IQNA

Mufti Mkuu wa Libya awasisistizia tena Waislamu  waiunge mkono Iran

Mufti Mkuu wa Libya awasisistizia tena Waislamu waiunge mkono Iran

IQNA-Mufti Mkuu wa Libya ametoa taarifa kuhusu mashambulizi na uchokozi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran na kwa mara nyingine amesisitiza kuwa: Ni wajibu kuwahami Waislamu pale vita vinapotokea baina ya Waislamu na makafiri.
13:48 , 2026 Mar 24
Wayahudi wanavyoibua mifarakano miongoni mwa Waislamu

Wayahudi wanavyoibua mifarakano miongoni mwa Waislamu

IQNA – Katika muktadha wa vita vinavyoendelea ambavyo vilianza katika mwezi mtukufu wa Ramadhani, upande mmoja unasimama Iran ya Kiislamu, na upande mwingine wapo Marekani, utawala wa Kizayuni, pamoja na vituo vyao vilivyoko katika nchi za Waarabu Waislamu za Asia ya Magharibi.
21:03 , 2026 Mar 23
Kiongozi wa Kanisa Katoliki akosoa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran, avitaja kuwa aibu kwa ubinadamu

Kiongozi wa Kanisa Katoliki akosoa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran, avitaja kuwa aibu kwa ubinadamu

IQNA – Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Leo amekosoa vikali vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran, akivitaja kuwa ni fedheha kwa familia nzima ya kibinadamu na mtihani mkubwa wa maadili kwa ulimwengu mzima.
15:48 , 2026 Mar 23
Ahmad Nu‘aynah: Ugumu wa kazi ya tiba haukunizuia kujishughulisha na Tilawa ya Qur’ani

Ahmad Nu‘aynah: Ugumu wa kazi ya tiba haukunizuia kujishughulisha na Tilawa ya Qur’ani

IQNA-Qari mashuhuri wa Misri,  Daktari Sheikh Ahmad Nu‘aynah, amesema kuwa kazi yake ya udaktari haijawahi kumzuia kujishughulisha na usomaji wa Qur’ani Tukufu.
14:23 , 2026 Mar 23
Ayatullah Sistani alaani vikali vita dhidi ya Iran na Lebanon, awataka Waislamu wote kuvikemea

Ayatullah Sistani alaani vikali vita dhidi ya Iran na Lebanon, awataka Waislamu wote kuvikemea

IQNA – Mwanazuoni mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, Ayatullah Sayyid Ali al‑Sistani, amelaani kwa maneno makali vita vinavyoendeshwa hivi sasa na Marekani na Israel dhidi ya Iran na Lebanon, na amewataka Waislamu wote pamoja na watu huru duniani kuvipinga na kuvikemea.
14:49 , 2026 Mar 22
Malipo kwa kuingia katika nyanja zinazowaghadhibisha makafiri

Malipo kwa kuingia katika nyanja zinazowaghadhibisha makafiri

IQNA – Matumizi ya Aya ya 120 ya Sura At-Tawbah katika mapambano ya leo yanajumuisha aina nyingi za juhudi za watu, ikiwemo kuingia katika nyanja zinazochochea ghadhabu ya maadui.
14:37 , 2026 Mar 22
Rais wa Pezeshkian: Iran haina nia ya kuzozana na nchi za Kiislamu

Rais wa Pezeshkian: Iran haina nia ya kuzozana na nchi za Kiislamu

IQNA-Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, ametoa ujumbe maalumu kwa mnasaba wa mwaka mpya wa Kiirani wa Hijria Shamsia, 1405 na kusema Iran haina nia ya kuzozana na nchi za Kiislamu na kuongeza kuwa: “Mwaka huu, kuliko wakati mwingine wowote, tunaihitaji Nowruz; Nowruz inayonyesha umoja kwa dunia.”
15:00 , 2026 Mar 21
Kiongozi Muadhamu: Mstari wa mbele wa Iran ni mpana zaidi kuliko fikra finyu za adui

