IQNA

Mpango Katika Al Masjid an Nabawi walenga kukuza usomaji wa Qur'ani

Mpango Katika Al Masjid an Nabawi walenga kukuza usomaji wa Qur'ani

IQNA – Uongozi wa Al Masjid an Nabawi (Msikiti wa Mtume) huko Madina umetangaza utekelezaji wa mpango wa kielimu wa kufundisha Qara’at Ashar (mitindo kumi ya usomaji wa Qur'ani) ndani ya msikiti huo.
17:23 , 2025 May 19
Msikiti wa Liverpool unakabiliwa na uhaba wa nafasi, huduma za mazishi

Msikiti wa Liverpool unakabiliwa na uhaba wa nafasi, huduma za mazishi

IQNA-Msikiti mashuhuri jijini Liverpool nchini Uingereza unakumbwa na changamoto ya uhaba wa nafasi na miundombinu huku ukijitahidi kukidhi mahitaji yanayoongezeka ya huduma za mazishi ya Kiislamu kutoka kwa jamii za ndani na za mikoa jirani.
17:17 , 2025 May 19
Maandamano makubwa zaidi ya Uholanzi katika miongo miwili, ni ya watetezi wa Palestina

Maandamano makubwa zaidi ya Uholanzi katika miongo miwili, ni ya watetezi wa Palestina

IQNA – Mji wa The Hague, Uholanzi umeshuhudia maandamano makubwa ya kuunga mkono Palestina na Gaza siku ya Jumapili.
17:06 , 2025 May 19
Mkuu wa vyuo vya Kiislamu Iran atoa wito wa ushirikiano katika barua kwa Papa

Mkuu wa vyuo vya Kiislamu Iran atoa wito wa ushirikiano katika barua kwa Papa

IQNA-Mwanazuoni mwandamizi wa Kiislamu wa Iran ametuma salamu za pongezi kwa mkuu mpya wa Kanisa Katoliki, akihimiza mazungumzo yenye tija na ushirikiano baina ya dini, huku akitoa akimuenzi Papa Francis aliyeaga dunia hivi karibuni.
16:58 , 2025 May 19
Rais wa Iran: Tukiwa na Umoja wa Kiislamu ‘hakuna adui atakayetushinda’

Rais wa Iran: Tukiwa na Umoja wa Kiislamu ‘hakuna adui atakayetushinda’

IQNA – Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kuwa mshikamano wa kweli kati ya mataifa ya Kiislamu utayafanya kuwa na nguvu zaidi mbele ya maadui.
16:26 , 2025 May 18
Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Nigeria yashirikisha majimbo 36

Mashindano ya Kitaifa ya Qur’ani Nigeria yashirikisha majimbo 36

IQNA – Mashindano ya kuhifadhi Qur’ani yalifanyika mjini Damaturu, mji mkuu wa jimbo la Yobe nchini Nigeria, siku ya Jumamosi.
15:40 , 2025 May 18
Algeria yawaunganisha wanakaligrafia kutoka nchi za Kiislamu

Algeria yawaunganisha wanakaligrafia kutoka nchi za Kiislamu

IQNA – Tamasha la 13 la Kimataifa la Kaligrafia ya Kiarabu nchini Algeria limefanyika katika mji wa al-Madiya, likiwa limejumuisha wanakaligrafia kutoka nchi mbalimbali za Kiislamu.
15:34 , 2025 May 18
Qari Muirani mwenye ulemavu wa macho anaweza kusoma Qur'ani huko Madina (+Video)

Qari Muirani mwenye ulemavu wa macho anaweza kusoma Qur'ani huko Madina (+Video)

IQNA – Omid Reza Rahimi ni qari mwenye ulemavu wa macho ambaye amehifadhi Qur'ani ambaye ni mwanachama wa Msafara wa Qur'ani wa Nur (Noor) kutoka Iran, ambao ni ujumbe wa wasomaji Qur'ani katika ibada ya Hija.
15:27 , 2025 May 18
Msomi: Qur’ani imeitaja Hija kuwa 'Bendera ya Uislamu'

Msomi: Qur’ani imeitaja Hija kuwa 'Bendera ya Uislamu'

IQNA – Ibada ya Hija, inayofanywa kila mwaka, inatajwa katika Qur’an kama bendera ya Uislamu, kulingana na maelezo ya mwanazuoni wa Kiislamu kutoka Iran.
20:42 , 2025 May 17
Wanandoa wazee wa Kiindonesia, wenye umria wa miaka 100, 95 wanaelekea Hija

Wanandoa wazee wa Kiindonesia, wenye umria wa miaka 100, 95 wanaelekea Hija

IQNA – Mwanamume mwenye umri wa miaka 100 na mke wake wa miaka 95 kutoka Aceh ya Kati nchini Indonesia wanajiandaa kujiunga na mamilioni ya Waislamu katika ibada ya Hija ya mwaka huu, wakionyesha imani thabiti na uthabiti wa mwili katika uzee wao.
20:33 , 2025 May 17
Wenye kupinga Uislamu Denmark watozwa faini kwa kuvunjia heshima nakala ya Qur'ani

Wenye kupinga Uislamu Denmark watozwa faini kwa kuvunjia heshima nakala ya Qur'ani

IQNA– Wanaume wawili wamepatikana na atia ya kuvunjia heshima nakala ya Qur'ani Tukufu na kila mmoja kutozwa faini ya kroner za Denmark 10,000 (sawa na dola 1,500) huko Denmark.
20:26 , 2025 May 17
Mabunge ya Nchi za Kiislamu yataka vikwazo vya kimataifa dhidi ya Israel

Mabunge ya Nchi za Kiislamu yataka vikwazo vya kimataifa dhidi ya Israel

IQNA – Nchi wanachama wa Muungano wa Mabunge ya Nchi za Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (PUIC) zimetoa wito wa kuwekwa vikwazo vya kimataifa dhidi ya Israel, huku utawala huo ukiwa unaendelea na vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika ukanda wa Gaza.
20:16 , 2025 May 17
Kiongozi Muadhamu: Matamshi ya Trump ni fedheha kwa taifa la Marekani

Kiongozi Muadhamu: Matamshi ya Trump ni fedheha kwa taifa la Marekani

IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amekosoa matamshi ya hivi karibuni ya Rais Donald Trump wa Marekani na kuyataja kuwa ni "fedheha" kwa taifa la Marekani.
19:20 , 2025 May 17
Mkuu wa ICRO asifu shughuli za Qur'ani za Taasisi ya Ibn Sina nchini Russia

 

Mkuu wa ICRO asifu shughuli za Qur'ani za Taasisi ya Ibn Sina nchini Russia  

IQNA – Mkuu wa Shirika la Iran la Utamaduni na Mahusiano ya Kiislamu amepongeza juhudi za utafiti wa Quran zinazofanywa na Taasisi ya Ibn Sina nchini Russia.
21:10 , 2025 May 16
Ni wajibu wa Kiislamu kusitisha ‘Mauaji Makubwa Zaidi ya Kimbari Katika Historia’ Gaza

Ni wajibu wa Kiislamu kusitisha ‘Mauaji Makubwa Zaidi ya Kimbari Katika Historia’ Gaza

IQNA-Spika wa Majlisi ya Ushauri wa Kiislamu (Bunge la Iran), Mohammad Baqer Qalibaf, ametoa wito kwa Waislamu kuimarisha umoja na kuwa sauti ya watu wa Palestina walioko Ukanda wa Gaza, ambao wanakumbwa na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Israel.
21:01 , 2025 May 16
11