Kwa mujibu wa Saphirnews, kikao hicho kitafanyika kwa ushirikiano wa jumuiya za Kiislamu za miji ya Brive-la-Gaillarde na Guéret.
Maonyesho mbalimbali yanayohusiana na ulimwengu wa Kiislamu yataandaliwa, na makundi ya kiutamaduni na sanaa kutekeleza ratiba mbalimbali za burudani. 388126