Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu,Bunge la Iran amesema kuwa umoja ni suluhisho pekee kwa matatizo ambayo yanaukumba umma wa Kiislamu duniani kote.
Habari ID: 3474663 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/11
TEHRAN (IQNA)- Eneo la kiviwanda la Turin, ambao ni kati ya miji mikubwa Italia, hivi karibuni litakua na fahari ya kupata kituo kikubwa cha utamaduni wa Kiislamu ambacho kitajumuisha pia msikiti.
Habari ID: 3474332 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/23
TEHRAN (IQNA)- Australia ina mpango wa kuwa kitovu cha kieneo cha mfumo wa kifedha wa Kiislamu kutokana na kuwa ina uthabiti wa kisiasa, mfumo wa kifedha uliostawi na uchumi mkubwa wa ndani ya nchi.
Habari ID: 3474313 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/19
TEHRAN (IQNA)- Jumba la Makumbusho la Louvre Abu Dhabi nchini UAE limetangaza kuandaa maonyesho ya ‘Uhusiano wa Kiutamaduni wa China na Ulimwengu wa Kiislamu’ ambayo yataanza Oktoba 6 2021 na kuendelea hadi Februari 12 2022.
Habari ID: 3474288 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/12
TEHRAN (IQNA) - Kongamano la 14 la Umoja wa Kiislamu limefanyika London, Uingereza Ijumaa Julai 9.
Habari ID: 3474088 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/10
TEHRAN (IQNA)- Mkutano wa Saba wa Mfumo wa Kiislamu wa Kifedha na Kibenki barani Afrika umepangwa kufanyika katika mji mkuu wa Tanzania, Dar- es- Salaam.
Habari ID: 3474062 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/02
TEHRAN (IQNA)- Kumeshuhudiwa ongezeko la utumizi wa huduma za Kiislamu za benki nchini Afrika Kusini kutokana na Waislamu kuzingatia zaidi mafundisho ya dini yao tukufu.
Habari ID: 3473933 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/21
TEHRAN (IQNA) – Ujumbe wa ngazi za juu wa wanazuoni kutoka Chuo cha Kiislamu cha Al Azhar cha Misri ulitembelea Iran nusu karne iliyopita ikiwa ni katika jitihada za wanazuoni wa Shia na Sunni kuleta umoja wa Kiislamu na ukuruba wa madhehebu.
Habari ID: 3473860 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/29
TEHRAN (IQNA) Polisi nchini Nigeria wamehujumu maandamano ya amani ya wananchi ya kupinga kusikilizwa kesi ya Sheikh Iibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria.
Habari ID: 3473592 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/26
TEHRAN (IQNA) – Jumba la Makumbusho la Sanaa za Kiislamu Cairo, Misri ni hifadhi kubwa zaidi ya athari za sanaa za Kiislamu duniani.
Habari ID: 3473375 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/19
Kamanda Mkuu wa IRGC
TEHRAN (IQNA) - Meja Jenerali Hussein Salami, Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran (IRGC) amesema kuwa, tadbiri na busara za Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu zimefelisha njama na malengo ya kisiasa ya adui katika Ulimwengu wa Kiislamu.
Habari ID: 3473214 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/29
TEHRAN (IQNA) - Zaidi ya wasomi na wanazuoni 200 wa Kiislamu Jumanne ya jana walitoa fatwa inayoharamisha kuanzisha uhusiano wa kidiplomasia na utawala ghasibu wa Israel.
Habari ID: 3473154 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/09/09
TEHRAN (IQNA) – Kenya inatekeleza mkakati wa kuwa kituo na kitovu cha huduma za kifedha katika eneo zima la Afrika Mashariki na Kati mwa Afrika.
Habari ID: 3473061 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/12
TEHRAN (IQNA) – Harakati za Hizbullah na Amal nchini Lebanon zimetoa wito kwa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini humo kufanya maombolezo ya Imam Hussein AS katika Mwezi wa Muharram mwaka huu majumbani.
Habari ID: 3473057 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/08/11
TEHRAN (IQNA) – Imamu Mkuu wa Kituo cha Kiislamu cha Al-Azhar nchini Misri Sheikh Ahmed EL-Tayeb amekutana kwa njia ya intaneti na Askofu Mkuu wa Canterbury wa Kanisa la Anglikana Justin Welby ambapo wamejadili njia za kuimarisha uhusiano wa taasisi hizo mbili na kustawisha mazungumzo baina yao.
Habari ID: 3472944 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/09
Rais Hassan Rouhani wa Iran
TEHRAN (IQNA) - Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, ulimwengu wa Kiislamu una changamoto nyingi kitaifa na kimataifa na kusisitiza kuwa, nchi za Kiislamu zinapaswa kuwa na tadibiri na mikakati madhubuti ya kuachana na ubeberu wa sarafu ya dola wa kutegemea mfumo wa kifedha wa Marekani.
Habari ID: 3472287 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/12/19
TEHRAN (IQNA)- Shirika moja la kiteknolojia nchini Malaysia limefanikiwa kutegeneza browser ya kwanza duniani ambayo inaenda kwa mujibu wa mafundisho ya Kiislamu kwa lengo la kuwahudumia Waislamu bilioni 1.8 duniani ili waweze kuwa na mazingira halali na salama katika intaneti.
Habari ID: 3471996 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/06/12
TEHRAN (IQNA)- Waislamu nchini Ethiopia wanaendelea kunufaika na huduma za Kiislamu katika taasisi za kifedha nchini humo.
Habari ID: 3471901 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/04/06
TEHRAN (IQNA)- Jumuiya ya Kimataifa ya Maulama wa Kiislamu imelaani vikali mkutano wa hivi karibuni baina ya maafisa wa ngazi za juu wa nchi za Kiarabu na Waziri Mkuu wa Utawala wa Kizayuni wa Israel huko Warsaw, Poland.
Habari ID: 3471846 Tarehe ya kuchapishwa : 2019/02/19
TEHRAN (IQNA)-Jengo la Taj Mahal nchini India, moja kati ya Maajabu Saba ya Dunia, na ambalo huwavutia watalii wasiopungua milioni sita kwa mwaka limeondolewa katika orodha ya vivutio vya kitalii kwa sababu ni turathi ya Kiislamu.
Habari ID: 3471210 Tarehe ya kuchapishwa : 2017/10/10