IQNA

Kuhitimishwa kwa Kozi ya Mtandao ya Sayansi ya Qur’ani Nchini Iraq

Kuhitimishwa kwa Kozi ya Mtandao ya Sayansi ya Qur’ani Nchini Iraq

IQNA – Kozi ya kwanza ya mtandao kuhusu sayansi ya Qur’ani, iliyohudhuriwa na wanafunzi kutoka nchi mbalimbali, imehitimishwa nchini Iraq.
17:23 , 2026 May 24
Msahafu wa Najaf: Ushindi wa kishindo dhidi ya shaka za wapinzani wa Mashia

Msahafu wa Najaf: Ushindi wa kishindo dhidi ya shaka za wapinzani wa Mashia

IQNA – Kwa miaka mingi, Iraq nzima, na hasa mji mtukufu wa Najaf, ilitegemea nakala za Qur’ani zilizochapishwa nje ya mipaka yake kwa ajili ya kusambazwa misikitini na katika vituo mbalimbali za kielimu.
17:15 , 2026 May 24
Ibada ya Hija : Nembo ya Siasa katika Uislamu

Ibada ya Hija : Nembo ya Siasa katika Uislamu

IQNA – Mkuu wa ujumbe wa Hija wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametaja ibada ya Hija kama nembo kuu ya siasa katika Uislamu
18:36 , 2026 May 23
Guardiola: Kocha wa soka anayetetea Palestina

Guardiola: Kocha wa soka anayetetea Palestina

IQNA – Kuanzia Gaza hadi Catalonia, Pep Guardiola amedhihirisha kuwa anaamini mambo makubwa zaidi ya soka. Kocha huyo wa Manchester City amejipatia sifa duniani kama mmoja wa watu mashuhuri wanaosimama kidete kutetea haki za watu wa Palestina.
18:30 , 2026 May 23
Mradi wa “Kutoka Arubaini hadi Arubaini” wazinduliwa katika Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS)

Mradi wa “Kutoka Arubaini hadi Arubaini” wazinduliwa katika Haram Tukufu ya Imam Hussein (AS)

IQNA – Uongozi (Mfawidhi) wa Haram tukufu ya Imam Hussein (AS) umetangaza utekelezaji wa mradi mkubwa wa ujenzi wa muundo wa zege wa uwanja wa Imam Hassan al-Mujtaba (AS). Mradi huu utatekelezwa kwa jina la “Kutoka Arubaini hadi Arubaini” na unatarajiwa kuzinduliwa mwanzoni mwa mwezi wa Rabi’ al-Awwal 1448 Hijria (Agosti 14, 2026).
18:17 , 2026 May 23
Saaza za kutembelea Kituo cha Kuchapisha Qur’ani cha Madina

Saaza za kutembelea Kituo cha Kuchapisha Qur’ani cha Madina

IQNA – Wageni wanaozuru mji mtukufu wa Madina katika kipindi cha Hija ya mwaka 1447 (2026) watapata fursa ya kutembelea Kituo cha Mfalme Fahd cha Kuchapisha Qur’ani Tukufu katika nyakati maalum zilizotangazwa hivi karibuni.
18:00 , 2026 May 23
Katika Picha: Harusi ya Pamoja Jijini Tehran

Katika Picha: Harusi ya Pamoja Jijini Tehran

IQNA – Katika kuadhimisha kumbukumbu tukufu ya ndoa ya Bibi Fatima Zahra (SA) na Imam Ali (AS), sherehe ya harusi ya pamoja kwa maharusi au wanandoa 110 ilifanyika katika Uwanja wa Imam Hussein (AS) jijini Tehran, tarehe 18 Mei 2026, ikihudhuriwa na umati mkubwa wa watu.
10:50 , 2026 May 22
‘Kitendo Kisichokubalika’: Umoja wa Mataifa walaani jinsi Israel ilivowatendea wanaharakati wa Msafara wa Meli za Gaza

‘Kitendo Kisichokubalika’: Umoja wa Mataifa walaani jinsi Israel ilivowatendea wanaharakati wa Msafara wa Meli za Gaza

