IQNA

Iran inataka amani, utulivu na mahusiano ya kindugu katika eneo

Iran inataka amani, utulivu na mahusiano ya kindugu katika eneo

IQNA-Rais wa Iran amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaendelea kusimama upande wa amani, utulivu na mahusiano ya kindugu katika eneo, akibainisha kwamba usalama wa eneo unapaswa kuhakikishwa na mataifa ya eneo hilo yenyewe.
14:34 , 2026 Apr 17
Mpango wa 'Kuimarisha Uhusiano wa Vijana na Qur’ani ' eneo la Hajjah, Yemen

Mpango wa 'Kuimarisha Uhusiano wa Vijana na Qur’ani ' eneo la Hajjah, Yemen

IQNA – Mwaka huu, kozi za kiangazi katika mkoa wa Hajjah zimepata usajili mkubwa usiokuwa wa kawaida, zikihusisha shule 1,482.
17:56 , 2026 Apr 16
Udhaifu wa Wanafunzi wa Madrasah katika ujifunza Qur’ani waibua changamoto ya kuajiri walimu

Udhaifu wa Wanafunzi wa Madrasah katika ujifunza Qur’ani waibua changamoto ya kuajiri walimu

IQNA – Waziri wa Elimu wa Bangladesh, Ehsanul Haque Milon, amesema kuwa ingawa viwango vya kufaulu katika madrasah ni vya juu, elimu sahihi ya Qur’ani bado haijaimarika vya kutosha, jambo ambalo sasa limekuwa kikwazo katika ajira ya walimu wa masomo ya dini.
17:50 , 2026 Apr 16
Waislamu na watu huru duniani waombwa wawasaidie watu wa Lebanon

Waislamu na watu huru duniani waombwa wawasaidie watu wa Lebanon

IQNA – Mwanazuoni wa ngazi za juu wa Kiislamu kutoka Iran amelaani vikali vitendo vya kikatili vinavyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel nchini Lebanon.
21:51 , 2026 Apr 15
Kashfa ya kuwa kuwakejeli wachezaji Waislamu Uhispania

Kashfa ya kuwa kuwakejeli wachezaji Waislamu Uhispania

IQNA – Kile kilichoanza kama mzaha wa kistaarabu wa “Siku ya Wajinga wa Aprili” hatimaye kimegeuka kuwa kashfa iliyoangusha uongozi wa rais wa klabu moja ya daraja la chini nchini Uhispania.
21:39 , 2026 Apr 15
Mwanazuoni akemea ukimya wa jamii ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita wa Marekani na Israel

Mwanazuoni akemea ukimya wa jamii ya kimataifa kuhusu uhalifu wa kivita wa Marekani na Israel

IQNA – Profesa wa chuo kikuu na mwanachuo wa chuo cha Kiislamu (Hawzah) amelaani mashambulizi ya adui wa Kizayuni na Kimarekani dhidi ya vituo vya kisayansi, kitamaduni na miundombinu ya miji ya Iran wakati wa Vita vya Ramadhani.
15:18 , 2026 Apr 13
Trump amkasirikia Papa Leo XIV kwa msimamo wake wa kupinga vita

Trump amkasirikia Papa Leo XIV kwa msimamo wake wa kupinga vita

IQNA – Rais wa Marekani, Donald Trump, ameonyesha hasira dhidi ya kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani kufuatia ukosoaji wake kuhusu vita vinavyoendeshwa na Marekani.
15:05 , 2026 Apr 13
Watoto wa Iran Wadhihirisha Moyo wa Subira na Istikama Mitaani

Watoto wa Iran Wadhihirisha Moyo wa Subira na Istikama Mitaani

IQNA – Katika mitaa mbalimbali nchini Iran, watoto na chipukizi wanajifunza na kudhihirisha kwa vitendo moyo wa subira, uvumilivu na msimamo thabiti (istikama) katika kipindi cha kujihami na kukabiliana na maadui waliovamia nchi.
16:12 , 2026 Apr 12
Mufti wa Al-Quds aonya dhidi ya kusambazwa kwa nakala ya Qur’ani Iliyo na hitilafu ya uchapaji

