Mkutano huo ambao utahudhuriwa na jumuiya na taasisi 60 za vyuo vikuu duniani, utajadili masuala mbalimbali kuhusu mustakbali wa vyuo vikuu.
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Vyuo Vikuu vya Ulimwengu wa Kiislamu Mustafa Ahmad Ali pia atahudhuria mkutano huo wa tatu wa taasisi hiyo. 389933