IQNA – Katika Siku ya Watoto Duniani, inayokumbusha kupitishwa kwa Mkataba wa Haki za Mtoto mnamo Novemba 20, 1989, watetezi wa Palestina na baadhi ya mashirika ya haki za binadamu wamelaani vikali utawala katili wa Israel kwa kuwalenga watoto wa Gaza kwa makusudi na kwa mfumo wa kikatili.
11:37 , 2025 Nov 21