Mufti wa Al-Quds aonya dhidi ya kusambazwa kwa nakala ya Qur’ani Iliyo na hitilafu ya uchapaji

IQNA – Mufti Mkuu wa Al-Quds na ardhi za Palestina ameonya kuhusu kusambazwa kwa nakala ya Qur’ani Tukufu yenye hitilafu ya uchapaji katika aya moja.
16:10 , 2026 Apr 12
Bendera ya kijani yachukua nafasi ya bendera ya maombolezo katika Haram ya Imam Ridha (AS) mjini Mashhad

Bendera ya kijani yachukua nafasi ya bendera ya maombolezo katika Haram ya Imam Ridha (AS) mjini Mashhad

IQNA – Bendera nyeusi iliyokuwa juu ya kuba tukufu ya Haramu ya Imam Ridha (AS) mjini Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran, imeondolewa na nafasi yake kuchukuliwa na bendera ya kijani.
16:04 , 2026 Apr 12
Ukumbi Mpya wa Qur’ani Wazinduliwa katika Msikiti wa Badshahi, Lahore – Pakistan

Ukumbi Mpya wa Qur’ani Wazinduliwa katika Msikiti wa Badshahi, Lahore – Pakistan

IQNA – Serikali ya jimbo la Punjab nchini Pakistan siku ya Ijumaa ilizindua vituo viwili vipya katika Msikiti wa kihistoria wa Badshahi mjini Lahore: Ukumbi wa Tabarrukat‑e‑Quran unaohifadhi turathi takatifu ya Kiislamu, pamoja na Ukumbi wa Allama Iqbal.
15:25 , 2026 Apr 11
Mushaf wa Rodossi: Nukta Muhimu katika Utambulisho wa Dini ya Algeria

Mushaf wa Rodossi: Nukta Muhimu katika Utambulisho wa Dini ya Algeria

IQNA – Mushaf wa Rodossi ni nakala ya Qur’ani ya kihistoria nchini Algeria inayotambulika kama nukta muhimu katika uundwaji wa utambulisho wa dini na ustaarabu wa taifa hili.
15:15 , 2026 Apr 11
Kiongozi: Watu wa Iran ni washindi wa hakika katika uwanja wa mapambano

Kiongozi: Watu wa Iran ni washindi wa hakika katika uwanja wa mapambano

IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Hosseini Khamenei, amesema kuwa watu wa Iran ni “washindi wa hakika” katika uwanja wa mapambano, akiongeza kwamba Iran haijawahi kutaka vita, lakini pia haitapuuza haki zake halali.
11:03 , 2026 Apr 10
Kuuawa Shahidi Imam Khamenei kumeimarisha  harakati za Muqawama

Kuuawa Shahidi Imam Khamenei kumeimarisha  harakati za Muqawama

IQNA – Mwanazuoni na mhadhiri wa Kiiraq anayehusika na masomo ya Qur’ani amesisitiza athari chanya zilizotokana na kuuawa shahidi kwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Imam  SayyidAli Khamenei, katika kuimarisha harakati za mapambano ya Kiislamu katika eneo la Mashariki ya Kati.
20:55 , 2026 Apr 09
Sherehe Ya Wahitimu wa Kuhifadhi Qur’ani Katika Vituo vya Mafunzo ya Qur’ani Qatar

Sherehe Ya Wahitimu wa Kuhifadhi Qur’ani Katika Vituo vya Mafunzo ya Qur’ani Qatar

IQNA – Jumla ya wanafunzi 48 wa Qatar waliokamilisha kuhifadhi Qur’ani Tukufu katika robo ya kwanza ya mwaka 2026 walienziwa na kutunukiwa zawadi siku ya Jumatano katika hafla iliyofanyika Doha.
20:41 , 2026 Apr 09
3