IQNA

Afisa: Hulka ya  Kiongozi Shahidi ya Kufungamana na Qur'ani iwasilishwe katika Mashindano ya Qur’ani ya Wanafunzi Waislamu

Afisa: Hulka ya Kiongozi Shahidi ya Kufungamana na Qur'ani iwasilishwe katika Mashindano ya Qur’ani ya Wanafunzi Waislamu

IQNA – Katibu wa Mashindano ya 7 ya Kimataifa ya Qur’ani kwa Wanafunzi Waislamu amesisitiza juhudi za kutambulisha Msimamo wa Kufungamana na Qur'ani wa  Kiongozi Shahidi Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, katika toleo hili la mashindano.
16:45 , 2026 Jun 21
Msomaji wa Qur’ani wa Misri ambaye urithi wake unavuka mipaka ya wakati

Msomaji wa Qur’ani wa Misri ambaye urithi wake unavuka mipaka ya wakati

IQNA – Wiki hii imeadhimisha kumbukumbu ya kuaga dunia kwa mmoja wa mabingwa wakubwa wa madrasah ya Misri katika sanaa ya usomaji wa Qur’ani, Sheikh Mohammad Siddiq Al‑Minshawi. Tukio hili linawakumbusha Waislamu kuhusu qiraa yake ya kina na yenye ikhlasi ambayo hadi leo inaendelea kusikika na kugusa nyoyo katika ulimwengu wa Kiislamu.
15:56 , 2026 Jun 21
Kumbukumbu ya marhum Qari Mustafa Ismail nchini Misri

Kumbukumbu ya marhum Qari Mustafa Ismail nchini Misri

IQNA – Wizara ya Awqaf ya Misri imeadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa kwa marehemu Sheikh Mustafa Ismail, mmoja wa wasomaji mashuhuri wa Qur’ani nchini humo.
15:39 , 2026 Jun 21
Mwanazuoni aeleza hatua tatu za kumuomboleza Imam Hussein (AS)  katika historia ya mapema ya Kiislamu

Mwanazuoni aeleza hatua tatu za kumuomboleza Imam Hussein (AS) katika historia ya mapema ya Kiislamu

IQNA – Mtafiti kutoka Lebanon ametoa uchambuzi wa kihistoria akichunguza jinsi mila za maombolezo kwa Imam Hussein (AS) na mashahidi wa Karbala zilivyobadilika katika karne tano za kwanza za kalenda ya Hijiria, akibainisha hatua tatu tofauti kuanzia huzuni ya binafsi hadi ibada ya hadhara.
23:16 , 2026 Jun 20
‘Kila Hatua Tunayochukua ya Kukataa Uvamizi ni Ushindi’: Katibu Mkuu wa Hizbullah

‘Kila Hatua Tunayochukua ya Kukataa Uvamizi ni Ushindi’: Katibu Mkuu wa Hizbullah

IQNA – Katibu Mkuu wa harakati ya Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa utawala wa Kizayuni umefeli katika njama zake zote za kutaka kuangamiza harakati hiyo ya mapambano (Muqawama).
22:47 , 2026 Jun 20
Rais wa Msikiti Milwaukee Asema Alilengwa kwa Sababu ya Kuunga Mkono Palestina

Rais wa Msikiti Milwaukee Asema Alilengwa kwa Sababu ya Kuunga Mkono Palestina

IQNA – Rais wa msikiti mmoja mjini Milwaukee, katika jimbo la Wisconsin nchini Marekani, ambaye ameachiliwa huru kutoka kizuizini na Idara ya Uhamiaji (ICE) wiki hii, amesema kuwa amekuwa akilengwa kutokana na msimamo wake thabiti wa kutetea haki za Wapalestina.
22:40 , 2026 Jun 20
UNICEF: Kwa wastani Israel inaua mtoto mmoja wa Palestina kila siku

UNICEF: Kwa wastani Israel inaua mtoto mmoja wa Palestina kila siku

IQNA-Huku utawala katili wa Israel ukiendeleza jinai Lebanon, mashirika ya misaada ya kibinadamu yametoa tahadhari mpya kuhusu Gaza, ambapo watoto 265 wa Kipalestina wameuawa katika mashambulizi ya Israel tangu usitishaji wa mapigano ulipotangazwa mwezi Oktoba 2025.
22:26 , 2026 Jun 20
Kiongozi asifu juhudi za maafisa wa Iran, mazungumzo hayamaanishi kukubali mtazamo wa adui

