IQNA

Watumiaji wa Mitandao ya Kijamii wamkosoa  Qari wa Kuwait  anayeunga mkono vita vya Trump dhidi ya Iran

Watumiaji wa Mitandao ya Kijamii wamkosoa  Qari wa Kuwait  anayeunga mkono vita vya Trump dhidi ya Iran

IQNA – Qari wa Qur’ani Tukufu kutoka Kuwait ameunga  mkono shambulio vita haramu vya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na kuibua hasira kubwa na ukosoaji kutoka kwa watumiaji wa mitandao ya kijamii.
19:30 , 2026 Apr 03
Iran yatungua ndege ya pili ya kivita ya Marekani aina ya F-35

Iran yatungua ndege ya pili ya kivita ya Marekani aina ya F-35

IQNA-Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limetungua ndege ya pili ya kisasa ya Marekani aina ya F-35 ikiwa katika anga katikati ya Iran kwa kutumia mfumo mpya wa ulinzi wa anga wa Kikosi cha Anga cha jeshi hilo.
19:17 , 2026 Apr 03
Ujumbe wa  Rais wa Iran kwa watu wa Marekani

Ujumbe wa Rais wa Iran kwa watu wa Marekani

IQNA-Rais wa Iran, amehoji katika ujumbe aliouelekeza kwa wananchi wa Marekani kwamba: Vita vinavyoendelea sasa vinanufaisha vipi maslahi halisi ya watu wa Marekani? Amesisitiza kuwa mashambulio dhidi ya miundombinu muhimu ya Iran, ikiwemo vituo vya nishati na viwanda, ni hatua inayolenga moja kwa moja kuvuruga maisha ya watu wa Iran.
23:50 , 2026 Apr 02
Bendera ya Rangi Tatu ya Muqawama (mapambano) yapeperushwa duniani

Bendera ya Rangi Tatu ya Muqawama (mapambano) yapeperushwa duniani

IQNA – Kadiri vita vya kichokozi vya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Iran vinavyoendelea, bendera ya rangi tatu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa ishara ya wazi ya Muqawama au mapambano na ya iradaya pamoja ya wananchi, walioungana zaidi katika nyakati ngumu.
18:45 , 2026 Apr 01
Mashabiki wa Uhispania wachochea hasira za Lamine Yamal kwa chuki dhidi ya Uislamu

Mashabiki wa Uhispania wachochea hasira za Lamine Yamal kwa chuki dhidi ya Uislamu

IQNA – Licha ya kuonywa, baadhi ya wafuasi wa timu ya taifa ya Uhispania walisikika wakipaza kauli ya kudhalilisha Uislamu wakati wa sare ya Jumanne dhidi ya Misri—kitendo kilichomkasirisha mshambuliaji wa Barcelona, Lamine Yamal.
18:29 , 2026 Apr 01
Kiongozi Muadhamu awashukuru wanazuoni wa Ahul Sunna wa Kurdistan, Iran kwa uungaji mkono wao

Kiongozi Muadhamu awashukuru wanazuoni wa Ahul Sunna wa Kurdistan, Iran kwa uungaji mkono wao

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, ametoa shukrani kwa wanazuoni wa Kisuni katika Mkoa wa Kurdistan nchini Iran kufuatia ujumbe wao wa pole na mshikamano baada ya kuuawa shahidi aliyekuwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.
14:37 , 2026 Apr 01
Elimu ya Qur’ani yaimarishwa kimuundo katika Jimbo la Sarawak, Malaysia

Elimu ya Qur’ani yaimarishwa kimuundo katika Jimbo la Sarawak, Malaysia

IQNA – Katika juhudi za kuinua umahiri wa kusoma na kuelewa Qur’ani Tukufu kwa mpangilio wa kitaasisi, Baraza la Kiislamu la Sarawak (SUC) nchini Malaysia linaendeleza upanuzi wa mtandao wa vituo vya “Rumah Ngaji,” likihama kutoka madarasa ya hapa na pale kwenda mpango ulioratibiwa katika ngazi ya jimbo zima.
14:00 , 2026 Mar 31
Maonesho ya urithi wa Alawi katika Maktaba ya Taifa ya Tirana

