IQNA

Ali Larijani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, ameuawa Shahidi

Ali Larijani, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, ameuawa Shahidi

IQNA-Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran limetangaza kuuawa shahidi kwa katibu wake, Ali Larijani, kufuatia shambulio la maadui, ambao ni Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.
11:26 , 2026 Mar 18
Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 28

Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 28

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 28 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
10:18 , 2026 Mar 18
Kutambua Ukweli kwa Kuangalia Wafuasi wa Batili na Madhalimu

Kutambua Ukweli kwa Kuangalia Wafuasi wa Batili na Madhalimu

IQNA – Mojawapo ya mitihani ya Mwenyezi Mungu ni jaribio la kutambua haki na batili; na mojawapo ya njia za kutambua haki na batili ni kuchunguza wafuasi na wanaounga mkono batili, na kujiepusha na madhalimu wanaokandamiza.
16:22 , 2026 Mar 17
Nujaba: Mapambano ya sasa ni Mvutano kati ya Nguvu za Ukafiri na Mhihimili wa Heshima na Utukufu

Nujaba: Mapambano ya sasa ni Mvutano kati ya Nguvu za Ukafiri na Mhihimili wa Heshima na Utukufu

IQNA – Msemaji wa harakati ya muqawama ya Iraq, al‑Nujaba, ameeleza mapambano yanayoendelea katika eneo la Asia Magharii kuwa ni mvutano kati ya nguvu za ukafiri na mhimili wa heshima na utukufu.
16:06 , 2026 Mar 17
Watoto Jasiri wa Iran

Watoto Jasiri wa Iran

IQNA – Watoto wa Iran hawaogopi wavamizi, bali wanamdhihaki adui.
15:52 , 2026 Mar 17
Barua ya Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa Iran kwa Waislamu na Serikali za Kiislamu.

Barua ya Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa Iran kwa Waislamu na Serikali za Kiislamu.

IQNA-Katika taarifa yenye vipengele sita iliyoelekezwa kwa serikali za nchi za Kiislamu, Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran amesema: “Lazima muamue msimamo wenu katika Vita vya Ramadhani, je, mnasimama upande wa nchi ya Kiislamu ya Iran, au upande wa Marekani na Israel?”
12:28 , 2026 Mar 17
Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 27

Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 27

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 27 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
12:11 , 2026 Mar 17
Kipindi cha ‘Mahfel’ kimeifanya Qur’ani kuwa msingi wa mipango ya kitamaduni Iran

Kipindi cha ‘Mahfel’ kimeifanya Qur’ani kuwa msingi wa mipango ya kitamaduni Iran

IQNA – Mmoja wa waandaaji wa kipindi cha televisheni cha Qur’ani nchini Iran kinachojulikana kama Mahfel amesema kuwa kipindi hicho kimefanikiwa kuiondoa Qur’ani katika mtazamo wa kuishia tu kwenye usomaji au matarajio ya thawabu, na kuileta katika uwanja wa uhusiano wa kijamii na ubinadamu.
14:47 , 2026 Mar 16
New York Times: Nguvu za kijeshi za Iran ni zaidi ya alivyotarajia Trump

New York Times: Nguvu za kijeshi za Iran ni zaidi ya alivyotarajia Trump

IQNA-Gazeti moja la Marekani limekiri uwezo wa kijeshi wa Iran wa kuathiri uchumi wa dunia kwa kudhibiti Mlango-Bahari wa Hormuz.
13:26 , 2026 Mar 16
Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 26

Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 26

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 26 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
13:16 , 2026 Mar 16
Dhuluma na Ukatili: Mshauri Mwislamu katika uawala wa Trump ajiuzulu kutokana na vita dhidi ya Iran

Dhuluma na Ukatili: Mshauri Mwislamu katika uawala wa Trump ajiuzulu kutokana na vita dhidi ya Iran

IQNA – Wakati mashambulizi ya kijeshi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran yakiingia katika juma lake la tatu na idadi ya raia wanaopoteza maisha ikiongezeka pande zote mbili, sauti ya kwanza ya kupinga imejitokeza kutoka ndani ya utawala wa Trump wenyewe.
14:00 , 2026 Mar 15
Simulizi ya Vita ya Kukata Tamaa dhidi ya Mtazamo wa Mchakato Unaofungua Fursa

Simulizi ya Vita ya Kukata Tamaa dhidi ya Mtazamo wa Mchakato Unaofungua Fursa

IQNA – Aya za Qur’ani Tukufu zinazohusu Vita vya Uhud katika Surah Aal Imran zinalenga kuwahamisha Waislamu kutoka katika mtazamo uliotawanyika unaoangalia historia kama matukio yaliyokatika katika, na kuwapeleka kwenye uelewa wa kimchakato wa sunna na sheria za Mwenyezi Mungu.
13:49 , 2026 Mar 15
Sheikh Naim Qassem: Siku ya Kimataifa ya Quds na nafasi muhimu katika kukombolewa Palestina

Sheikh Naim Qassem: Siku ya Kimataifa ya Quds na nafasi muhimu katika kukombolewa Palestina

IQNA – Katibu Mkuu wa Harakati ya Hizbullah nchini Lebanon amesema kuwa Siku ya Kimataifa ya Quds imechochea uungwaji mkono wa kimataifa kwa kadhia ya Palestina.
11:57 , 2026 Mar 14
Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 24

Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 24

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 24 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
11:50 , 2026 Mar 14
Picha za Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds jijini Tehran

Picha za Maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds jijini Tehran

IQNA-Sambamba na kuwadia kwa Ijumaa ya mwisho ya mwezi mtukufu wa Ramadhani, hafla kubwa ya maandamano ya Siku ya Kimataifa ya Quds imefanyika leo asubuhi, Ijumaa mjini Tehran na katika maeneo mbalimbali ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran. Hizi hapa ni picha za mjumuiko huo wa kuunga mkono Palestina hapa Tehran ambapo pia Waafrika wanaoishi Iran wameshiriki.
22:11 , 2026 Mar 13
8