Kiongozi asifu juhudi za maafisa wa Iran, mazungumzo hayamaanishi kukubali mtazamo wa adui

IQNA – Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mujtaba Khamenei, amesema maafisa wa Iran wamefanya juhudi kubwa kwa nia njema na kwa kujali maslahi ya taifa ili kufikia hati ya makubaliano (MoU) na Marekani, huku rais wa Marekani akitumia mbinu mbalimbali kutokana na hali ya kukata tamaa.
16:29 , 2026 Jun 19
Hati Adimu ya Qur’ani yadhihirisha urithi wa Sanaa na Imani katika Makumbusho ya Qur’ani Tukufu

Hati Adimu ya Qur’ani yadhihirisha urithi wa Sanaa na Imani katika Makumbusho ya Qur’ani Tukufu

IQNA – Kwa karne nyingi huenda ilikuwa imehifadhiwa katika makusanyo binafsi au maktaba za kifalme. Hata hivyo leo, nakala ya Qur’ani Tukufu iliyohifadhiwa kwa umakini mkubwa hatimaye imewekwa wazi ili ionekane na umma.
16:18 , 2026 Jun 19
Hafla ya Siku ya Wanawake Waislamu yafanyika Bangkok

Hafla ya Siku ya Wanawake Waislamu yafanyika Bangkok

IQNA – Toleo la saba la Siku ya Wanawake Waislamu limefanyika jijini Bangkok kwa ushiriki wa makumi ya wanawake Waislamu kutoka misikiti na jamii mbalimbali za Kiislamu nchini Thailand.
16:15 , 2026 Jun 19
Mashia nchini Saudi Arabia wana azma ya kuendeleza Majlisi za Muharram

Mashia nchini Saudi Arabia wana azma ya kuendeleza Majlisi za Muharram

IQNA – Waislamu wa madhehebu ya Shia katika eneo la Qatif nchini Saudi Arabia wanaendelea kufanya majlisi na ibada za Muharram licha ya vizuizi vinavyoripotiwa kuwekwa na mamlaka.
16:11 , 2026 Jun 19
Misikiti nchini Uingereza yaombwa kujiandaa kwa dharura baada ya vitisho kuongezeka

Misikiti nchini Uingereza yaombwa kujiandaa kwa dharura baada ya vitisho kuongezeka

IQNA – Misikiti kote nchini Uingereza imehimizwa kufanya mazoezi ya taratibu za kujifungia (lockdown) na kuimarisha hatua za usalama kufuatia mwongozo mpya wa kitaifa, huku viongozi wa jamii wakionya juu ya kuongezeka kwa matukio ya chuki dhidi ya Uislamu na shughuli za makundi ya mrengo mkali wa kulia.
16:07 , 2026 Jun 19
Mapatano ya kumaliza vita yatiwa saini kidijitali na marais wa Iran na Marekani

Mapatano ya kumaliza vita yatiwa saini kidijitali na marais wa Iran na Marekani

IQNA-Hati ya makubaliano (MoU) kati ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Marekani sasa imetiwa saini rasmi na marais wa nchi hizo mbili baada ya maandishi yake kukamilishwa, na hivyo makubaliano hayo kuanza kutekelezwa. Hayo yametangazwa na msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran Jumatano usiku.
09:39 , 2026 Jun 18
Kitambaa cha Al Kaaba (Kiswah) chabadilishwa

Kitambaa cha Al Kaaba (Kiswah) chabadilishwa

IQNA – Kiswah au Kitambaa cha Kufunika Al Kaaba kimefungwa katika Kaaba Tukufu katika Masjid Al Haram (Msikiti Mkuu wa Makka)
17:25 , 2026 Jun 17
Hafla yaadhimisha kukamilika kwa Mpango wa Usomaji wa Qur’ani nchini Jordan

Hafla yaadhimisha kukamilika kwa Mpango wa Usomaji wa Qur’ani nchini Jordan

IQNA – Hafla maalumu ilifanyika Jumatatu jioni katika Wizara ya Awqaf na Masuala ya Kiislamu ya Jordan kuadhimisha kukamilika kwa usomaji kamili wa Qur’ani Tukufu.
17:14 , 2026 Jun 17
1 2 3 4