IQNA

Kongamano la Kimataifa la Qur'ani Tukufu lafanyika Tanzania

Kongamano la Kimataifa la Qur'ani Tukufu lafanyika Tanzania

IQNA- Kongamano la 30 la Qur’an Tukufu na Hadithi limefanyika kwa mafanikio makubwa Jijini Dar-es-Salaam - Tanzania, likiwakutanisha wasomaji mahiri wa Qur’an kutoka nchini Iran na ndani ya Tanzania..
10:03 , 2025 May 22
Katika Picha: Jumba la Kitaifa la Makumbusho la Sanaa la Isfahan

Katika Picha: Jumba la Kitaifa la Makumbusho la Sanaa la Isfahan

IQNA – Jumba la Kitaifa la Makumbusho la Sanaa la Isfahan, lililozinduliwa mnamo Februari 2022, liko ndani ya jengo la kihistoria kutoka enzi ya mwisho ya utawala wa Qajar.
15:49 , 2025 May 21
Watu wenye uwezo wanawajibika mbele ya Mwenyezi Mungu kuhusu Hija

Watu wenye uwezo wanawajibika mbele ya Mwenyezi Mungu kuhusu Hija

IQNA – Qur'ani Tukufu inaitazama Hija kama haki ya Mwenyezi Mungu juu ya wanadamu, na ni wajibu kwa wale wote walio na uwezo wa kufika katika Nyumba ya Mwenyezi Mungu katika mji mtakatifu wa Makka.
15:44 , 2025 May 21
Kosovo: Aliyevunjia heshima  Qur'ani Tukufu Kosovo ashtakiwa

Kosovo: Aliyevunjia heshima Qur'ani Tukufu Kosovo ashtakiwa

IQNA – Mwanaume mmoja ameshtakiwa rasmi nchini Kosovo kwa kitendo cha kuvunjia heshima Qur’ani Tukufu miezi michache iliyopita.
15:37 , 2025 May 21
Sweden yashinda Tuzo Kuu Katika Mashindano ya Ulaya ya Kuhifadhi Qur’ani

Sweden yashinda Tuzo Kuu Katika Mashindano ya Ulaya ya Kuhifadhi Qur’ani

IQNA – Toleo la tatu la Mashindano ya Kimataifa ya Ulaya ya Kuhifadhi Qur’ani kwa washiriki wa umri mkubwa limehitimishwa mjini Rijeka, Croatia, ambapo Muhammad Abdi kutoka Sweden (Uswidi) alitwaa nafasi ya kwanza.
15:32 , 2025 May 21
Waislamu Ufaransa  wataka Palestina itambuliwe kama nchi, uhusiano na Israel ukatwe

Waislamu Ufaransa wataka Palestina itambuliwe kama nchi, uhusiano na Israel ukatwe

IQNA – Baraza la Kiislamu la Ufaransa (CFCM) limeitaka Ufaransa na Umoja wa Ulaya kuitambua rasmi Palestina kama nchi huru na kusitisha makubaliano yao ya kisiasa na kiuchumi na utawala wa Israel kutokana na jinai za utawala huo huko Gaza.
15:27 , 2025 May 21
Wizara ya Wakfu ya Misri kuandikisha watoto milioni moja kuhifadhi Qur'ani

Wizara ya Wakfu ya Misri kuandikisha watoto milioni moja kuhifadhi Qur'ani

IQNA – Msemaji wa Wizara ya Wakfu ya Misri ametangaza uzinduzi wa mpango wa majira ya kiangazi kwa watoto katika misikiti ya nchi hiyo.
15:08 , 2025 May 21
Kiongozi Muadhamu apongeza unyenyekevu na huduma za Shahidi Rais Raisi

