IQNA

Wanamapambano wa Kiislamu Iraq watungua ndege ya kujaza mafuta ya Jeshi la Marekani

Wanamapambano wa Kiislamu Iraq watungua ndege ya kujaza mafuta ya Jeshi la Marekani

IQNA-Makao Makuu ya Kamandi ya Kati ya Marekani (CENTCOM) yametangaza ‘kuanguka’ kwa ndege yao ya kijeshi ya kujaza mafuta angani katika eneo la magharibi mwa Iraq, na kutaja tukio hilo kuwa eti ni “ajali”. Hatahivyo Harakati ya Muqawama au Mapambano ya Kiislamu nchini Iraq imetangaza rasmi kutungua ndege hiyo ya jeshi la kigaidi la Marekani.
15:33 , 2026 Mar 13
Mufti wa Oman ampongeza Kiongozi Mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran

Mufti wa Oman ampongeza Kiongozi Mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran

IQNA-Sheikh Ahmed bin Hamad Al Khalili, Mufti Mkuu wa Oman, ametoa pongezi zake kufuatia kuchaguliwa kwa Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kuwa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran.
15:29 , 2026 Mar 13
Hamasa katikati ya vita Iran; maandamano ya Siku ya Quds katika Ijumaa ya mwisho ya Ramadhani

Hamasa katikati ya vita Iran; maandamano ya Siku ya Quds katika Ijumaa ya mwisho ya Ramadhani

IQNA-Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds yameanza leo kote nchini Iran huku taifa likiwa katika maombolezo ya shahidi Imam Ayatullah al Udhma Sayyid Ali Khamenei.
15:20 , 2026 Mar 13
Ujumbe wa kwanza wa Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

Ujumbe wa kwanza wa Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

IQNA-Ayatullah Sayyid Husseini Khamenei, Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, ametoa ujumbe wake wa kwanza tangu alipochaguliwa kushika wadhifa huo muhimu.
23:14 , 2026 Mar 12
Kigezo cha chini  kabisa cha kutangaza ushindi vitani

Kigezo cha chini kabisa cha kutangaza ushindi vitani

IQNA – Kwa ajili ya kutangaza mwisho wa vita au ushindi katika mapambano dhidi ya Marekani na utawala wa Kizayuni, Qur’ani Tukufu inaweka misingi kadhaa ya uongozi na mwongozo.
19:37 , 2026 Mar 12
Kiongozi wa Hizbullah aapa utii kwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

Kiongozi wa Hizbullah aapa utii kwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

IQNA – Katibu Mkuu wa harakati ya muqawama ya Hizbullah ya Lebanon, Sheikh Naim Qassem, katika ujumbe wake amempongeza Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei na kuapa utiifu kwake.
15:33 , 2026 Mar 12
Ayatullah Sistani amtakia mafanikio Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

Ayatullah Sistani amtakia mafanikio Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

IQNA – Ofisi ya mwanazuoni mkuu wa Kishia nchini Iraq, Ayatullahil Udhma Sayyid Ali al‑Sistani, imetuma ujumbe wa kumtakia mafanikio Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu Iran, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei.
15:19 , 2026 Mar 12
Wakazi wa Tehran wajitokeza kwa wingi katika mazishi ya Mashahidi wa Vita vya Ramadhani

Wakazi wa Tehran wajitokeza kwa wingi katika mazishi ya Mashahidi wa Vita vya Ramadhani

IQNA-Hafla ya mazishi ya Mashahidi wa Vita vya Ramadhani imefanyika kuanzia Uwanja wa Mapinduzi (Maidan-e Enqelab) hadi Mi‘raj al-Shuhadaa jijini Tehran, ikiambatana na mahudhurio makubwa ya wananchi waliokuja kutoa heshima zao za mwisho. Hafla hiyo imefanyika sambamba na kumbukumbu ya kuuawa shahidi Imam Ali (AS) katika siku ya 21 ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani.
15:11 , 2026 Mar 12
Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 22

Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 22

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 22 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
14:59 , 2026 Mar 12
Mwanazuoni wa Kisunni wa Pakistan: Iran imeshinda vita visivyo na usawa dhidi ya Marekani na Israel

Mwanazuoni wa Kisunni wa Pakistan: Iran imeshinda vita visivyo na usawa dhidi ya Marekani na Israel

IQNA-Mwanazuoni mashuhuri wa Ahlus-Sunna nchini Pakistan ametaja kwa sifa kubwa ubora wa kijeshi na kiuwezo wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, licha ya kupita siku 11 tangu kuanza kwa uvamizi wa kijeshi wa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel. Amesema: Wavamizi bado wako katika ndoto ya ushindi, lakini Iran imevunja kiburi cha bandia cha ngome za Marekani na Israel.
22:13 , 2026 Mar 11
Mufti Mkuu wa Russia ampongeza Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei

Mufti Mkuu wa Russia ampongeza Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei

IQNA-Mufti Mkuu wa Russia ambaye pia ni Mkuu wa Idara ya Masuala ya Kidini ya Waislamu wa Shirikisho la Russia ametuma ujumbe akimpongeza Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kwa kuchaguliwa kuwa Kiongozi Mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu.
21:30 , 2026 Mar 11
Sheria ya Mungu isiyobadilika katika Mapambano ya Kisasa ya Ahzab

Sheria ya Mungu isiyobadilika katika Mapambano ya Kisasa ya Ahzab

IQNA – Kwa mujibu wa aya za Surah Al-Fath na Al-Ahzab katika Qur’ani Tukufu, Mwenyezi Mungu Mtukufu amekusudia kwamba kila wakati maadui wanapoanzisha uhasama, na upande wa haki ukadumu thabiti, basi kurudi nyuma na kushindwa kwa mhalifu huwa ni jambo lisilokwepeka na lisilobadilika.
21:07 , 2026 Mar 11
Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 21

Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 21

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 21 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
13:15 , 2026 Mar 11
Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds kufanyika kote Iran Ijumaa Hii

Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds kufanyika kote Iran Ijumaa Hii

IQNA – Maandamano ya kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Quds yanatarajiwa kufanyika katika miji na maeneo yote ya Iran Ijumaa hii.
13:02 , 2026 Mar 11
Wakati nguvu ya mwanadamu vitani inapokuwa isiyo na mipaka

Wakati nguvu ya mwanadamu vitani inapokuwa isiyo na mipaka

IQNA – Qur’ani Tukufu inabainisha kwamba kiwango cha imani ya mtu kwa Mwenyezi Mungu ndicho kinachoamua kiwango cha uwezo wake wa kutenda.
20:35 , 2026 Mar 10
9