IQNA

Kituo cha Kiislamu cha Birmingham chashambuliwa

Kituo cha Kiislamu cha Birmingham chashambuliwa

IQNA – Kundi la waharibifu limevamia Kituo cha Kiislamu cha Imam Ridha (AS) mjini Birmingham, Uingereza, katika tukio lililoibua maswali kuhusu kuongezeka kwa chuki dhidi ya Uislamu na Iran katika nchi za Magharibi.
13:44 , 2026 Jan 18
Maonyesho ya “Shahidi wa Qur’ani” yafanyika Yemen

Maonyesho ya “Shahidi wa Qur’ani” yafanyika Yemen

IQNA – Maonyesho yenye kichwa “Shahidi wa Qur’ani” yameandaliwa katika mkoa wa al-Hudaydah, Yemen, yakitoa heshima kwa Sayyid Hussein Badreddin al-Houthi, ambaye nchini humo anajulikana kama shahidi wa Qur’ani.
13:10 , 2026 Jan 18
Wanazuoni wa Kishia na Kisunni  wapongezwa kwa kuunga mkono Uongozi wa Kiislamu Iran

Wanazuoni wa Kishia na Kisunni  wapongezwa kwa kuunga mkono Uongozi wa Kiislamu Iran

IQNA – Jukwaa la Umoja na Kukurubisha Madhehebu ya Kiislamu Duniani, (WFPIST) limepongeza msimamo wa kuunga mkono uliotolewa na wanazuoni na wasomi wa Kishia na Kisunni kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kufuatia machafuko ya hivi karibuni.
10:33 , 2026 Jan 18
Kiongozi Muadhamu: Taifa la Iran limevunja mgongo wa fitina kwa umoja

Kiongozi Muadhamu: Taifa la Iran limevunja mgongo wa fitina kwa umoja

IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, amesema Iran inamtambua Rais wa Marekani, Donald Trump, kama mhusika mkuu wa mauaji na uharibifu katika ghasia za hivi karibuni hapa nchini.
10:11 , 2026 Jan 18
Iran yalaani kundi la G7 kwa kuunga mkono magaidi  walioibua fujo nchini

Iran yalaani kundi la G7 kwa kuunga mkono magaidi walioibua fujo nchini

Wizara ya Mambo ya Nje imelaani vikali tamko la hivi karibuni la kuingilia mambo ya ndani ya Iran lililotolewa na Kundi la Nchi Saba (G7), ikilishutumu kundi hilo la kiserikali linaloongozwa na Marekani kwa kuingilia masuala ya Iran na kwa mtazamo wa kinafiki kuhusu haki za binadamu.
11:08 , 2026 Jan 17
Wanazuoni wa ulimwengu wa Kiislamu watoa tamko dhidi ya Trump huku wakimuunga mkono Imam Khamenei

Wanazuoni wa ulimwengu wa Kiislamu watoa tamko dhidi ya Trump huku wakimuunga mkono Imam Khamenei

IQNA-Wanazuoni na wasomi wa Ulimwengu wa Kiislamu, katika taarifa yao, wameonyesha kuunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Imam Khamenei, kufuatia machafuko ya hivi karibuni nchini, huku wakitoa tamko linalomtaja rais Trump wa Marekani kama mtu “muhrib”
10:52 , 2026 Jan 17
Tukio adhimu la kubaathiwa Mtume Muhammad SAW

Tukio adhimu la kubaathiwa Mtume Muhammad SAW

IQNA-Jumamosi tarehe 27 Rajab 1447 Hijria sawa na Januari 17 mwaka 2026 Miladia inasadifiana na siku ya Kubaathiwa Mtume Muhammad SAW. Hii ni siku muhimu na ya kipekee katika Uislamu.
07:54 , 2026 Jan 17
Rais Pezeshkian asema Marekani na Israel zimehusika moja kwa moja katika machafuko Iran

Rais Pezeshkian asema Marekani na Israel zimehusika moja kwa moja katika machafuko Iran

IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, kuhusika moja kwa moja Marekani, utawala wa Kizayuni na baadhi ya nchi za Ulaya katika matukio ya hivi karibuni ya Iran hakukanushiki.
07:46 , 2026 Jan 17
Kiongozi wa Ansarullah apongeza taifa la Iran kwa kuvuruga ya Israel na Marekani

Kiongozi wa Ansarullah apongeza taifa la Iran kwa kuvuruga ya Israel na Marekani

IQNA-Kiongozi wa Harakati ya Ansarullah nchini Yemen amewapongeza wananchi wa Iran kwa namna walivyokabiliana na njama zilizopangwa na Marekani pamoja na Israel.
07:42 , 2026 Jan 17
Israel kuweka vizuizi kwa waumini Waislamu kufikia Msikiti wa Al-Aqsa Mwezi wa Ramadhani

Israel kuweka vizuizi kwa waumini Waislamu kufikia Msikiti wa Al-Aqsa Mwezi wa Ramadhani

IQNA – Utawala ghasibu wa Israel umetangaza mipango ya kuweka vizuizi kwa waumini Waislamu wanaotaka kufika Msikiti wa Al-Aqsa katika mji mtakatifu wa al-Quds (Jerusalem0, wakati wa mwezi mtukufu wa Ramadhani.
15:29 , 2026 Jan 15
Msikiti wa Imam Mahdi, Katika Mji wa Sihat, Saudi Arabia

Msikiti wa Imam Mahdi, Katika Mji wa Sihat, Saudi Arabia

IQNA-Msikiti wa Imam Mahdi (AS) uliopo Sihat, katika Mkoa wa Mashariki wa Saudi Arabia, ulijengwa takribani miaka 132 iliyopita, na hivyo kuwa miongoni mwa nyumba kongwe za ibada katika eneo hilo.
15:07 , 2026 Jan 15
Jeshi la IRGC liko tayari kuvunja njama za Marekani na Israel dhidi ya Iran

Jeshi la IRGC liko tayari kuvunja njama za Marekani na Israel dhidi ya Iran

IQNA-Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran (IRGC) amezionya Marekani, Israel na mamluki wao wenye mienendo ya kigaidi kama ile ya Daesh kwamba kosa lolote la kimahesabu litakabiliwa na majibu makali na ya kuangamiza.
14:22 , 2026 Jan 15
Mamilioni ya Wairani katika maandamano ya kitaifa kulaani fujo za kigaidi zilizoungwa mkono na Marekani, Israel

Mamilioni ya Wairani katika maandamano ya kitaifa kulaani fujo za kigaidi zilizoungwa mkono na Marekani, Israel

IQNA-Mamilioni ya wananchi nchini Iran waliandamana Jumatatu kulaani ghasia za hivi karibuni zilizochochewa na makundi ya kigaidi yanayodaiwa kuungwa mkono na Marekani na utawala wa Kizayuni.
14:07 , 2026 Jan 15
Mazishi ya mashahidi wa mashambulizi ya kigaidi jijini Tehran na kote Iran

Mazishi ya mashahidi wa mashambulizi ya kigaidi jijini Tehran na kote Iran

IQNA-Mamilioni ya watu wa Iran siku ya Jumatano wamejitokeza katika mazishi na shughuli ya kuwaaga mashahidi wa mashambulizi ya kigaidi mjini Tehran na miji mingine ya Iran.
14:01 , 2026 Jan 15
Seneta wa Marekani aonya kuhusu kushadidi Chuki dhidi ya Uislamu kabla ya Mwezi wa Ramadhani

Seneta wa Marekani aonya kuhusu kushadidi Chuki dhidi ya Uislamu kabla ya Mwezi wa Ramadhani

QNA – Mwanasiasa mmoja wa Marekani ameonya kuhusu kuongezeka kwa chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) katika nchi za Magharibi wakati mwezi mtukufu wa Ramadhani unakaribia.
17:32 , 2026 Jan 14
4