IQNA – Kwa lengo la kuizidisha safari ya kiroho ya mamilioni ya wanaouzuru Msikiti wa Mtume au Al Masjid An Nabawi huko Madina Al-Munawwara, umeanzishwa mpango wa mwongozo kwa wageni unaounganisha ukunjufu wa mapokezi na mafundisho ya dini.
IQNA – Idara ya Mfawidhi au Msimamizi wa wa Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf, Iraq, Jumapili imetangaza kuanza kwa shughuli za Wiki ya 15 ya Kimataifa ya Ghadir.
IQNA – Wengi wanaamini kuwa kurekodiwa kwa Surat Yusuf kulikuwa mgeuko wa kweli katika maisha ya Sheikh al-Sayyid Saeed, na mafanikio hayo makubwa yakamfanya ajipatie umaarufu na hatimaye kunyakua lakabu inayostahiki ya “Sultan al-Qurra” (Mfalme wa Wasomaji Qur’ani).
IQNA – Video iliyosambazwa mtandaoni ikimuonesha Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdoğan, akisoma aya za Qur’ani Tukufu ndani ya Msikiti wa Aya Sofya mjini Istanbul, imepokelewa vyema na watumiaji wa mitandao ya kijamii.
IQNA – Katika vituo vya kuondokea abiria vya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mfalme Abdulaziz uliopo Jeddah, kuna jitihada tulivu na yenye baraka zinazoendelea.
IQNA – Wizara ya Awqaf (Wakfu) ya Misri imeuhuisha na kuuenzi ukumbusho wa qari marehemu wa Qur’ani Tukufu, Sheikh Sayyid Abdul Shafi Hilal, katika maadhimisho ya siku yake ya kuzaliwa.
IQNA – Ujumbe kutoka Astan (uongozi wa uangalizi/uhudumiaji) wa haram tukufu ya Imam Ali (AS) huko Najaf nchini Iraq umekabidhi bendera za Ghadir kwa haram ya Bibi Masoumeh (SA) pamoja na Msikiti wa Jamkaran katika mji wa Qom nchini Iran
IQNA – Hatua ya utawala wa Israel ya kuufunga Msikiti wa Ibrahimi katika mji wa Al-Khalil (Hebron) ni ukiukaji wa wazi wa uhuru wa kuabudu na wa haki ya wananchi wa Palestina, harakati ya muqawama ya Palestina, Hamas, imesema.
IQNA-Umoja wa Mataifa umekosoa vikali mipango ya Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ya kupanua udhibiti juu ya Ukanda wa Gaza, na kusisitiza kuwa eneo lote ni haki ya watu wa Palestina.
IQNA – Mwandishi na mwandishi wa habari kutoka Morocco amesisitiza kuwa Hija ni fursa ya kuimarisha kuishi kwa pamoja, kukubali tamaduni za wengine, na kufunguka kwa desturi na mila za mataifa mbalimbali.
IQNA – Mstahiki Meya wa Jiji la New York, Zohran Mamdani, amelaani vikali vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran akivitaja kuwa ni mgogoro usio na msingi, na kusisitiza kuwa vita hivyo ni lazima viishe mara moja kwa ajili ya usalama wa raia wa mataifa mengine, na pia kwa manufaa ya Wamarekani wanaopambana na hali ngumu ya maisha nyumbani kwao.
IQNA – Kijiji cha Kardonikskaya katika Jamhuri ya Karachay-Cherkessia nchini Russia, katika eneo la kaskazini-magharibi mwa Caucasus, kimeshuhudia ufunguzi rasmi wa msikiti mpya, hafla iliyoambatana na mashindano ya Qur’ani.
IQNA – Qari wa Iran, Javad Soleimani, ambaye ni msomaji wa Qur’ani katika Haram Tukufu ya Imam Reza (A.S.) huko Mashhad, hivi karibuni alisoma aya 73 hadi 78 za Surah Al-Hajj.
IQNA – Mwanazuoni mmoja wa Iran amesema kuwa Bara’ah min al-Mushrikin (kujivua na kujitenga na washirikina) ndiyo nyenzo bora zaidi ya kuifufua Hija ya Kiibrahimu.