Kiongozi Muadhamu: Mstari wa mbele wa Iran ni mpana zaidi kuliko fikra finyu za adui

IQNA-KKiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu aliwaambia wananchi wa Iran kwamba: Kwa kumpa adui pigo, mmemfahamisha kwamba hapambani tu na makombora, ndege zisizo na rubani, torpedo na zana za kijeshi pekee kwani mstari wa mbele wa Iran ni mpana sana kuliko taswira yake finyu na iliyodhalilika.
13:24 , 2026 Mar 21
Sharti la Ushindi wa Mwisho Dhidi ya Adui kwa Mujibu wa Qur’ani

Sharti la Ushindi wa Mwisho Dhidi ya Adui kwa Mujibu wa Qur’ani

IQNA –IQNA-Katika sehemu ya kumi na moja ya mfululizo wa maandishi ya uchambuzi wa Qur’ani kuhusu matukio ya hivi karibuni, simulizi ya vita vya Talut katika Qur’ani Tukufu inachunguzwa, na jinsi ushindi wa mwisho unavyokuja baada ya kupita kwenye mitihani ya kimungu.
15:39 , 2026 Mar 20
Eid al‑Fitr Huleta Wapendwa Pamoja Duniani Kote

Eid al‑Fitr Huleta Wapendwa Pamoja Duniani Kote

IQNA – Baada ya kuonekana au kutokuonekana kwa hilali ya mwezi wa Shawwal katika mabara mbalimbali, Waislamu duniani wanaadhimisha Eid al‑Fitr katika siku tofauti.
15:04 , 2026 Mar 20
Hilali ya Shawwal haikuonekana; Iran kuadhimisha Eid al‑Fitr Jumamosi

Hilali ya Shawwal haikuonekana; Iran kuadhimisha Eid al‑Fitr Jumamosi

IQNA – Iran itaadhimisha Eid al‑Fitr siku ya Jumamosi, tarehe 21 Machi, baada ya hilali ya mwezi wa Shawwal kutoonekana nchini humo jioni ya Alhamisi.
14:58 , 2026 Mar 20
Uhusiano kati ya Utakaso wa Waumini na Maangamizi ya Taratibu ya Makafiri

Uhusiano kati ya Utakaso wa Waumini na Maangamizi ya Taratibu ya Makafiri

IQNA – Kuna uhusiano wa kina kati ya kuangamizwa kwa makafiri na kusafishwa kwa waumini; kadiri daraja ya imani inavyopanda, ndivyo kiwango cha ukafiri kinavyozidi kuwa kikali.
13:11 , 2026 Mar 19
Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 29

Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 29

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 29 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
12:41 , 2026 Mar 19
Harakati za Palestina za Hamas na Jihad Islami zalaani Dkt. Larijani

Harakati za Palestina za Hamas na Jihad Islami zalaani Dkt. Larijani

IQNA-Harakati za Mapambano ya Kiislamu (Muqawama) Palestina zimelaani mauaji ya afisa mkuu wa usalama wa Iran, Ali Larijani, na kuahidi kuendeleza njia na msimamo wake.
12:15 , 2026 Mar 19
Wajibu wa wasomi wa Qur’ani duniani kupaza sauti dhidi ya upotovu na ubeberu

Wajibu wa wasomi wa Qur’ani duniani kupaza sauti dhidi ya upotovu na ubeberu

IQNA- Katika barua ya wazi iliyotumwa kwa wasomaji wa wahafidhi na wanaharakati wa Qur’ani Tukufu kutoka kote ulimwenguni, maqari na wataalamu wa Qur’ani kutoka Jamhuri ya Kiislamu ya Iran wameashiria mashambulizi yanayoendelea ya Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Iran na kusema: “Leo, Qur’ani Tukufu inatuita kwenye wajibu na hatua.”
17:43 , 2026 Mar 18
7