IQNA

Vijana Wakiinua Bendera ya Iran

Vijana Wakiinua Bendera ya Iran

IQNA – Vijana wa Iran, wakiinua bendera ya nchi yao kwa fahari, wanajifunza na kutekeleza kwa vitendo jukumu la kulinda Mapinduzi ya Kiislamu wakiwa uwanjani na katika medani ya utumishi wa taifa.
18:10 , 2026 Mar 28
Hatima ya wale waliowaacha Waumini na kufanya urafiki na Mayahudi

Hatima ya wale waliowaacha Waumini na kufanya urafiki na Mayahudi

IQNA – Wakati watu madhlumu wa Palestina na mataifa mengi ya Kiislamu wakiwa chini ya dhuluma na uvamizi wa utawala wa Kizayuni wa Israel, baadhi ya nchi za Kiarabu zimeimarisha uhusiano wao wa siri na utawala huo wenye laana na nuksi; tabia ambayo Qur’ani Tukufu imeiashiria kwa onyo kali sana.
18:04 , 2026 Mar 28
Nchi za dunia zalaani kwa kauli moja hujuma ya Marekani na Israel dhidi ya shule Minab, Iran

Nchi za dunia zalaani kwa kauli moja hujuma ya Marekani na Israel dhidi ya shule Minab, Iran

IQNA-Baraza la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa (UNHRC) limelaani shambulio la Marekani na Israel dhidi ya Shule ya Shajareh Tayyebeh katika mji wa Minab, kusini mwa Iran, ambapo angalau wanafunzi na wafanyakazi wa shule 175 waliuawa katika mauaji ya kikatili tarehe 28 Februari.
11:06 , 2026 Mar 28
Jenerali Saree: Jeshi la Yemen liko tayari kujiunga na Iran kupambana na maadui

Jenerali Saree: Jeshi la Yemen liko tayari kujiunga na Iran kupambana na maadui

IQNA-Jeshi la Yemen limetangaza kuwa liko tayari kuingilia moja kwa moja kijeshi iwapo pande nyingine zitaungana na Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Mhimili wa Muqawama.
11:02 , 2026 Mar 28
Araghchi: Hujuma dhidi Shule ya Minab ni jinai ya vita iliyotendwa na Marekani, Israel

Araghchi: Hujuma dhidi Shule ya Minab ni jinai ya vita iliyotendwa na Marekani, Israel

IQNA-Waziri wa mambo ya nje wa Iran amesema mauaji ya wanafunzi katika Shule ya Minab yaliyotekelezwa na Marekani na Israel ni “sehemu ndogo tu ,” ya jinai ya kivita unaofanywa na muungano huo wa kijeshi wa tawala hizo mbili.
10:55 , 2026 Mar 28
Nchi za Kiislamu zisiwaruhusu maadui kuibua mifarakano

Nchi za Kiislamu zisiwaruhusu maadui kuibua mifarakano

IQNA-Rais wa Iran amesema katika mazungumzo ya simu na Waziri Mkuu wa Malaysia kwamba nchi za Kiislamu hazipaswi kuwaruhusu maadui kupanda mbegu za mifarakano na kuwasha moto wa vita.
07:00 , 2026 Mar 27
Msaada wa Mwenyezi Mungu hufika baada ya waumini kuchukua hatua

Msaada wa Mwenyezi Mungu hufika baada ya waumini kuchukua hatua

IQNA – Aya ya 39 ya Surah Al‑Hajj katika Qur’ani Tukufu inaeleza kwamba Waislamu wanapaswa kufanya yale yaliyo ndani ya uwezo wao, kisha wasubiri nusura ya Mwenyezi Mungu.
20:29 , 2026 Mar 26
Wananchi wa Iran waomba dua ya ushindi wa wapiganaji wa Kiislamu

