IQNA

Papa Leo apongeza makubaliano ya kusitisha vita vya Marekani dhidi ya Iran

Papa Leo apongeza makubaliano ya kusitisha vita vya Marekani dhidi ya Iran

IQNA – Hati ya makubaliano (MoU) kati ya Iran na Marekani imepongezwa na Papa Leo XIV, ambaye ameielezea kuwa hatua muhimu ya kujiepusha na vita.
17:09 , 2026 Jun 17
Mwanazuoni:Maombolezo ya Imam Hussein (AS) yanaendelea kuihuisha Uislamu

Mwanazuoni:Maombolezo ya Imam Hussein (AS) yanaendelea kuihuisha Uislamu

IQNA – Maombolezo ya Muharram si vitendo vya huzuni tu; bali kwa Waislamu wa madhehebu ya Shia kote duniani, ni uhai wa imani iliyodumu kwa karne kumi na nne, amesema mwanazuoni mmoja wa Kiislamu.
17:04 , 2026 Jun 17
Bendera za maombolezo ya Muharram eneo la Baalbek, Lebanon + Video

Bendera za maombolezo ya Muharram eneo la Baalbek, Lebanon + Video

IQNA- Kwa maandalizi ya siku za maombolezo katika mwezi mtukufu wa Muharram na kuadhimisha tukio la Ashura, bendera za maombolezo zimepandishwa katika Msikiti wa Ras al Hussein (AS) katika mji wa Baalbek nchini Lebanon.
19:03 , 2026 Jun 16
Baba na Mwanae Wamisri miongoni mwa washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Al Ameed nchini Iraq

Baba na Mwanae Wamisri miongoni mwa washindi wa Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Al Ameed nchini Iraq

IQNA – Baba na mwanae kutoka Misri waliokuwa washiriki katika Tuzo ya Qur’ani ya Al Ameed nchini Iraq wamekuwa miongoni mwa waliopata nafasi za juu katika shindano hilo la kimataifa la usomaji wa Qur’ani.
19:00 , 2026 Jun 16
Rehal ya mbao ya Msahafu katika Makumbusho ya Haram ya Hadhrat Abbas (AS)

Rehal ya mbao ya Msahafu katika Makumbusho ya Haram ya Hadhrat Abbas (AS)

IQNA – Makumbusho ya Hazina na Miswada ya Al‑Kafeel, yaliyo ndani ya Haram Tukufu ya Hadhrat Abbas (AS) mjini Karbala, yameweka hadharani Rehal ya mbao ya Msahafu iliyotegenezwa kwa ustadi wa hali ya juu.
18:55 , 2026 Jun 16
Vikosi vya Jeshi la Iraq vyaimarisha doria Mwezi wa Muharram

Vikosi vya Jeshi la Iraq vyaimarisha doria Mwezi wa Muharram

IQNA – Huku mwezi wa Muharram katika kalenda ya Hijria ukiwa umeingia, vikosi vya jeshi la Iraq vimeongeza kiwango cha utayari na doria ili kuhakikisha usalama wa misafara na mijumuiko maombolezo.
18:52 , 2026 Jun 16
Qari wa Iran Ustadh Hashem Roghani akisoma  Aya za Surah Muhammad

Qari wa Iran Ustadh Hashem Roghani akisoma Aya za Surah Muhammad

IQNA – Ustadh Hashem Roghani ni msomaji mashuhuri wa Qur’ani Tukufu anayejulikana kimataifa na pia ni qari rasmi wa Haram Tukufu ya Imam Ridha (AS) mjini Mashhad, kaskazini mashariki mwa Iran.
18:47 , 2026 Jun 16
Bendera ya Haram ya Imam Hussein (AS) Kubadilishwa Jumanne

