Kwa mujibu wa mtandao wa habari wa di-ve , washiriki wa semina hiyo watakuwa ni pamoja na wahasibu, wanabenki, maajenti na maafisa wa uwekezaji pamoja na baadhi ya wanachuo.
Ajenda kuu ya kikao hicho itakuwa ni kujadili njia ya kustawisha taasisi za uwekezaji kwa mujibu wa sheria za Kiislamu.
Abdullah As-Shami mhadhiri wa sheria za Kiislamu na Robin Batigig Mkuu wa Taasisi ya Ukurugenzi ya Malta ni miongoni mwa watu watakaohutubia semina hiyo.
326416