Sakir Ahmad, mwandishi wa kitabu hicho amezungumzia kwa ufupi na kwa lugha nyepesi maana ya sura za Qur'ani Tukufu.
Mwandishi anasema katika kitabu hicho kwamba, Qur'ani ni mwongozo wa watu wote duiani wakiwemo Wakristo, Mayahudi na hata wanaopinga kuwepo kwa Mwenyezi Mungu, Mabudha na wasiokuwa na dini.
Kitabu hicho kimepachapishwa na Shrika la Uchapishaji la Ilya. 370842