Ayatullah Makarim Shirazi
Ayatullah Naser Makarim Shirazi,mwanazuoni mwandamizi wa Kiislamu mjini Qum nchini Iran amesema kuwa Uwahhabi uko mbali na Uislamu kwani wafuasi wa pote hilo wamepotosha Uislamu.
Habari ID: 3470232 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/04/07
Maelfu ya Wabangladesh wameandamana katika mji mkuu wa nchi hiyo kupinga njama za kutaka Uislamu usitambuliwe kuwa dini rasmi ya nchi hiyo.
Habari ID: 3470216 Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/26