IQNA

Msikiti Mkuu wa Taipei wahifadahi utambulisho wa Kiislamu eneo la China la Taiwan

Msikiti Mkuu wa Taipei wahifadahi utambulisho wa Kiislamu eneo la China la Taiwan

IQNA – Kwa kutegemea mradi wa kielimu ulioendelea kwa zaidi ya miaka ishirini, Msikiti Mkuu au Msikiti wa Jamia wa Taipei katika eneo la China la Taiwan umejidhihirisha kama mfano wenye mafanikio katika kulea na kuelimisha vizazi vijavyo vya Waislamu.
15:48 , 2026 Jun 07
Miaka mitano baadaye, jamii ya London yaungana kuwakumbuka wanafamilia wa Kiislamu waliouawa kikatili katika shambulio la chuki

Miaka mitano baadaye, jamii ya London yaungana kuwakumbuka wanafamilia wa Kiislamu waliouawa kikatili katika shambulio la chuki

IQNA – Miaka mitano baada ya washiriki wanne wa familia moja ya Kiislamu kuuawa kwa kugongwa makusudi na gari katika kitendo ambacho jaji amekitaja kuwa ni cha kigaidi, wanajamii katika mji wa London, Ontario nchini Kanada, wamekusanyika kuwakumbuka wahanga hao na kusisitiza upya ahadi yao ya kupambana na chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia).
15:41 , 2026 Jun 07
Idara ya Haramu Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) yakamilisha urekebishaji wa Msahafu adimu

Idara ya Haramu Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) yakamilisha urekebishaji wa Msahafu adimu

IQNA – Idara ya Masuala ya Kifikra na Utamaduni ya Astan au Mamlaka ya Usimamizi ya Haramu Takatifu ya Hadhrat Abbas (AS) iliyopo Karbala, Iraq, imekamilisha kazi kubwa ya urekebishaji wa nakala adimu na yenye thamani ya kipekee ya Qur’ani Tukufu.
15:20 , 2026 Jun 07
Msikiti Mkuu wa Makkah Kuandaa Kozi ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu

Msikiti Mkuu wa Makkah Kuandaa Kozi ya Kuhifadhi Qur’ani Tukufu

IQNA – Usajili umeanza kwa wale wanaotaka kushiriki kozi ya majira ya kiangazi ya kuhifadhi Qur’ani Tukufu katika Msikiti Mkuu wa Makkah (Masjid Al-Haram).
19:24 , 2026 Jun 06
Mmiliki wa Klabu ya Poland akataa uhamisho kwa timu ya ‘Israel’, aitaja kuwa mfano wa Ujerumani ya Nazi

Mmiliki wa Klabu ya Poland akataa uhamisho kwa timu ya ‘Israel’, aitaja kuwa mfano wa Ujerumani ya Nazi

IQNA – Akieleza sababu za kukataa uhamisho wa mchezaji kwenda klabu ya soka ya Israel ya Maccabi Tel Aviv, mmiliki wa klabu ya soka ya Poland ya  Pogon Szczecin ametolea mfano wa Ujerumani ya enzi za utawala wa Nazi.
19:16 , 2026 Jun 06
Wahalifu wahujumu Msikiti wa Moncton, Kanada kwa maandishi ya Chuki Dhidi ya Uislamu

Wahalifu wahujumu Msikiti wa Moncton, Kanada kwa maandishi ya Chuki Dhidi ya Uislamu

IQNA – Polisi wanawatafuta washukiwa baada ya msikiti mmoja katika mji wa Moncton, ulioko kusini-mashariki mwa jimbo la New Brunswick nchini Kanada, kuharibiwa kwa maandishi ya kuta (graffiti) yenye chuki dhidi ya Uislamu na Waislamu. Waumini wa msikiti huo wanasema kitendo hicho ni shambulio lililolenga moja kwa moja jamii yao ya Kiislamu.
19:06 , 2026 Jun 06
Makombora ya Iran yalenga vituo vya kijeshi vya Marekani Ghuba ya Uajemi kujibu uchokozi

Makombora ya Iran yalenga vituo vya kijeshi vya Marekani Ghuba ya Uajemi kujibu uchokozi

IQNA-Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limeshambulia kambi mbili za anga za Marekani huko Kuwait na vituo vilivyobaki vya Kikosi cha Tano cha Jeshi la Wanamaji la Marekani (US Fifth Fleet) huko Bahrain ili kujibu uchokozi wa hivi karibuni wa Marekani.
18:50 , 2026 Jun 06
Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Misri Kufanyika kwa Heshima ya Sheikh Abdel Fattah Shaasha’i

Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Misri Kufanyika kwa Heshima ya Sheikh Abdel Fattah Shaasha’i

IQNA – Mashindano ya kimataifa ya Qur’ani ya Misri ya mwaka huu yatafanyika kwa kumbukumbu ya qari mashuhuri marehemu Sheikh Abdel Fattah Shaasha’i.
22:52 , 2026 Jun 05
Israel yatumia maafisa wenye misimamo mikali ya Kiyahudi kwa doria katika Msikiti wa Al‑Aqsa

Israel yatumia maafisa wenye misimamo mikali ya Kiyahudi kwa doria katika Msikiti wa Al‑Aqsa

IQNA – Eneo takatifu na muhimu kwa Waislamu katika mji mtukufu wa al‑Quds (Jerusalem) litaanza kusimamiwa na maafisa wa polisi wenye misimamo mikali wa Kiyahudi wa mrengo wa kulia.
22:45 , 2026 Jun 05
Mji wa Tehran washuhudia matembezi ya kilomita 10 katika Siku Kuu ya Ghadir

Mji wa Tehran washuhudia matembezi ya kilomita 10 katika Siku Kuu ya Ghadir

IQNA - Joto kali la mwezi Juni katika barabara za Tehran halikuweza kupunguza hamasa na shauku ya wananchi waliojitokeza kushiriki katika “Ugeni wa Ghadir wa Kilomita 10”.
22:23 , 2026 Jun 05
Kundi la Waislamu Kanada Latoa Wito wa Mkakati wa Kukabiliana na Chuki Dhidi ya Uislamu

Kundi la Waislamu Kanada Latoa Wito wa Mkakati wa Kukabiliana na Chuki Dhidi ya Uislamu

IQNA – Miaka mitano baada ya mwanaume mmoja kuendesha kwa makusudi gari aina ya pickup na kuigonga familia ya Kiislamu iliyokuwa ikitembea kwa miguu mjini London, katika jimbo la Ontario, Kanada, na kuwaua watu wanne, kundi la kitaifa la utetezi wa haki za Waislamu limesema kuwa serikali ya shirikisho imeshindwa kutekeleza mapendekezo muhimu ya kukabiliana na chuki dhidi ya Uislamu.
22:17 , 2026 Jun 05
Kiongozi Muadhamu: Mahasimu wa Iran wanatumia mbinu za

Kiongozi Muadhamu: Mahasimu wa Iran wanatumia mbinu za "vita vya mseto" baada ya kushindwa vibaya kijeshi

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema mahasimu wa Iran wamegeukia mbinu za "vita vya mseto" baada ya kushindwa vibaya mbele ya vikosi vya ulinzi vya nchi hii na kusisitiza kuhusu umoja na umakini wa kitaifa ili kusambaratisha njama za maadui.
17:57 , 2026 Jun 04
Wairani waadhimisha mwaka wa 37 tokea alipoaga dunia Mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu Imam Khomeini

Wairani waadhimisha mwaka wa 37 tokea alipoaga dunia Mwasisi wa Jamhuri ya Kiislamu Imam Khomeini

IQNA-Wananchi wa Iran wa matabaka mbalimbali wameshiriki katika marasimu mbalimbali ya maadhimisho ya kumbukumbu ya mwaka wa 37 tangu kufariki dunia Imam Ruhullah Musavi Khomeini (M.A) Muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
17:48 , 2026 Jun 04
Misafara ya mazishi ya Shahidi Imam Khamenei kufanyika Tehran, Qom na Mashhad

Misafara ya mazishi ya Shahidi Imam Khamenei kufanyika Tehran, Qom na Mashhad

IQNA – Misafara ya mazishi ya Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, inatarajiwa kufanyika katika miji mitatu ya Iran, kwa mujibu wa taarifa ya afisa mmoja.
17:58 , 2026 Jun 03
Misahafu ya kale katika Hazina ya Haram ya Imam Ali (AS) yaonyeshwa Najaf

Misahafu ya kale katika Hazina ya Haram ya Imam Ali (AS) yaonyeshwa Najaf

IQNA – Kazi na maandiko ya kale yenye thamani kubwa, yakiwemo nakala za Qur’ani (Misahafu) kutoka hazina ya Alawi, zinaonyeshwa katika mji wa Najaf, Iraq, katika mfumo wa programu za Wiki ya 15 ya Ghadir.
17:44 , 2026 Jun 03
5 6 7 8