Mashindano hayo yaliwashirikisha wasomaji 30 mashuhuri kutoka mikoa 9 ya Ghana. Mashindano hayo yalihusisha nyanja za kusoma Qur'ani nzima, juzuu 15 na kiraa ya Qur'ani Tukufu.
Kwa mara ya kwanza wasomaji Qur'ani wa kike pia walishiriki katika mashindano hayo na kufanikiwa kushinda nafasi za kwanza.
Mashindano hayo ya taifa ya Qur'ani yamesimamiwa na majaji wa Kighana. 378202