Katika taarifa iliyotolewa na baraza hilo, Waislamu wameombwa kuzingatia viwango na masuala ya afya katika siku hiyo na kuchinja kondoo kwa mujibu wa sheria za Kiislamu. Mara hii idadi kubwa ya Waislamu wa Ufaransa wanajiandaa kukukaribisha sherehe za siku hii muhimu katika kalenda ya Kiislamu na hivyo kuongeza idadi ya vichinjio vya wanyama nchini nchini humo katika siku hiyo ya furaha na shangwe. 327166