IQNA

Mwanazuoni wa Iran Atumia Mantiki ya Qur’ani Kupinga Lobi za Kizayuni

Mwanazuoni wa Iran Atumia Mantiki ya Qur’ani Kupinga Lobi za Kizayuni

IQNA – Mwanazuoni mashuhuri wa sayansi za hisabati kutoka mji wa Yazd nchini Iran ametoa changamoto ya kielimu kwa lobi za Kizayuni.
10:54 , 2026 Apr 25
Vituo vya Tiba vya Makka Viko Tayari Kuhudumia Mahujaji

Vituo vya Tiba vya Makka Viko Tayari Kuhudumia Mahujaji

IQNA – Ziara ya siku mbili ya kukagua vituo vya afya katika mji mtukufu wa Makka, ili kutathmini utayari wao kwa msimu ujao wa Hija, imekamilishwa na waziri wa afya wa Saudia.
10:52 , 2026 Apr 25
Msomi wa Nigeria asema,

Msomi wa Nigeria asema, "Hifadhi Qur’ani ili kuinua hadhi ya kidunia na kiroho"

IQNA – Sheikh Hayatu Umar, mhadhiri wa masomo ya Kiislamu katika Chuo Kikuu cha Shirikisho cha Dutsin‑Ma (FUDMA) kilichopo Jimbo la Katsina nchini Nigeria, amewataka vijana na wanafunzi waweke kipaumbele katika kuhifadhi Qur’ani Tukufu, akisisitiza kuwa kufanya hivyo huminua mtu hadhi yake duniani na Akhera.
14:22 , 2026 Apr 22
Mashindano ya 11 ya Kimataifa ya Qur’ani Yaanza Diyarbakir, Uturuki

Mashindano ya 11 ya Kimataifa ya Qur’ani Yaanza Diyarbakir, Uturuki

IQNA – Toleo la 11 la mashindano ya kimataifa ya kusoma na kuhifadhi Qur’ani Tukufu nchini Uturuki limeanza rasmi siku ya Jumatatu.
14:12 , 2026 Apr 22
Kongamano Oman Laangazia Nafasi ya Qur’ani katika Maendeleo ya Kimaadili na Kifikra ya Mwanadamu

Kongamano Oman Laangazia Nafasi ya Qur’ani katika Maendeleo ya Kimaadili na Kifikra ya Mwanadamu

IQNA – Kongamano la siku mbili linaendelea mjini Muscat, Oman, likilenga kuchunguza nafasi ya Qur’ani Tukufu katika maendeleo ya kifikra na kimaadili ya mwanadamu.
15:50 , 2026 Apr 21
Muswada Adimu wa Msahafu wa Karne ya 19 Waonyeshwa katika Makumbusho ya Makka

Muswada Adimu wa Msahafu wa Karne ya 19 Waonyeshwa katika Makumbusho ya Makka

IQNA – Msahafu au nakala ya Qur’ani, iliyondikwa kwa mkono nchini India katika karne ya 19, imepelekwa kwenye maonyesho ya Makumbusho ya Qur’ani Tukufu katika eneo la utamaduni la Hira katika mji mtakatifu wa Makka.
15:40 , 2026 Apr 21
Washindi wa Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Malaysia Wapongezwa

Washindi wa Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Malaysia Wapongezwa

IQNA – Naibu Waziri Mkuu wa Malaysia amewapongeza washindi wakuu wa mashindano ya kitaifa ya Qur’ani nchini humo.
18:51 , 2026 Apr 20
Baraza la Kimataifa la Miujiza ya Kisayansi katika Qur’ani Tukufu na Sunnah Laanzishwa Malaysia

Baraza la Kimataifa la Miujiza ya Kisayansi katika Qur’ani Tukufu na Sunnah Laanzishwa Malaysia

IQNA – Baraza la Kimataifa la Miujiza ya Kisayansi katika Qur’ani Tukufu na Sunnah limezinduliwa mjini Kuala Lumpur, Malaysia, siku ya Jumapili.
18:46 , 2026 Apr 20
Matengenezo ya Al‑Kaaba Yakamilika Kabla ya Msimu wa Hija

