IQNA

Raundi ya mwisho ya Tamasha la Qur’an kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Iran

Raundi ya mwisho ya Tamasha la Qur’an kwa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu Iran

IQNA – Raundi ya mwisho ya mashindano ya Qur’an kwa wanafunzi wa vyuo vikuu nchini Iran, toleo la 39, imeanza rasmi Jumamosi kwa hafla maalum ya uzinduzi.
15:23 , 2025 May 25
Qur’ani kwa dhahabu na rangi: Msanii wa Kiirani atafakari Sanaa ya Tadhib

Qur’ani kwa dhahabu na rangi: Msanii wa Kiirani atafakari Sanaa ya Tadhib

IQNA – Msanii mmoja kutoka Iran ameielezea namna uzuri wa kiroho wa Qur’an Tukufu unavyoendelea kumvutia na kumtia hamasa katika kazi yake ya sanaa ya kitamaduni ya tadhib au tazhib (mapambo ya Qur’an kwa dhahabu), ambayo ni miongoni mwa sanaa za Kiislamu za kale zinazotumika kupamba kurasa za Qur’an Tukufu.
15:18 , 2025 May 25
Teknolojia ya kisasa kudhibiti umati yaanzishwa Makkah kabla ya Hija

Teknolojia ya kisasa kudhibiti umati yaanzishwa Makkah kabla ya Hija

IQNA – Mfululizo wa mifumo ya kiteknolojia ya hali ya juu umetangazwa rasmi kwa ajili ya kuboresha usimamizi wa mahujaji katika Msikiti Mtakatifu wa Makkah kabla ya Hija ya mwaka 1446 Hijri (2025).
15:11 , 2025 May 25
Mfalme wa Wasomaji wa Qur'an wa Misri afariki dunia

Mfalme wa Wasomaji wa Qur'an wa Misri afariki dunia

IQNA – Qari maarufu wa Qur'ani nchini Misri, Sheikh Al-Sayyid Saeed, anayefahamika kwa lakabu ya “Sultan al-Qurra” (Mfalme wa Wasomaji wa Qur’an), amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda.
11:18 , 2025 May 25
Amali Tukufu za Hija: Alama za Kiroho na Tawhidi

Amali Tukufu za Hija: Alama za Kiroho na Tawhidi

IQNA – Katika aya mbalimbali za Qur’ani, ibada za Hija kama Tawafu (kuzunguka Kaaba), kuchinja (udhiya), na nyinginezo, zimeelezwa kuwa sehemu ya ibada za mja kwa Mwenyezi Mungu.
21:30 , 2025 May 24
Katika mkutano Vatican, Iran yatoa wito kwa Kanisa Katoliki kuchukua hatua kukomesha mauaji ya kimbari Gaza

Katika mkutano Vatican, Iran yatoa wito kwa Kanisa Katoliki kuchukua hatua kukomesha mauaji ya kimbari Gaza

IQNA-Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, katika mkutano na maafisa wa Makao Makuu ya Kanisa Katoliki Duniani, Vatican huko mjini Rome, ametoa wito wa kuchukuliwa hatua za haraka za kimataifa kukomesha uhalifu unaoendelea kutendwa na utawala katili wa Israel huku Gaza, na kuhakikisha misaada ya kibinadamu inafika katika eneo hilo lililozingirwa.
21:18 , 2025 May 24
Mkutano wa Kimataifa Nchini Baku Kujadili Kuongezeka kwa Chuki Dhidi ya Uislamu Duniani

Mkutano wa Kimataifa Nchini Baku Kujadili Kuongezeka kwa Chuki Dhidi ya Uislamu Duniani

IQNA – Mkutano wa kimataifa utakaofanyika Baku mnamo Mei 26–27 utawaleta pamoja wataalamu wa kimataifa ili kujadili changamoto inayoongezeka ya chuki dhidi ya Uislamu yaani Islamophobia.
21:04 , 2025 May 24
Binti aliyehifadhi Qur’ani asema inatia nuru maisha, inaimarisha akili

