IQNA

Kitabu cha “Uislamu Nchini Zambia” chachapishwa

17:12 - April 08, 2009
Habari ID: 1762210
Kitabu cha Uislamu Nchini Zambia kimechapishwa na kuanza kusambazwa katika mji mkuu wa nchi hiyo Lusaka.
Kitabu hicho kilichoandikwa na Felix Pierre, kinazungumzia hali ya Waislamau wa Zambia na vituo vya Kiislamu nchini humo.
Vilevile kinaeleza historia ya kuingia Uislamu nchini Zambia na picha za misikiti na vituo vya Kiislamu.
Kitabu cha Uislamu Nchini Zambia kina kurasa 268. 384282

captcha