Matengenezo ya Al‑Kaaba Yakamilika Kabla ya Msimu wa Hija

IQNA – Matengenezo ya Al‑Kaaba Tukufu pamoja na Hijr Ismail yamekamilika kwa kufuata viwango vya juu vya kihandisi na kiufundi.
15:00 , 2026 Apr 19
Qari wa Kiirani, Mohsen Qassemi, Asoma Qur’ani Tukufu katika Shindano la Al‑Ameed

Qari wa Kiirani, Mohsen Qassemi, Asoma Qur’ani Tukufu katika Shindano la Al‑Ameed

IQNA – Qari wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Mohsen Qassemi, alisoma aya za Surah Ar‑Ra‘ad katika duru ya mwisho ya toleo la tatu la Shindano la Kimataifa la Qur’ani Tukufu la Al‑Ameed lililofanyika nchini Iraq.
13:02 , 2026 Apr 19
Mada: Watoto Mashahidi wa Iran

Mada: Watoto Mashahidi wa Iran

“IQNA – Lala salama, ewe mtoto aliyedhulumiwa; wapiganaji shupavu wa Iran wako medani ya vita kulipiza kisasi mauaji yako.
15:32 , 2026 Apr 18
Malaysia Yanasa Nakala 6,620 za Qur’ani kwa Kukiuka Viwango

Malaysia Yanasa Nakala 6,620 za Qur’ani kwa Kukiuka Viwango

IQNA – Zaidi ya nakala 6,600 za Qur’ani Tukufu na maandiko yanayohusiana nayo, zenye thamani ya zaidi ya RM378,000, zimekamatwa na Wizara ya Mambo ya Ndani ya Malaysia katika operesheni ya miezi mitatu baada ya kubainika kuwa hazikukidhi viwango vya kidini au zilikuwa na makosa.
15:27 , 2026 Apr 18
Mashindano ya Kwanza ya Kitaifa ya Kuhifadhi Qur’ani kwa Vijana Yazinduliwa Kosovo

Mashindano ya Kwanza ya Kitaifa ya Kuhifadhi Qur’ani kwa Vijana Yazinduliwa Kosovo

IQNA – Mashindano ya kwanza ya kitaifa ya kuhifadhi Qur’ani kwa vijana wenye umri kati ya miaka 12 hadi 30 yameanza nchini Kosovo siku ya Ijumaa.
14:53 , 2026 Apr 18
Ripoti: Mashambulizi dhidi ya Waislamu nchini Marekani yapaa kwa 1,000% mwanzoni mwa 2026

Ripoti: Mashambulizi dhidi ya Waislamu nchini Marekani yapaa kwa 1,000% mwanzoni mwa 2026

IQNA – Visa vya chuki dhidi ya Uislamu (Islamophobia) na mashambulizi dhidi ya Waislamu wa Marekani na taasisi zao vimeongezeka mara kumi na moja (1,000%) katika miezi mitatu ya kwanza ya mwaka 2026, na kufikia kiwango cha juu zaidi katika kipindi cha miezi 15, kwa mujibu wa ripoti mpya ya Kamati ya Masuala ya Umma ya Waislamu (Mpac).
18:08 , 2026 Apr 17
Kozi Maalum ya Wahifadhi wa Qur’ani Yazinduliwa katika Masjid an-Nabawi Madina

Kozi Maalum ya Wahifadhi wa Qur’ani Yazinduliwa katika Masjid an-Nabawi Madina

IQNA – Katika juhudi za kuhakikisha kuwa wahifadhi wa Qur’ani Tukufu wanaendelea kuihifadhi kwa uthabiti wa muda mrefu, Msikiti wa Mtume SAW (Masjid an-Nabawi) umezindua programu mpya na makini ya muraja‘a kupitia idara ya halaqa za kuhifadhi Qur’ani.
17:53 , 2026 Apr 17
2