Binti aliyehifadhi Qur’ani asema inatia nuru maisha, inaimarisha akili

IQNA – Zeynab al-Sadat Savadkouhi, binti aliyehifadhi Qur’ani Tukufu, amebainisha jinsi kujikita kwake kwa kina katika kitabu kitakatifu kumeathiri kwa kiwango kikubwa maisha yake ya kitaaluma na binafsi.
20:55 , 2025 May 24
Tamasha la Kimataifa la Qur'ani na Hadithi la Al-Mustafa lafanyika kwa mafanikio Tanzania

Tamasha la Kimataifa la Qur'ani na Hadithi la Al-Mustafa lafanyika kwa mafanikio Tanzania

IQNA – Toleo la 30 la Tamasha la Kimataifa la Qur'ani na Hadithi la Al-Mustafa limehitimishwa nchini Tanzania kwa hafla maalum ya kufunga, ambapo washiriki bora wa tukio hilo walitunukiwa.
20:47 , 2025 May 24
Roboti inayoendeshwa na Akili Mnemba kuwasaidia Mahujaji Saudia

Roboti inayoendeshwa na Akili Mnemba kuwasaidia Mahujaji Saudia

IQNA –Roboti mpya ya Manarat Al-Haramain inayotumia Akili Mnemba (AI) imezinduliwa ili kuwasaidia Mahujaji huko Makka, Saudi Arabia.
19:07 , 2025 May 23
Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya Dubai kujimuisha vitengo vitatu

Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani ya Dubai kujimuisha vitengo vitatu

IQNA – Mashindano yajayo ya Qur’ani ya  Tuzo ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Dubai yatafanyika katika sehemu tatu kuu, na kwa mara ya kwanza yatafungua milango kwa washiriki wa kike.
18:56 , 2025 May 23
Ayatullah Sistani asisitiza ustawi wa shughuli za hisani

Ayatullah Sistani asisitiza ustawi wa shughuli za hisani

IQNA – Kiongozi mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, Ayatullah Sistani, amesisitiza umuhimu wa kuendeleza shughuli za hisani kwa moyo wa kujitolea.
18:47 , 2025 May 23
Maandalizi ya maadhimisho ya kufa shahidi Imam Jawad (AS)

Maandalizi ya maadhimisho ya kufa shahidi Imam Jawad (AS)

IQNA – Maandalizi ya maadhimisho a kumbukumbu ya kufa shahidi Imam Jawad (AS) katika mji mtakatifu wa Kadhimiya yalipitiwa upya katika mkutano wa hivi karibuni.
18:26 , 2025 May 23
Mashindano ya Kwanza ya Kuhitimisha  Qur’ani yafanyika Damascus

Mashindano ya Kwanza ya Kuhitimisha Qur’ani yafanyika Damascus

IQNA – Wizara ya Wakfu ya Syria imeandaa mashindano ya kwanza nchini humo ya kukamilisha usomaji wa Qur’ani nzima kwa siku moja, yakivutia mamia ya wahifadhi wa kiume na wa kike katika misikiti mitatu mikubwa kwenye mji mkuu.
18:09 , 2025 May 23
Tafsiri mpya ya Qur'ani kwa lugha ya Kiswahili, Tafsir Nur, yazinduliwa Dar

Tafsiri mpya ya Qur'ani kwa lugha ya Kiswahili, Tafsir Nur, yazinduliwa Dar

IQNA- Katika hafla ya kipekee iliyofanyika pembezoni mwa Kongamano la 30 la Qur'an Tukufu, lililofanyika katika Ukumbi wa Mikutano ya Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere (JNICC), Jijini Dar es Salaam, Tanzania, Tafsiri mpya ya Qur’an Tukufu kwa lugha ya Kiswahili imezinduliwa rasmi.
12:21 , 2025 May 22
9