IQNA

Redio ya Mauritania yaanza kurekodi qiraa ya tartil ya Qur'ani Tukufu

Redio ya Mauritania yaanza kurekodi qiraa ya tartil ya Qur'ani Tukufu

IQNA-Hafla ya kuanza kurekodi qiraa au usomaji wa Qur’ani Tukufu kwa mtindo wa tartīl kwa riwaya za Warsh na Qālūn imefanyika katika Redio ya Mauritania.
13:51 , 2026 Jan 21
Wanazuoni wa Kiislamu duniani watoa Fatwa kuharamisha mahusiano na Israel

Wanazuoni wa Kiislamu duniani watoa Fatwa kuharamisha mahusiano na Israel

IQNA – Umoja wa Kimataifa wa Wanazuoni wa Kiislamu (International Union of Muslim Scholars – IUMS) umetoa fatwa (hukumu ya kidini) ikitangaza kwamba kuwa na mahusiano na utawala wa Kizayuni wa Israel ni haramu kisheria kwa mujibu wa Uislamu.
13:37 , 2026 Jan 21
Wanazuoni wa Hawza ya Qom walaani kauli za Trump

Wanazuoni wa Hawza ya Qom walaani kauli za Trump

IQNA – Kauli za kubeza za mtawala wa Marekani Donald Trump kuhusu Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, zimezua lawama kali kutoka kwa Jumuiya ya Walimu wa Hawza (vyuo vya Kiislamu) katika mji mtakatifu wa Qom nchini Iran.
13:29 , 2026 Jan 21
Harakati ya Nujabaa ya Iraq: Tishio lolote dhidi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ni tangazo la vita

Harakati ya Nujabaa ya Iraq: Tishio lolote dhidi ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu ni tangazo la vita

IQNA – Mjumbe wa Baraza la Kisiasa la harakati ya Nujaba ya Iraq amesema kuwa tishio lolote dhidi ya Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, linachukuliwa kuwa ni tangazo la vita.
13:07 , 2026 Jan 21
Kuimarisha Mshikamano wa Qur’ani, Familia na Jamii katika Msikiti wa São Paulo

Kuimarisha Mshikamano wa Qur’ani, Familia na Jamii katika Msikiti wa São Paulo

IQNA – Darasa la mafunzo ya Qur’ani linaloendelea katika Kituo cha Kiislamu cha São Paulo linatoa mfano wa vitendo wa jinsi ya kuunganisha Qur’ani, familia, elimu na jamii katika mfumo mmoja ulio thabiti ndani ya mazingira ya msikiti.
12:08 , 2026 Jan 21
Picha za Kikao cha Usomaji wa Qur'ani Tukufu Katika Msikiti wa Ahvaz

Picha za Kikao cha Usomaji wa Qur'ani Tukufu Katika Msikiti wa Ahvaz

IQNA – Kikao cha usomaji wa Qurani kimefanyika katika Msikiti wa Hazrat Abulfadh (AS) mjini Ahvaz, kusini magharibi mwa Iran, tarehe 19 Januari 2026, kwa mnasaba wa Eid al-Mab’ath, siku ya kukumbuka kutumwa kwa Muhammad (SAW) kuwa Mtume wa mwisho wa Mwenyezi Mungu.
15:36 , 2026 Jan 20
Hujjatul Islam Shahriari asisitiza umuhimu wa Umoja wa Ummah wa Kiislamu

Hujjatul Islam Shahriari asisitiza umuhimu wa Umoja wa Ummah wa Kiislamu

IQNA – Katibu Mkuu wa Jukwaa la Kimataifa la Umoja na Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu (WFPIST) amesisitiza haja ya kuimarisha umoja na kudumisha umakini wa ulimwengu wa Kiislamu kuhusu suala la Palestina.
15:33 , 2026 Jan 20
Israel imeua zaidi wafanyakazi 1,300 wa sekta ya elimu katika mauaji ya kimbari Gaza

Israel imeua zaidi wafanyakazi 1,300 wa sekta ya elimu katika mauaji ya kimbari Gaza

