iqna

IQNA

kiislamu
Wasomi Waislamu
TEHRAN (IQNA) – Jumamosi iliadhimisha kumbukumbu ya kifo cha Ibn al-Jazari, qari mashuhuri katika karne ya 14 na 15 Miladia ambaye pia alikuwa mwanachuoni mashuhuri wa sayansi ya Qur’ani.
Habari ID: 3477979    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/12/03

Dubai (IQNA) Maonyesho ya kila miaka miwili ya sanaa ya Kaligrafia ya Kiislamu huko Dubai yalianza kazi yake kwa uwepo wa wasanii 200 kutoka nchi za Kiislamu.
Habari ID: 3477691    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/10/05

Kadhia ya Palestina
TEHRAN (IQNA) - Mamlaka ya Palestina (PA) imeyataja maeneo matakatifu ya Kiislamu na Kikristo "mstari mwekundu".
Habari ID: 3475876    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/04

Turathi za Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Algeria inapanga kuandaa shindano litakalojumuisha kazi za kufufua turathi za Kiislamu za nchi hiyo ya Kiarabu.
Habari ID: 3475862    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/10/01

Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Mashindano ya 16 ya Kimataifa ya Qur'ani Tukufu ya Morocco yataandaliwa baadaye mwezi huu.
Habari ID: 3475730    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/04

TEHRAN (IQNA) - Zaidi ya wanafunzi 80 waliohifadhi Qur'ani Tukufu kikamilifu na wamehitimu kutoka shule ya Kiislamu huko Kaduna, kaskazini mwa Nigeria.
Habari ID: 3475699    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/08/29

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA)- Baraza la Mahusiano ya Kiislamu Marekani (CAIR) linataka Idara ya Upelelezi Marekani (FBI) ichunguze tukio la jinai la uteketezaji moto wa msikiti wa East Grand Forks huko Minnesota mapema mwezi huu.
Habari ID: 3475391    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/18

Wanamichezo Waislamu
TEHRAN (IQNA)-Mwanasoka Mfaransa Muislamu alijiunga na Wahed Inc., kampuni ya kimataifa ya Kifedha ya Kiislamu, kama mwekezaji na ‘Balozi wa Chapa’.
Habari ID: 3475365    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/11

Hali ya Al Quds na Palestina
TEHRAN (IQNA)- Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Duniani (IUMS) umetoa wito kwa Waislamu duniani kote na viongozi wa mataifa ya Kiislamu kuutetea Msikiti wa Al Aqsa katika mji wa Al Quds (Jerusalem) ambao unakabiliwa na hujuma ya walowezi wa Kizayuni.
Habari ID: 3475318    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/31

Mtazamo wa Qur'ani
TEHRAN (IQNA)- Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanazuoni wa Kiislamu Duniani amelaani mauaji ya kiholela hivi karibuni katika shule huko Texas, Marekani ambapo watu 22 waliuawa huku akiashiria aya ya 32 ya Sura Al Maidah katika Qur'ani Tukufu inayozungumzia matukio kama hayo ya mauaji yasiyo na msingi.
Habari ID: 3475303    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/27

Umoja wa Kiislamu
TEHRAN (IQNA) – Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kimataifa ya Kukurubisha Madhehebu za Kiislamu (WFPIST) amesemakuanzisha umoja wa nchi za Kiislamu ni jambo linalowezekana
Habari ID: 3475301    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/27

TEHRAN (IQNA)- Jumba la Makumbusho la Ustaarabu wa Kiislamu limezinduliwa kwenye uwanja wa Msikiti wa Grand Camlica, msikiti mkubwa zaidi wa Uturuki, katika wilaya ya Uskudar ya Istanbul.
Habari ID: 3475105    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/09

Spika wa Bunge la Iran
TEHRAN (IQNA)- Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu,Bunge la Iran amesema kuwa umoja ni suluhisho pekee kwa matatizo ambayo yanaukumba umma wa Kiislamu duniani kote.
Habari ID: 3474663    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/12/11

TEHRAN (IQNA)- Eneo la kiviwanda la Turin, ambao ni kati ya miji mikubwa Italia, hivi karibuni litakua na fahari ya kupata kituo kikubwa cha utamaduni wa Kiislamu ambacho kitajumuisha pia msikiti.
Habari ID: 3474332    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/23

TEHRAN (IQNA)- Australia ina mpango wa kuwa kitovu cha kieneo cha mfumo wa kifedha wa Kiislamu kutokana na kuwa ina uthabiti wa kisiasa, mfumo wa kifedha uliostawi na uchumi mkubwa wa ndani ya nchi.
Habari ID: 3474313    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/19

TEHRAN (IQNA)- Jumba la Makumbusho la Louvre Abu Dhabi nchini UAE limetangaza kuandaa maonyesho ya ‘Uhusiano wa Kiutamaduni wa China na Ulimwengu wa Kiislamu’ ambayo yataanza Oktoba 6 2021 na kuendelea hadi Februari 12 2022.
Habari ID: 3474288    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/09/12

TEHRAN (IQNA) - Kongamano la 14 la Umoja wa Kiislamu limefanyika London, Uingereza Ijumaa Julai 9.
Habari ID: 3474088    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/10

TEHRAN (IQNA)- Mkutano wa Saba wa Mfumo wa Kiislamu wa Kifedha na Kibenki barani Afrika umepangwa kufanyika katika mji mkuu wa Tanzania, Dar- es- Salaam.
Habari ID: 3474062    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/02

TEHRAN (IQNA)- Kumeshuhudiwa ongezeko la utumizi wa huduma za Kiislamu za benki nchini Afrika Kusini kutokana na Waislamu kuzingatia zaidi mafundisho ya dini yao tukufu.
Habari ID: 3473933    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/05/21

TEHRAN (IQNA) – Ujumbe wa ngazi za juu wa wanazuoni kutoka Chuo cha Kiislamu cha Al Azhar cha Misri ulitembelea Iran nusu karne iliyopita ikiwa ni katika jitihada za wanazuoni wa Shia na Sunni kuleta umoja wa Kiislamu na ukuruba wa madhehebu.
Habari ID: 3473860    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/04/29