IQNA – Picha hizi zilizopigwa Mei 17, 2025, zinaonyesha Waislamu wakitembelea Al Masjid An Nabawi (Msikiti wa Mtume) mjini Madina wakati wanajiandaa kwa ibada ya Hija ya mwaka huu. Ibada ya kila mwaka ya ya Hija itaanza Saudia katika kipindi cha siku chache zijazo.
17:41 , 2025 May 19