Bendera ya Haram ya Imam Hussein (AS) Kubadilishwa Jumanne

IQNA – Katika kuukaribisha mwezi wa Muharram wa kalenda ya Hijria, Idara ya Mfawidhi wa Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS) mjini Karbala, Iraq, imetangaza tarehe ya hafla ya kubadilisha bendera ya kuba la haram hiyo.
23:38 , 2026 Jun 15
Mapenzi kwa Qur’ani: Mwanamke Myemeni asiyejua kusoma aihifadhi Qur’ani Tukufu

Mapenzi kwa Qur’ani: Mwanamke Myemeni asiyejua kusoma aihifadhi Qur’ani Tukufu

IQNA – Kuhifadhi Qur’ani Tukufu yote kwa kusikiliza kanda za sauti kuligusa kwa kina familia ya Hajiya Maryam mwenye umri wa miaka 82.
23:31 , 2026 Jun 15
Shule ya Majira ya Kiangazi ya Qur’ani yazinduliwa Algeria

Shule ya Majira ya Kiangazi ya Qur’ani yazinduliwa Algeria

IQNA – Programu ya Shule ya Majira ya Kiangazi ya Qur’ani kwa mwaka 2026 imezinduliwa nchini Algeria chini ya usimamizi wa Waziri wa Masuala ya Kidini na Wakfu (Awqaf) wa nchi hiyo.
23:22 , 2026 Jun 15
Iran: Makubaliano yamefikiwa na Marekani kumaliza vita medani zote ikiwemo Lebanon

Iran: Makubaliano yamefikiwa na Marekani kumaliza vita medani zote ikiwemo Lebanon

IQNA-Sekretarieti ya Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran (SNSC) imethibitisha kuwa Iran na Marekani zimekamilisha maandishi ya hati ya makubaliano (MoU) yanayolenga kumaliza vita, kusimamisha mara moja na kwa kudumu operesheni zote za kijeshi katika nyanja zote, ikiwemo Lebanon, na pia kuondoa mzingiro wa baharini uliowekwa na Marekani dhidi ya Iran.
09:30 , 2026 Jun 15
Uandishi wa nakala ya kipekee ya Nahj al‑Balagha waanza Najaf

Uandishi wa nakala ya kipekee ya Nahj al‑Balagha waanza Najaf

IQNA – Haram tukufu ya Imam Ali (A.S.) mjini Najaf, Iraq, imetangaza kuanza kwa mradi wa kuandika nakala adhimu na ya kifahari ya kitabu cha Nahj al‑Balagha, mradi unaotajwa kuwa wa kwanza wa aina yake katika ulimwengu wa Kiislamu.
15:48 , 2026 Jun 14
Siri ya kudumu kwa Sauti ya Qari mashuhuri wa Misri, Sheikh Mohamed Siddiq Al‑Minshawi

Siri ya kudumu kwa Sauti ya Qari mashuhuri wa Misri, Sheikh Mohamed Siddiq Al‑Minshawi

IQNA – Kisa hiki kinaanza katika miaka ya 1960, pale Sheikh Mohamed Siddiq Al‑Minshawi aliporekodi usomaji wa Qur’ani Tukufu yote kwa ajili ya Redio au Idhaa ya Qur’ani ya Misri.
15:45 , 2026 Jun 14
Mashirika 21 ya Huduma za Umrah yafutiwa vibali

Mashirika 21 ya Huduma za Umrah yafutiwa vibali

IQNA – Katika hatua kali ya kusimamia viwango vya ubora wa huduma, mashirika 21 yanayotoa huduma za Umrah yamesimamishwa kazi kufuatia tathmini ya utendaji iliyofanywa baada ya msimu uliopita.
15:40 , 2026 Jun 14
Msikiti Mpya Michigan wafungua milango kwa waumini

Msikiti Mpya Michigan wafungua milango kwa waumini

IQNA – Sauti za dua, takbira na furaha zilitawala anga ya Dearborn Heights, Michigan nchini Marekani huku mamia ya watu wakikusanyika kukata utepe wa ufunguzi wa Msikiti wa Imam Al‑Hasanain na makao makuu mapya ya Taasisi ya Kiislamu ya Amerika (IIOA).
18:14 , 2026 Jun 13
2 3 4 5