Maonesho ya urithi wa Alawi katika Maktaba ya Taifa ya Tirana

IQNA – Maktaba ya Taifa ya Tirana imeangazia turathi za Alawi yaani Imam Ali (AS) katika maadhimisho ya “Sultan Nowruz,” kwa kuonesha nakala adimu ya maandishi ya kale.
13:51 , 2026 Mar 31
Kuelekea Ushindi na Wilayah: Qari wa Pakistan Awasilisha Qiraa ya Qur’ani

Kuelekea Ushindi na Wilayah: Qari wa Pakistan Awasilisha Qiraa ya Qur’ani

IQNA – Qari mashuhuri kutoka Pakistan, Mohammad Davoud, amejiunga na kampeni ya Qur’ani iitwayo “Kuelekea Fath (Ushindi) wa Utawala wa Faqihi Mtawala.”
20:20 , 2026 Mar 30
Qur’ani Tukufu yavunjiwa heshima New York, uchunguzi waanza

Qur’ani Tukufu yavunjiwa heshima New York, uchunguzi waanza

IQNA – Kitendo cha mtu mmoja kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu katika msikiti mmoja huko Brooklyn, Marekani  kimezua lawama kali, huku polisi wa New York (NYPD) wakichunguza tukio hilo kama uhalifu wa chuki.
20:15 , 2026 Mar 30
Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu awashukuru wanazuoni, wananchi wa Iraq

Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu awashukuru wanazuoni, wananchi wa Iraq

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ameshukuru na kuthamini misimamo ya msingi ya wanazuoni wakuu wa kidini na wananchi wa Iraq.
15:34 , 2026 Mar 30
Kwa Nini Qur’ani Tukufu inakataza Wilayah ya Watu wa Kitabu?

Kwa Nini Qur’ani Tukufu inakataza Wilayah ya Watu wa Kitabu?

IQNA – Qur’ani Tukufu inataja dhana ya “wilayah ya waumini kwa wao kwa wao” na pia katazo la kuwafanya Watu wa Kitabu kuwa mawalii (walezi au washirika wa uongozi).
16:44 , 2026 Mar 29
Wafuasi wa Mapinduzi ya Kiislamu Wanaiheshimu Qur’ani Tukufu

Wafuasi wa Mapinduzi ya Kiislamu Wanaiheshimu Qur’ani Tukufu

IQNA – Wakati kundi lililodanganywa linaloegemea Marekani lilipokuwa likichoma misikiti na nakala za Qur’ani nchini Iran mnamo Januari 2026, wafuasi wa Mapinduzi ya Kiislamu wanaendelea kusoma na kuiheshimu Neno la Mwenyezi Mungu, Qur’ani Tukufu.
16:25 , 2026 Mar 29
Hatua ya awali ya Mashindano ya Kimataifa la Kuhifadhi Qur’ani ya Misri

Hatua ya awali ya Mashindano ya Kimataifa la Kuhifadhi Qur’ani ya Misri

IQNA – Mitihani ya hatua ya awali ya Mashindano ya 33 ya Kimataifa la Misri la Kuhifadhi na Kufahamu Qur’ani Tukufu yanatarajiwa kuanza siku ya Jumapili, tarehe 5 Aprili.
16:19 , 2026 Mar 29
Taasisi ya Noon: Msimamo wa Al‑Azhar unakinzana na wito wa Qur’ani wa kutetea haki

Taasisi ya Noon: Msimamo wa Al‑Azhar unakinzana na wito wa Qur’ani wa kutetea haki

IQNA – Taasisi ya Qur’ani ya Yemen iitwayo “Noon” imeukosoa msimamo wa hivi karibuni wa Kituo cha Kiislamu cha Al‑Azhar cha Misri dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, ikisema kuwa unakinzana na wito wa Qur’ani Tukufu wa kusimama upande was haki na uadilifu.
20:38 , 2026 Mar 28
5