iqna

IQNA

macron
Waislamu Ufaransa
IQNA-Kuongezeka chuki katika ngazi za kisiasa na kijamii dhidi ya wanawake Waislamu hasa wanaovalia hijabu na niqabu nchini Ufaransa kumepelekea idadi kubwa ya wanawake hao waihame nchi hiyo ya Ulaya.
Habari ID: 3478370    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/02/18

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) – Marefa nchini Ufaransa wameamuriwa na shirikisho la soka la nchi hiyo kutositisha mechi ili kuwaruhusu wachezaji Waislamu kufuturu katika mwezi wa Ramadhani.
Habari ID: 3476794    Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/01

Chuki dhidi ya Uislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA)- Mwenendo wa chuki dhidi ya Uislamu na vitendo vya utumiaji mabavu dhidi ya Waislamu katika mataifa ya Ulaya hususan Ufaransa ungali unaendelea huku kukiwa na mpango wa kuwatimua Maimamu na viongozi wengine wa jamii ya Waislamu katika nchi hiyo.
Habari ID: 3475748    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/07

Chuki dhidi ya Uislamu Ufaransa
TEHRAN (IQNA)- Maimamu 15 wa msikiti huko nchini Ufaransa watafukuzwa nchini humo kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya uchochezi.
Habari ID: 3475716    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/09/01

Chuki dhidi ya Uislamu
TEHRAN (IQNA) - Mgahawa huko Ufaransa haukumruhusu mwanamke Muislamu aliyevaa Hijabu kwa sababu ya vazi lake hilo la Kiislamu.
Habari ID: 3475331    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/06/03

TEHRAN (IQNA)- Msitiki umehujumiwa katika mji wa Metz, kaskazini mashariki mwa Ufaransa siku moja kabla ya Emmanuel Macron kuapishwa kuendelea kuwa rais wa Ufaransa.
Habari ID: 3475217    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/05/07

TEHRAN (IQNA)- Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa ameonya kuwa mpango wa hasimu wake katika uchaguzi wa rais, Marine Le Pen wa kupiga marufuku hijabu katika maeneo ya umma unaweza kuibua vita ndani nchini humo.
Habari ID: 3475150    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/21

TEHRAN (IQNA)- Katika ripoti yake ya kila mwaka kuhusu hali ya haki za binadamu duniani, shirika la kutetea haki za binadamu la Amnesty International lilikosoa rekodi ya haki za Ufaransa, hususan sera yake kuhusu Waisamu na wakimbizi.
Habari ID: 3475088    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/30

TEHRAN (IQNA) – Serikali ya Ufaransa imeshutumiwa kwa kuwalenga Waislamu kwa njia iliyoratibiwa.
Habari ID: 3475001    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/03/03

Rais wa Iran katika mazungumzo na Rais wa Ufaransa
TEHRAN (IQNA)- Rais Ebrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema mapatano yoyote yatakayofikiwa kwenye mazungumzo ya Vienna yenye lengo la kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA lazima yajumuishe suala la kuondolewa vikwazo taifa la Iran, sanjari na kupasishwa kwa kipengee kuhusu dhamana yenye itibari, na vile vile kujizuia na masuala ya kisiasa na kuibua tuhuma zisizo na msingi.
Habari ID: 3474953    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/02/20

TEHRAN (IQNA)- Baraza la Seneti la Ufaransa limepiga kura na kuidhnisha sheria inayopiga marufuku wanawake Waislamu kuvaa vazi la stara na heshima la Hijabu katika mashindano ya michezo.
Habari ID: 3474830    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/20

TEHRAN (IQNA)- Ufaransa imeendeleza ukandamizaji wake wa Waislamu kwa kutangaza kufunga msikiti mmoja katika mji wa Cannes.
Habari ID: 3474802    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/01/13

Rais wa Iran katika mazungumzo ya simu na Rais wa Ufaransa
TEHRAN (IQNA)- Rais Ibrahim Raisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amemfahamisha Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kuwa, Iran inataka kuona natija katika mazungumzo ya nyuklia yanayoendelea sasa Vienna Austria na kwamba lazima mazungumzo hayo yahitimishwe kwa Iran kuondolewa vikwazo.
Habari ID: 3474622    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/11/30

TEHRAN (IQNA)- Bunge la Ufaransa jana Jumanne limeidhinisha sheria iliyo dhidi ya Uislamu na Waislamu nchini humo.
Habari ID: 3473658    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/17

TEHRAN (IQNA)- Mwenedo wa chuki dhidi ya Uislamu barani Ulaya hususan nchini Ufaransa ungali unaendelea ambapo Waislamu wa nchi hiyo wamekuwa wakikabiliwa na mashinikizo makubwa.
Habari ID: 3473652    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/15

TEHRAN (IQNA) - Sera za chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu Ufaransa zimechukua mwelekeo mpya baada ya serikali kuanza kufunga maduka ya Waislamu kwa visingizio mbali mbali vya 'kisheria'.
Habari ID: 3473619    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/02/04

TEHRAN (IQNA)- Kiongozi maarufu wa upinzani wa mrengo wa kulia wenye kufurutu ada nchini Ufaransa, Marine Le Pen amependekeza kuwa vazi la Kiislamu la Hijabu lipigwe marufuku kabisa katika maeneo yote ya umma nchini humo.
Habari ID: 3473604    Tarehe ya kuchapishwa : 2021/01/30

TEHRAN (IQNA)- Serikali ya Ufaransa imetangaza mpango mkubwa na ambao haujawahi kushuhudiwa wa kufanya upekuzi katika misikiti ya nchini humo.
Habari ID: 3473419    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/12/03

TEHRAN (IQNA)- Ikiwa ni katika kuendeleza kampeni dhidi asasi za Kiislamu, Waziri wa Mambo ya Ndani wa Ufaransa Gerald Darminian ametangaza mpango wa kupiga marufuku Taasisi ya Kupambana na Chuki Dhidi ya Uislamu au Islamophobia Ufaransa (CCIF).
Habari ID: 3473378    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/20

TEHRAN (IQNA) – Waziri wa zamani wa utamaduni nchini Senegal amerejesha nishani ya juu zaidi ya Ufaransa ya Légion d'honneur aliyokuwa ametunukiwa.
Habari ID: 3473363    Tarehe ya kuchapishwa : 2020/11/15