Wananchi wa Iran waomba dua ya ushindi wa wapiganaji wa Kiislamu

IQNA – Wananchi wa Iran, wakionyesha uungaji mkono wao kwa Mapinduzi ya Kiislamu, wameshiriki katika mijumuiko mbali mbali ya kuomba dua kwa ajili ya ushindi na kufanikiwa kwa wapiganaji wa Kiislamu.
19:49 , 2026 Mar 26
Mvunjia heshima Qur’ani Salwan Momika atimuliwa mfanyabiashara Mkristo nchini Uswidi

Mvunjia heshima Qur’ani Salwan Momika atimuliwa mfanyabiashara Mkristo nchini Uswidi

IQNA – Wakati Salwan Momika, anayejulikana kwa vitendo vya kuchoma na kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu hadharani nchini Uswidi, alipoingia katika duka la mfanyabiashara Mkristo, hakupokelewa kwa huduma bali kwa kukataliwa ambapo mmiliki wa duka alikataa kumuuzia bidhaa na mara moja akamuamuru atoke nje.
19:46 , 2026 Mar 26
Al Azhar yatakiwa kubadilisha msimamo kuhusu vita dhidi ya Iran

Al Azhar yatakiwa kubadilisha msimamo kuhusu vita dhidi ya Iran

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha AlAzhar nchini Misri kimehimizwa kufikiria upya msimamo wake kuhusu mashambulizi yanayoendelea ya Marekani na Israel dhidi ya Iran, na pia kutafakari kwa makini kuhusu mustakabali wa ulimwengu wa Kiislamu na Umma wa Waislamu.
19:27 , 2026 Mar 26
Mantiki ya Qur’ani Kuhusu Kujibu Uadui na Uchokozi wa Adui

Mantiki ya Qur’ani Kuhusu Kujibu Uadui na Uchokozi wa Adui

IQNA – Serikali ya Kiislamu haianzi vita dhidi ya yeyote, lakini ina wajibu wa kujibu uchokozi, fitina na vitendo vya kueneza hofu ili msaada wa Mwenyezi Mungu uweze kuifikia.
18:26 , 2026 Mar 25
Ammar al‑Hakim alaani shambulio dhidi ya Makao Makuu ya PMU nchini Iraq

Ammar al‑Hakim alaani shambulio dhidi ya Makao Makuu ya PMU nchini Iraq

IQNA – Sayyid Ammar al‑Hakim, kiongozi wa Harakati ya Hikma ya Kitaifa ya Iraq, amelaani vikali shambulio la Marekani dhidi ya makao makuu ya Vikosi vya Kujitolea vya Umma (PMU) katika jimbo la Anbar.
18:22 , 2026 Mar 25
Tofauti kati ya Maafisa wa Iran na wa Marekani

Tofauti kati ya Maafisa wa Iran na wa Marekani

IQNA – Iran ni nchi ambayo viongozi, maafisa wa serikali na makamanda wa kijeshi hawasimami kutoa heshima kwa majeneza ya wanajeshi wao; badala yake mara nyingi wao hutangulia kuuawa shahidi, kisha wananchi wa nchi yao ndio huwapa mazishi na kuwaaga kwa heshima.
18:15 , 2026 Mar 25
Kuja kwa Mwokozi Kunahitaji Ahadi Nzito

Kuja kwa Mwokozi Kunahitaji Ahadi Nzito

IQNA-Kama ilivyokuwa kwa Nabii Ya‘qub (A.S.) alipoweka sharti la kuchukua ahadi thabiti mbele ya Mwenyezi Mungu kabla ya kumruhusu Benyamini aondoke, vivyo hivyo kuja kwa Mwokozi aliyeahidiwa kunahitaji ahadi nzito na ya kweli kutoka kwa Umma unaomsubiri.
19:32 , 2026 Mar 24
Mwanaharakati wa haki za binadamu Kenya atangaza mshikamano na watu wa Iran na Palestina

Mwanaharakati wa haki za binadamu Kenya atangaza mshikamano na watu wa Iran na Palestina

IQNA-Mwanaharakati maarufu wa haki za binadamu nchini Kenya, Shakira Wafula, ametangaza mshikamano wake na watu wa Iran na Palestina, akitoa ujumbe wa imani na matumaini.
13:53 , 2026 Mar 24
6