Kiongozi Muadhamu apongeza unyenyekevu na huduma za Shahidi Rais Raisi

IQNA – Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amemsifu Shahidi Rais Ebrahim Raisi kama mtumishi wa umma aliyejitolea, ambaye unyenyekevu wake na kujituma bila kuchoka kwa ajili ya watu vilimtofautisha na wengine.  
22:30 , 2025 May 20
Sherehe zafanyika Mauritania kuwaenzi wahifadhi wa Qur'ani

Sherehe zafanyika Mauritania kuwaenzi wahifadhi wa Qur'ani

IQNA – Kundi la watu waliokamilisha kuhifadhi Qur'anI Tukufu kikamilifu wameenziwa katika sherehe iliyofanyika katika mji mkuu wa Mauritania, Nouakchott.
21:59 , 2025 May 20
Semina ya Al-Azhar yajadili uumbaji wa milima kwa mtazamo wa Qur’ani

Semina ya Al-Azhar yajadili uumbaji wa milima kwa mtazamo wa Qur’ani

IQNA – Semina kuhusu uumbaji wa milima kwa mtazamo wa Qur’ani ilifanyika katika Msikiti Mkuu wa Al-Azhar huko Cairo, Misri.  
21:49 , 2025 May 20
Usomaji wa Kundi: Maqari vijana wasoma aya za Surah Adh-Dhariyat

Usomaji wa Kundi: Maqari vijana wasoma aya za Surah Adh-Dhariyat

IQNA – Wanachama wa timu ya kitaifa ya vijana wa Iran wanaosoma Quran kwa pamoja katika usomaji wa aya 47 hadi 49 kutoka Surah Adh-Dhariyat, wakati wa kikao cha pili cha kambi yao ya mafunzo, kilichofanyika mapema mwezi huu katika mji wa Qom.
21:17 , 2025 May 20
UN: Israel yaendeleza hujuma  Gaza, yawalazimu watu 97,000 kuhama katika siku nne

UN: Israel yaendeleza hujuma  Gaza, yawalazimu watu 97,000 kuhama katika siku nne

IQNA-Shirika la Kimataifa la Uhamaji (IOM) limeripoti kwamba zaidi ya Wapalestina 97,000 wamehamishwa Gaza katika kipindi cha siku nne pekee, huku mashambulizi ya Israeli yakizidi kuwa makali katika eneo hilo lenye mateso.
21:12 , 2025 May 20
Zoezi la kunereka maji ya waridi katika eneo la Niyasar, Iran

Zoezi la kunereka maji ya waridi katika eneo la Niyasar, Iran

IQNA – Wakati maua ya waridi aina ya damask yanapochanua kwenye miteremko ya milima ya Niyasar, katikati mwa Iran, desturi ya muda mrefu ya kunereka maji ya waridi hufanyika tena kwa adhama na usafi wake wa kipekee.
17:48 , 2025 May 19
Picha: Waumini watembelea Al Masjid An Nabawi kabla ya kuanza Hija

Picha: Waumini watembelea Al Masjid An Nabawi kabla ya kuanza Hija

IQNA – Picha hizi zilizopigwa Mei 17, 2025, zinaonyesha Waislamu wakitembelea Al Masjid An Nabawi (Msikiti wa Mtume) mjini Madina wakati wanajiandaa kwa ibada ya Hija ya mwaka huu. Ibada ya kila mwaka ya ya Hija itaanza Saudia katika kipindi cha siku chache zijazo.
17:41 , 2025 May 19
Msomi wa Kiislamu akanusha madai kuwa Mashia wamejitenga na Qur'ani

Msomi wa Kiislamu akanusha madai kuwa Mashia wamejitenga na Qur'ani

IQNA – Mwanazuoni wa Kiislamu kutoka Iran amepinga madai kwamba Waislamu wa madhehebu ya Shia hawana uhusiano wa karibu na Qur'ani Tukufu huku akiyataja madai kama hayo kuwa ni uzushi wa muda mrefu unaoenezwa na maadui wa Uislamu.
17:38 , 2025 May 19
10