uislamu%2c

IQNA

Ayatullah Makarim Shirazi
Ayatullah Naser Makarim Shirazi,mwanazuoni mwandamizi wa Kiislamu mjini Qum nchini Iran amesema kuwa Uwahhabi uko mbali na Uislamu kwani wafuasi wa pote hilo wamepotosha Uislamu.
Habari ID: 3470232   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/07

Maelfu ya Wabangladesh wameandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo kupinga njama za kutaka Uislamu usitambuliwe kuwa dini rasmi ya nchi hiyo.
Habari ID: 3470216   Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/26