IQNA

Kikao cha kwanza cha Mazungumzo ya Qur'ani mjini Strasbourg, Ufaransa

11:11 - December 20, 2008
Habari ID: 1720544
Kikao cha "Mazungumzo ya Kiqur'ani, Msingi wa Mazungumzo" kinafunguliwa leo katika ukumbi wa mikutano wa mji wa Strasbourg nchini Ufaransa.
Mkutano huo umetayarishwa na Msikiti mkuu wa jamaa wa mji huo.
Sekretarieti ya msikiti mkuu wa jamaa wa Strasbourg imetangaza kuwa kikao hicho kinahudhuriwa na shakhsia wa Kiislamu na vikundi mashuhuri vya qasida katika ukumbi wa Scweitzer.
Kikao kingine cha mazungumzo ya Qur’ani kitafanyika Jumapili ya wiki hii katika ukumbi huo. 335397
captcha