IQNA

Mkutano wa Demokrasia, Utamaduni na Dini kufanyika Uholanzi

21:11 - April 10, 2009
Habari ID: 1762749
Mkutano wa Demokrasia, Utamaduni na Dini unatazamiwa kufanyika nchini Uholanzi ukisimamiwa na Chuo cha Tiba cha nchi hiyo.
Washiriki katika mkutano huo uliopangwa kufanyika baadaye mwaka huu watajadili suala la demokrasia, njia za kuineza, utamaduni na dini.
Masuala mengine yatakayojadiliwa katika mkutano huo ni pamoja na uhuru na mipaka ya kidini na kidemokrasia na Uislamu na demokrasia. 385069
captcha