kiislamu - Ukurasa 4

IQNA

IQNA-Mji mtakatifu wa Mashhad kaskazini mashariki mwa Iran umezinduliwa rasmi kama Mji Mkuu wa Utamaduni katika Ulimwengu wa Kiislamu mwaka 2017.
Habari ID: 3470781   Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/04

IQNA-Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya amesaini sheria itakayoimarisha nafasi ya Kenya kama kitovu cha mfumo wa fedha wa Kiislamu barani Afrika.
Habari ID: 3470779   Tarehe ya kuchapishwa : 2017/01/04

IQNA-Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu OIC imeutangaza mji wa Shiraz kusini mwa Iran kuwa mji mkuu wa vijana katika Ulimwengu wa Kiislamu mwaka 2017.
Habari ID: 3470769   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/31

Sayyid Hassan Nasrallah
IQNA-Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Hizbullah amesema magaidi wakufurishaji wanaotenda jina magharibi mwa Asia na Afrika hawana uhusiano wowote na Uislamu wala Matume Mtukufu Muhammad SAW.
Habari ID: 3470759   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/12/25

IQNA-Maonyesho ya kwanza ya mavazi ya kike ya Kiislamu yamepangwa kufanyika tarehe 22-23 Novemba katika mji wa Tokyo, nchini Japan.
Habari ID: 3470675   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/14

IQNA-Wabahrain wanaendelea kuandamana mbele ya nyumba ya mwanazuoni mashuhuri wa nchi hiyo Ayatullah Sheikh Isa Qassim kwa lengo la kumuunga mkono mwanazuoni huyo anayedhulumiwa.
Habari ID: 3470654   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/05

Kwa munasaba wa kutekwa Pango la Ujasusi (Ubalozi wa Marekani)
IQNA-Wananchi wa matabaka mbali mbali Iran kuonyesha dhidi ya madola ya Kiistikbari hasa Marekani huku wakitoa nara za 'Mauti kwa Marekani'.
Habari ID: 3470649   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/11/03

IQNA-Serikali ya Misri imewapiga marufuku wahubiri wa Kiwahhabi kuhutubu hotuba katika misikiti ya nchi hiyo.
Habari ID: 3470643   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/30

IQNA-Ustadh Bashir Jazairi, msomi bingwa katika vyuo vikuu vya Iran, Iraq na Algeria ambaye pia alikuwa mtangazaji wa radio na televisheni ameaga dunia mjini Tehran akiwa na umri wa miaka 80 kufuatia mshutuko wa ubongo.
Habari ID: 3470633   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/24

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuwa, maudhui ya utandawazi na maagizo ya Wamarekani na watu wa Ulaya wanaoitaka Iran kujiunga na eti "familia ya kimataifa" ni mfano wa wazi wa kuzalishwa tena utamaduni wa kuwa tegemezi.
Habari ID: 3470621   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/20

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema usalama ni moja ya nguzo kuu za ustawi na maendeleo ya Iran ya Kiislamu.
Habari ID: 3470599   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/04

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema Hauza au Hawza (Chuo Kikuu cha Theolojia ya Kiislamu) inahitaji kuwa na mpango wa mabadiliko na marekebisho na kulitaja hitajio hilo kuwa muhimu katika mazingira ya sasa.
Habari ID: 3470594   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/02

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesema kuhimiza kumbukumbu ya mashahidi ni moja ya nukta muhimu katika kukabiliana na njama za adui na kulinda mapambano katika jamii.
Habari ID: 3470593   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/02

Khatibu wa Sala ya Ijumaa Tehran
Khatibu wa Swala ya Ijumaa iliyoswaliwamjini Tehran ameyaasa na kuyataka mataifa ya Kiislamu kuwa macho na njama za maadui dhidi yao.
Habari ID: 3470588   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/10/01

Mahakama ya utawala wa kiimla Bahrain meakhirisha tena kutolewa hukumu dhidi ya Sheikh Isa Qassim.
Habari ID: 3470565   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/16

Khatibu wa Sala ya Idul Adha Tehran
Khatibu wa Sala ya Idul Adha Tehran amesema watenda jinai katika ukoo wa Aal Saud wanapaswa kufikishwa mbele ya mahakama ya Kiislamu na kuadhibiwa kutokana na maafa ya Mina katika ibada ya Hija mwaka jana.
Habari ID: 3470560   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/12

Ayatullah Udhma Sayyid Ali Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametuma Ujumbe muhimu kwa Waislamu duniani na hasa Mahujaji wa Nyumba tukufu ya Allah mwaka huu 1437 Hijria). Ifuatayo ni matini kamili ya ujumbe huo.
Habari ID: 3470550   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/05

Mahakama ya Juu Nigeria imepinga ombi lililotolewa la mawakili wa nchi hiyo la kutaka kuachiliwa huru mara moja Sheikh Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.
Habari ID: 3470542   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/09/01

Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Misri zimepata medali zao za kwanza za mashindano ya taekwondo ya wanawake katika michezo ya Olimpiki ya Rio, 2016.
Habari ID: 3470534   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/20

Kauli mbiu ya Siku ya Misikiti Duniani
Kauli mbiu ya Siku ya Kimataifa ya Misikiti mwaka hii imetajwa kuwa ni ‘Misikiti, Mhimili wa Umoja wa Ummah wa Kiislamu.
Habari ID: 3470532   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/08/19