IQNA

Idhaa ya Qur’ani ya Misri Yaaanza Kurusha Tarteel ya Sheikh Minshawi

Idhaa ya Qur’ani ya Misri Yaaanza Kurusha Tarteel ya Sheikh Minshawi

IQNA – Idhaa ya Qur’ani Tukufu ya Misri, yenye makao yake Cairo, imeanza kurusha hewani usomaji wa Qur’ani kwa mtindo wa tarteel wa miaka ya 1960 wa qari mashuhuri Sheikh Mohamed Siddiq El‑Minshawi.
17:36 , 2026 Jun 03
Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi za Kiislamu Walaani Kuvamiwa kwa Msikiti wa Al‑Aqsa na Walowezi wa Israel

Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Nchi za Kiislamu Walaani Kuvamiwa kwa Msikiti wa Al‑Aqsa na Walowezi wa Israel

IQNA – Nchi kadhaa za Kiislamu zimelaani vikali kuvamiwa kwa viwanja vya Msikiti wa Al‑Aqsa na walowezi wa Kizayuni wa Israel katika Al‑Quds (Jerusalem) ya Mashariki iliyo chini ya ukaliaji mwishoni mwa wiki hii.
17:27 , 2026 Jun 03
Mkuu wa Kamati ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Iran ateuliwa

Mkuu wa Kamati ya Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Iran ateuliwa

IQNA – Mkuu wa kamati ya maandalizi ya Toleo la 42 na 43 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani Tukufu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametangazwa.
13:36 , 2026 Jun 02
Wahubiri wageni watembelea vivutio vya kihistoria vya kidini nchini Misri

Wahubiri wageni watembelea vivutio vya kihistoria vya kidini nchini Misri

IQNA – Chuo cha Kimataifa cha Al-Azhar nchini Misri kiliandaa programu ya ziara ya maimamu, wahubiri na walinganiaji wageni kutembelea vivutio vya kihistoria vya Kiislamu na Kikristo katika eneo la Fustat.
13:32 , 2026 Jun 02
Mahujaji Wapokea Nakala Milioni 1.9 za Qur’ani wakati wa kuondoka Saudia

Mahujaji Wapokea Nakala Milioni 1.9 za Qur’ani wakati wa kuondoka Saudia

IQNA – Wakiwa na mizigo mikononi mwao lakini nyoyo zao zikiwa bado zimejaa athari za ibada za Hija, mahujaji waliokuwa wakiondoka walikabidhiwa kila mmoja zawadi yanakala ya Qur’ani Tukufu.
13:26 , 2026 Jun 02
Kuunganisha Dini na Jamii katika Kituo cha Kiislamu cha Vila Cahón nchini Brazil

Kuunganisha Dini na Jamii katika Kituo cha Kiislamu cha Vila Cahón nchini Brazil

IQNA – Kituo cha Kiislamu cha Vila Cahón huko São Paulo, nchini Brazil, kina nafasi kubwa zaidi ya kuwa taasisi ya kidini pekee.
13:19 , 2026 Jun 02
Fainali za Mashindano ya 19 ya Kimataifa ya Qur’ani ya “Mafaza”

Fainali za Mashindano ya 19 ya Kimataifa ya Qur’ani ya “Mafaza”

IQNA – Raundi ya fainali ya Mashindano ya Qur’ani yanayorushwa mubashara kupitia televisheni, “Inna lil-Muttaqina Mafaza” (Hakika kwa wachamungu ipo mafanikio/maokoleo), inatarajiwa kufanyika baadaye wiki hii.
15:22 , 2026 Jun 01
Madada wa Kosovo wawafundisha mamia ya watoto Qur’ani

Madada wa Kosovo wawafundisha mamia ya watoto Qur’ani

IQNA – Kwa kuanzisha akademia ya Qur’ani, madada wawili mjini Pristina, mji mkuu wa Kosovo, wameweza kuwafundisha mamia ya watoto namna ya kusoma na kuhifadhi Qur’ani Tukufu kupitia miaka yao ya juhudi na bidii.
15:14 , 2026 Jun 01
Mpango mpya katika Al Masjid An Nabawi waboresha ziara ya wageni