IQNA – Umoja wa Mataifa umelaani jinsi Israel ilivyowatendea wanaharakati waliokuwa katika meli za misaada zilizoelekea Gaza baada ya msafara huo kukamatwa katika maji ya kimataifa.
10:29 , 2026 May 22
OIC yalaani mpango wa eneo la Somaliland kufungua “Ubalozi” katika mji wa Al-Quds

OIC yalaani mpango wa eneo la Somaliland kufungua “Ubalozi” katika mji wa Al-Quds

IQNA – Jumuiya ya Ushirikiano wa Nchi za Kiislamu (OIC) imekataa rasmi mpango wa eneo linalojitenga la Somalia linalojulikana kama Somaliland w kufungua ubalozi katika mji wa al-Quds (Jerusalem) unaokaliwa kwa mabavu na Israel.
10:12 , 2026 May 22
Israel yawazuia tena Wapalestina wa Gaza kutekeleza ibada ya Hija

Israel yawazuia tena Wapalestina wa Gaza kutekeleza ibada ya Hija

IQNA – Watetezi wa haki za binadamu na maafisa wa Palestina wameilaani hatua wanayoieleza kuwa ni kukiuka kwa mfumo uhuru wa ibada, baada ya utawala haramu wa Israel kwa mara nyingine kuzuia maelfu ya Wapalestina wa Gaza kusafiri kwenda Saudi Arabia kwa ajili ya Hija ya kila mwaka.
10:03 , 2026 May 22
Hujuma ya kigaidi katika Msikiti wa San Diego ni ishara ya mgogoro Chuki Dhidi ya Uislamu Marekani

Hujuma ya kigaidi katika Msikiti wa San Diego ni ishara ya mgogoro Chuki Dhidi ya Uislamu Marekani

IQNA – Ingawa hujuma ya kigaidi dhidi ya Msikiti wa San Diefo ilitokea umbali wa zaidi ya maili 2,000, huzuni na taharuki yake zilihisiwa moja kwa moja kote Marekani hadi kusini-mashariki mwa jimbo la Michigan siku ya Jumatano.
09:40 , 2026 May 22
Nchi 58 kushiriki fainali za Mashindano ya 42 ya Kimataifa ya Qur’ani nchini Iran

Nchi 58 kushiriki fainali za Mashindano ya 42 ya Kimataifa ya Qur’ani nchini Iran

IQNA – Hatua ya fainali ya Mashindano ya 42 ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yatafanyika kwa ushiriki wa wawakilishi kutoka nchi 58, afisa mmoja amesema.
16:27 , 2026 May 21
Kiongozi Muadhamu amkumbuka Shahidi Rais Raeisi, asema alizingatia uadilifu na alikuwa karibu na wananchi

Kiongozi Muadhamu amkumbuka Shahidi Rais Raeisi, asema alizingatia uadilifu na alikuwa karibu na wananchi

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei, ametoa ujumbe wa kuadhimisha mwaka wa pili tangu kufa shahidi aliyekuwa Rais wa zamani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Sayyid Ebrahim Raeisi.
17:30 , 2026 May 20
Mashindano la Kila Mwaka la Qur’ani la Shule yafanyika Tripoli, Lebanon

Mashindano la Kila Mwaka la Qur’ani la Shule yafanyika Tripoli, Lebanon

IQNA – Majma‘a ya Shule za Kiislamu za Al‑Iman mjini Tripoli, Lebanon, imeandaa Mashindano ya 42 ya Kila Mwaka ya Qur’ani Tukufu, katika hafla iliyotawaliwa na hali ya kiroho na utulivu wa Kiimani.
17:23 , 2026 May 20
Watoto wa Gaza wang’ara katika Kampeni ya Qur’ani ya ‘Nuur’

Watoto wa Gaza wang’ara katika Kampeni ya Qur’ani ya ‘Nuur’

IQNA – Katika programu iliyofanyika Gaza, watoto 65 walioshiriki katika kampeni ya Qur’ani ya “Nuur” walisoma sehemu za Qur’ani Tukufu mbele ya walimu wao, kisha wakatunukiwa na kupongezwa na viongozi pamoja na wazazi wao.
17:16 , 2026 May 20
9 10 11 12