Maadhimisho ya wiki hii ikiwa ni pamoja na maadhimisho ya Wiki ya Umoja wa Kiislamu yataendelea hadi Jumanne tarehe 17.
Sherehe za kuadhimishwa minasaba hii miwili muhimu ambapo pia maulidi ya Mtume Mtukufu (saw) inaadhimishwa, zitafanyika katika misiki na vituo mbalimbali vya kidini vya mji huo wa Pakistan.
Sherehe hizo zinafanyika kwa ushirikiano wa Kitengo cha Utamaduni cha Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na vilevile Taasisi ya Qur'ani ya Karachi. 376684