Waziri wa Elimu ya Juu ya Senegal Moustapha Sourang amesema kuwa chuo hicho cha Kiislamu kitajengwa katika eneo la Diamniadio pamoja na serkondari ambayo itajengwa katika eneo la Keur Massar.
Waziri Sourang amesema kuwa utekelezaji wa miradi hiyo utagharamiwa na Wizara ya Masuala ya Kidini ya Saudia.
Amesisitiza kwamba Senegal pia inajenga Kituo cha Utafiti wa Masuala ya Kiislamu. 393551