IQNA-Ripoti ya pamoja ya Wizara ya Elimu na Elimu ya Juu ya Palestina imeripoti kuwa, kuanzia Oktoba 2023 hadi Oktoba 2025, walimu wasipungua 1,377 na wafanyakazi wa elimu waliuawa shahidi na 4,757 wamejeruhiwa katika mauaji ya kimbari yanayotekelezwa na utawala dhalimu wa Israel huko Gaza.
15:09 , 2026 Jan 20
Maonyesho ya Kimataifa ya Qurani Tukufu Tehran Kufanyika Februari 20

Maonyesho ya Kimataifa ya Qurani Tukufu Tehran Kufanyika Februari 20

IQNA – Toleo la 33 la Maonyesho ya Kimataifa ya Qurani Tukufu mjini Tehran linatarajiwa kuzinduliwa katika mji mkuu wa Iran tarehe 20 Februari 2026, kwa mujibu wa taarifa ya afisa mwandamizi.
14:54 , 2026 Jan 20
Taarifa ya Ofisi ya Imam Khamenei: Jumatano ni siku ya kwanza ya mwezi wa Shaaban

Taarifa ya Ofisi ya Imam Khamenei: Jumatano ni siku ya kwanza ya mwezi wa Shaaban

IQNA – Siku ya kwanza ya mwezi wa Shaaban katika kalenda ya Hijria Qamaria ya mwaka 1447 inatarajiwa kuwa Jumatano.
14:00 , 2026 Jan 20
Waislamu Malaysia waunga mkono mitazamo ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

Waislamu Malaysia waunga mkono mitazamo ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

IQNA – Baraza la Mashauriano la Mashirika ya Kiislamu Malaysia (MAPIM) limetoa tamko likieleza kuunga mkono msimamo wa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei kuhusu kumweka rais wa Marekani kuwa na dhima juu ya vifo na uharibifu uliotokana na machafuko ya hivi karibuni nchini Iran.
14:05 , 2026 Jan 19
Toleo jipya la tarjuma ya Qur'ani kwa lugha ya Kirusi

Toleo jipya la tarjuma ya Qur'ani kwa lugha ya Kirusi

IQNA – Toleo jipya la tarjuma ya Qurani Tukufu kwa lugha ya Kirusi limechapishwa. Haya yalitangazwa na Mufti wa Urusi, Sheikh Nafiullah Ashirov, ambaye alisema kuwa mwanazuoni wa Kiislamu, Sheikh Suleiman Muhammedov ndiye aliyefanya kazi ya tarjuma hiyo. Alibainisha kuwa Muhammedov ameyatumia miaka mingi ya maisha yake katika kuhudumia masuala ya Uislamu, kama ilivyoripoti tovuti ya Muslims Around the World.
13:55 , 2026 Jan 19
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Apongeza Iraq kwa Kuwapokea Wafanyaziara wa Arbaeen

Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran Apongeza Iraq kwa Kuwapokea Wafanyaziara wa Arbaeen

IQNA – Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, ameisifu Iraq kwa kuwapokea mahujaji wa Kiirani wanaosafiri kuelekea nchi hiyo ya Kiarabu.
13:50 , 2026 Jan 19
Sisistizo kuhusu kuandaa mipango ya Qur'ani kwa ajili ya mwezi wa Ramadhani

Sisistizo kuhusu kuandaa mipango ya Qur'ani kwa ajili ya mwezi wa Ramadhani

IQNA – Ghasia za hivi karibuni pamoja na matukio ya kigaidi zimeifanya Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kuahirishwa, mtaalamu mkongwe wa masuala ya Qurani amebainisha.
13:44 , 2026 Jan 19
Mikutano ya Wanaompenda Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu

Mikutano ya Wanaompenda Mtume wa Mwisho wa Mwenyezi Mungu

IQNA –Tarehe 27 ya mwezi wa Rajab katika kalenda ya Hijria Qamaria (17 Januari 2026), ilikuwa siku tukufu ya Maba’ath, siku ambayo Muhammad (SAW) aliteuliwa na Mwenyezi Mungu kuwa Mtume Wake wa mwisho.
14:11 , 2026 Jan 18
3