IQNA

Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 17

Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 17

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 17 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
17:20 , 2026 Mar 07
Jamii ya Qur’ani ya Iran yahuisha kiapo cha utiifu kwa njia ya Shahidi Imam Khamenei

Jamii ya Qur’ani ya Iran yahuisha kiapo cha utiifu kwa njia ya Shahidi Imam Khamenei

IQNA – Mkutano wa wanachama wa jamii ya Qur’ani nchini Iran umefanyika mjini Tehran siku ya Jumamosi.
17:17 , 2026 Mar 07
Rais wa Iran azungumza na Rais wa Russia, asisitiza kujihami kwa nguvu

Rais wa Iran azungumza na Rais wa Russia, asisitiza kujihami kwa nguvu

IQNA-Rais wa Russia, Vladimir Putin, amefanya mazungumzo ya simu na Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian kuhusu matukio ya hivi karibuni katika eneo, ambapo Rais wa Iran amesisitiza kuwa: “ Njia yetu ni kujihami kwa nguvu ili kulinda mipaka yetu na kuleta amani endelevu.
11:54 , 2026 Mar 07
Wairani washiriki maandamano ya kuunga mkono Operesheni ya Ahadi ya Kweli 4

Wairani washiriki maandamano ya kuunga mkono Operesheni ya Ahadi ya Kweli 4

IQNA – Katika siku za karibuni, Wairani katika miji mbalimbali, ikiwemo Ahvaz kusini-magharibi mwa nchi, wamefanya mikutano ya hadhara kulaani uchokozi wa Marekani na Israel, na kuelezea uungaji mkono wao kwa operesheni ya kijeshi ya kulipiza kisasi ya Iran, inayojulikana kama Operesheni ya Ahadi ya Kweli 4.
20:16 , 2026 Mar 06
Simulizi ya Mbinguni na ya Kidunia kuhusu Mapambano ndani ya Qur’ani Tukufu

Simulizi ya Mbinguni na ya Kidunia kuhusu Mapambano ndani ya Qur’ani Tukufu

IQNA-Qur’ani Tukufu, pamoja na kuonyesha takwimu na uchambuzi wa mambo kwa mtazamo wa kidunia, pia inatuwekea mbele mtazamo mwingine wa kutafakari kuhusu mapambano.
16:40 , 2026 Mar 06
Wanazuoni wa Yemen wasema kusaidia Iran na Hizbullah ni wajibu wa kidini

Wanazuoni wa Yemen wasema kusaidia Iran na Hizbullah ni wajibu wa kidini

IQNA —Chama cha Wanazuoni wa Yemen kimesema kuwa kuisaidia Jamhuri ya Kiislamu ya Iran pamoja na Harakati ya Hizbullah ya Lebanon ni wajibu wa kidini (wajib).
12:15 , 2026 Mar 06
Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 16

Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 16

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 16 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
11:53 , 2026 Mar 06
Mufti wa Libya atangaza kuunga mkono Iran katika vita vya kukabiliana na Israel, Marekani

Mufti wa Libya atangaza kuunga mkono Iran katika vita vya kukabiliana na Israel, Marekani

IQNA — Wakati mashambulizi ya pamoja ya Marekani na Israel dhidi ya Iran yakiendelea, Mufti Mkuu wa Libya ametangaza kuunga mkono Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
11:45 , 2026 Mar 06
Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 15

Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 15

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 15 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
14:38 , 2026 Mar 05
Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 12

Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 12

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 12 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
14:33 , 2026 Mar 05
Farhan Haq: Hujuma ya kijeshi dhidi ya Iran inakiuka hati ya Umoja wa Mataifa

Farhan Haq: Hujuma ya kijeshi dhidi ya Iran inakiuka hati ya Umoja wa Mataifa

IQNA-Naibu Msemaji wa Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, amesema kuwa hujuma ya kijeshi yaliyotumika na Marekani na Israel dhidi ya Iran inakiuka Kanuni za Umoja wa Mataifa.
12:45 , 2026 Mar 05
Pezeshkian: Hujuma ya kijeshi ya Marekani-Israel haijatuachia chaguo lolote isipokuwa kujihami

Pezeshkian: Hujuma ya kijeshi ya Marekani-Israel haijatuachia chaguo lolote isipokuwa kujihami

IQNA-Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema katika ujumbe wake kwa viongozi wa nchi rafiki na majirani kwamba mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel yameiacha Iran bila chaguo lolote isipokuwa kujilinda.
12:37 , 2026 Mar 05
Ayatullah Sistani alaani uvamizi wa Marekani dhidi ya Iran

Ayatullah Sistani alaani uvamizi wa Marekani dhidi ya Iran

IQNA – Kiongozi Mkuu wa Waislamu wa madhehebu ya Shia nchini Iraq, Ayatullah Sayyid Ali al-Sistani, amekemea kwa nguvu hujuma ya kijeshi ya Marekani dhidi ya Iran, ambayo ilianza Jumamosi na hadi sasa imesababisha mamia kufa shahidi, wakiwemo watoto.
17:42 , 2026 Mar 04
Sheikh Ibrahim Zakzaky: Mauaji ya Ayatullah Khamenei ni vita dhidi ya binadamu  wote

Sheikh Ibrahim Zakzaky: Mauaji ya Ayatullah Khamenei ni vita dhidi ya binadamu  wote

IQNA– Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria ametuma salamu za rambi rambi kufuatia kuuawa shahidi Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.
14:02 , 2026 Mar 04
Wabahrain waandama kuhimiza kulipiza kisasi kufuatia mauaji ya Imam Khamenei

Wabahrain waandama kuhimiza kulipiza kisasi kufuatia mauaji ya Imam Khamenei

IQNA – Watu walifanya maandamano katika maeneo mbalimbali ya Bahrain, wakionyesha mshikamano wao na Iran na kutaka kulipiza kisasi kwa mauaji ya Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Imam Ayatullah Seyed Ali Khamenei (Mwenyezi Mungu Amrehemu).
15:12 , 2026 Mar 03
11