Kwa mujibu wa tovuti ya Mkombozi wa Mwisho, kikao hicho kitaanza sambamba na kuwadia siku ya kupewa uimamu Imam Mahdi ambaye ni Imamu wa Zama (af).
Kwa mujibu wa ratiba ya kikao hicho, viongozi kadhaa wa ngazi za juu wa serikali wamezungumza katika kikao hicho. 373619