IQNA

Mhimili wa Muqawama watangaza utiifu kwa Ayatullah Mojtaba Khamenei

Mhimili wa Muqawama watangaza utiifu kwa Ayatullah Mojtaba Khamenei

IQNA – Katibu Mkuu wa Harakati ya Muqawama ya Iraq amepongeza kuchaguliwa kwa Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kuwa Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu.
18:27 , 2026 Mar 10
Wairani waapa utii kwa Kiongozi Mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu

Wairani waapa utii kwa Kiongozi Mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu

IQNA – Maandamano makubwa ya wananchi yalifanyika kote nchini Iran, yakiwemo katika mji mkuu Tehran, Jumatatu tarehe 9 Machi 2026, ambapo wananchi walitangaza utii na uungaji mkono wao kwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei. Hizi hapa baadhi ya picha za maandamano hayo.
18:09 , 2026 Mar 10
Mfalme wa Oman na viongozi wa nchi jirani wampongeza Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

Mfalme wa Oman na viongozi wa nchi jirani wampongeza Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

IQNA – Sultani wa Oman amemtumia pongezi Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kufuatia kuchaguliwa kwake kuwa Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu.
18:04 , 2026 Mar 10
Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 20

Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 20

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 20 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
17:36 , 2026 Mar 10
Chama cha Wahudumu wa Qur’ani Chasifu Uchaguzi wa Busara na Hekima wa Kiongozi Mpya

Chama cha Wahudumu wa Qur’ani Chasifu Uchaguzi wa Busara na Hekima wa Kiongozi Mpya

IQNA – Chama cha Wahudumu wa Qur’ani Tukufu nchini Iran kimesifu uamuzi wa busara na hekima wa Baraza la Wanazuoni Wataalamu wa kumchagua Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kuwa Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu nchini Iran.
20:33 , 2026 Mar 09
Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 19

Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 19

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 19 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
20:14 , 2026 Mar 09
Kwa nini vita vilipangwa badala ya mazungumzo?

Kwa nini vita vilipangwa badala ya mazungumzo?

IQNA-Katika matukio ya hivi karibuni, mbele ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kulikuwepo njia mbili: vita au mazungumzo. Watu wengi kwa kawaida walipendelea mazungumzo. Hata hivyo, kwa nini hatima ya nchi ikaishia kwenye vita?
20:03 , 2026 Mar 09
IRGC tayari kikamilifu kumtii Kiongozi Mpya na kuendeleza kulinda thamani za Mapinduzi ya Kiislamu

IRGC tayari kikamilifu kumtii Kiongozi Mpya na kuendeleza kulinda thamani za Mapinduzi ya Kiislamu

IQNA – Kufuatia kuchaguliwa kwa Ayatullah Seyed Mojtaba Khamenei kuwa Kiongozi mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu, Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesema liko tayari kikamilifu kutekeleza amri zake.
14:07 , 2026 Mar 09
Baraza la Wataalamu Lamchagua Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kuwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

Baraza la Wataalamu Lamchagua Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kuwa Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu

IQNA – Baraza la Wanazuoni Wataalamu nchini Iran limemchagua Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei kuwa Kiongozi Muadhamu mpya wa Mapinduzi ya Kiislamu.
05:44 , 2026 Mar 09
Janga la Minab Halitasahaulika Kamwe Nchini Iran

Janga la Minab Halitasahaulika Kamwe Nchini Iran

IQNA – Janga la kuuawa shahidi kwa wanafunzi 165 katika shambulio la kigaidi la Marekani na Israel, mnamo Feruari 28 2026, dhidi ya shule ya wasichana katika mji wa Minab, kusini mwa Iran, ni hasara kubwa ambayo taifa la Iran halitasahau kamwe.
21:17 , 2026 Mar 08
Larijani: Lengo Kuu la Uchokozi wa Marekani na Utawala wa Kizayuni ni kuigawa Iran

Larijani: Lengo Kuu la Uchokozi wa Marekani na Utawala wa Kizayuni ni kuigawa Iran

IQNA – Afisa mwandamizi wa Iran amesema kuwa lengo halisi la Marekani na utawala wa Kizayuni katika vita vinavyoendelea dhidi ya Iran ni kuisambaratisha Iran, si tu kubadilisha mfumo unaotawala.
20:39 , 2026 Mar 08
Kutoka kwa “Mtihani wa Waumini” hadi “Kufutwa kwa Makafiri”, Mantiki ya Qur’ani katika Kupanda Kilele

Kutoka kwa “Mtihani wa Waumini” hadi “Kufutwa kwa Makafiri”, Mantiki ya Qur’ani katika Kupanda Kilele

IQNA-Kiongozi Shahidi wa Mapinduzi ya Kiislamu , Imam Khamenei, (Mwenyezi Mungu Amrehemu) aliashiria katika moja ya hotuba zake kwamba, “Tumepita sehemu kubwa ya njia, licha ya changamoto nyingi, na sasa tumekaribia kilele.”
20:13 , 2026 Mar 08
Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 18

Qiraa ya Kila Siku ya Qur’ani Tukufu: Tartili ya Juzuu ya 18

IQNA – Ifuatayo ni qiraa ya tartili ya Juzuu ya 18 ya Qur’ani Tukufu, ambayo imesomwa na qari mashuhuri wa Iran, Ustadh Qassem Moqaddami. Jiungeni na IQNA kila siku katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani kwa safari ya kiroho kupitia Qur’ani Tukufu, kwa lengo la kukamilisha au kuhitimisha usomaji wa Qur’ani nzima ifikapo mwisho wa mwezi huu uliobarikiwa.
11:28 , 2026 Mar 08
Uchujaji na Machipuko ya Mwisho wa Nyakati

Uchujaji na Machipuko ya Mwisho wa Nyakati

IQNA- Katika Qur’ani Tukufu tunasoma hivi: “…Lau wanngelitengana , basi kwa hakika tungaliwaadhibu wale waliokufuru miongoni mwao kwa adhabu chungu.” (Al Fath: 25)
17:48 , 2026 Mar 07
Mwanazuoni wa Iran Amwandikia Papa kuhusu uchokozi wa Marekani na Israel

Mwanazuoni wa Iran Amwandikia Papa kuhusu uchokozi wa Marekani na Israel

IQNA – Mwanazuoni mmoja wa Iran amemtumia barua kiongozi wa Kanisa Katoliki, akionya kuhusu athari na matokeo ya uchokozi unaoendelea wa Marekani na utawala wa Israel dhidi ya Iran.
17:38 , 2026 Mar 07
10