Mpango mpya katika Al Masjid An Nabawi waboresha ziara ya wageni

IQNA – Kwa lengo la kuizidisha safari ya kiroho ya mamilioni ya wanaouzuru Msikiti wa Mtume au Al Masjid An Nabawi huko Madina Al-Munawwara, umeanzishwa mpango wa mwongozo kwa wageni unaounganisha ukunjufu wa mapokezi na mafundisho ya dini.
15:07 , 2026 Jun 01
Wiki ya 15 ya Kimataifa ya Ghadir Yaanza Najaf

Wiki ya 15 ya Kimataifa ya Ghadir Yaanza Najaf

IQNA – Idara ya Mfawidhi au Msimamizi wa wa Haram Tukufu ya Imam Ali (AS) mjini Najaf, Iraq, Jumapili imetangaza kuanza kwa shughuli za Wiki ya 15 ya Kimataifa ya Ghadir.
14:49 , 2026 Jun 01
Kisomo cha Surat Yusuf: Njia ya ufanisi na lakabu ya “Sultan al-Qurra” kwa Sheikh al-Sayyid Saeed

Kisomo cha Surat Yusuf: Njia ya ufanisi na lakabu ya “Sultan al-Qurra” kwa Sheikh al-Sayyid Saeed

IQNA – Wengi wanaamini kuwa kurekodiwa kwa Surat Yusuf kulikuwa mgeuko wa kweli katika maisha ya Sheikh al-Sayyid Saeed, na mafanikio hayo makubwa yakamfanya ajipatie umaarufu na hatimaye kunyakua lakabu inayostahiki ya “Sultan al-Qurra” (Mfalme wa Wasomaji Qur’ani).
21:55 , 2026 May 31
Aliyekuwa mfasiri wa kwanza wa Qur’ani kwa Lugha ya Tamazight (Amazigh) ameaga dunia

Aliyekuwa mfasiri wa kwanza wa Qur’ani kwa Lugha ya Tamazight (Amazigh) ameaga dunia

IQNA – Sheikh Hajj Muhannad Tayeb, msomi mashuhuri na mfasiri wa Qur’ani Tukufu nchini Algeria, amerejea kwa Mola wake siku ya Jumamosi.
21:47 , 2026 May 31
Video ya Rais Erdoğan akisoma Qur’ani yatikisa mitandao ya kijamii

Video ya Rais Erdoğan akisoma Qur’ani yatikisa mitandao ya kijamii

IQNA – Video iliyosambazwa mtandaoni ikimuonesha Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdoğan, akisoma aya za Qur’ani Tukufu ndani ya Msikiti wa Aya Sofya mjini Istanbul, imepokelewa vyema na watumiaji wa mitandao ya kijamii.
21:37 , 2026 May 31
Nakala za Qur’ani kwa lugha 80 zazawadiwa Mahujaji wanaorejea makwao

Nakala za Qur’ani kwa lugha 80 zazawadiwa Mahujaji wanaorejea makwao

IQNA – Katika vituo vya kuondokea abiria vya Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mfalme Abdulaziz uliopo Jeddah, kuna jitihada tulivu na yenye baraka zinazoendelea.
21:22 , 2026 May 31
Wizara ya Wakfu ya Misri yamuenzi Qari marhum Shekh Hilal

Wizara ya Wakfu ya Misri yamuenzi Qari marhum Shekh Hilal

IQNA – Wizara ya Awqaf (Wakfu) ya Misri imeuhuisha na kuuenzi ukumbusho wa qari marehemu wa Qur’ani Tukufu, Sheikh Sayyid Abdul Shafi Hilal, katika maadhimisho ya siku yake ya kuzaliwa.
16:03 , 2026 May 30
6 7 8 9