Baada ya kuwasili nchini ujumbe wa Jumuiya ya Mashahidi wa Sudan ulizuru haram ya Imam Khomeini na kukagua Taasisi ya Shahidi ya Iran. Ujumbe huo unatazamiwa kukagua taasisi za jumuiya hiyo katika miji mbalimbali hapa nchini na kufanya mazungumzo na viongozi wa ngazi mbalimbali. 390741