iqna

IQNA

mazungumzo
Iran na jamii ya kimataifa
TEHRAN (IQNA)- Rais wa Iran amesema hana mpango wa kukutana au kufanya mazungumzo na mwenzake wa Marekani, Joe Biden katika safari yake ya New York, anayotazamiwa kwenda kushiriki Mkutano wa 77 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA).
Habari ID: 3475804    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/18

Qur'ani Tukufu inasemaje / 20
TEHRAN (IQNA) - Mhadhiri mmoja wa Kiislamu ameashiria aya kadhaa za Qur’ani, ili kubainisha kwamba Qur’ani Tukufu imeweka msingi wa kuanzisha mahusiano na mazungumzo .
Habari ID: 3475556    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/30

Khatibu wa Sala ya Ijumaa ya Tehran
TEHRAN (IQNA)- Khatibu wa Muda wa Sala ya Ijumaa ya mjini Tehran amesisitiza kuwa, taifa la Iran halitokubaliana na chochote katika mazungumzo yanayoendelea mjini Vienna Austria ghairi ya kuondolewa vikwazo vyote vya kidhalimu lilivyowekewa taifa hili la Kiislamu na madola ya kibeberu.
Habari ID: 3474632    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/03

Kikao cha Kazakhstan chabaini
TEHRAN (IQNA)- Washiriki wa kikao kimoja cha kidini nchini Kazakhstan wametaja chuki dhidi ya Uislamu kuwa moja ya vizingiti vikubwa katika kufikiwa amani duniani.
Habari ID: 3474401    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/10/09

TEHRAN (IQNA) – Afisa mwandamizi wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina, Saeb Erekat ameaga dunia leo baad ya kuumbukizwa corona.
Habari ID: 3473347    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/10

IQNA-Warsha ya pili ya kieneo ya mazungumzo baina ya dini imefanyika nchini Zimbabwe kwa himaya ya Mwambata wa Utamaduni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran nchini humo.
Habari ID: 3470631    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/23

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa Marekani inasaka fursa ya kupenya na kulazimisha matakwa yake kwa taifa la Iran.
Habari ID: 3383038    Tarehe ya kuchapishwa : 2015/10/08