari ID: 3470529 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/18
Kwa msaada wa Chuo Kikuu cha Minnesota Marekani, wasichana Waislamu katika eneo la Minneapolis wamebuni mavazi mapya ya timu yao ya baskatboli, mavazi ambayo yanazingatia mipaka ya Kiislamu.
Habari ID: 3313760 Tarehe ya kuchapishwa : 2015/06/13