Kongamano hilo lilofanyika 26 Aprili lilitayarishwa na wanachama wa Jumuiya ya Wataalamu wa Quran Tukufu katika Taasisi ya Harakati za Quran ya Wanachuo nchini Iran.
Katika kongamano hilo, Hujjatul Islam wal Muslimin Sayyed Samamudin Qavami mtaalamu mwandamizi wa masuala ya kidini alitathmini namna ya kuipa miji utambulisho wa Kiislamu. Kikao hicho ni cha nne katika silisili ya vikao vitakavyofanyika katika kipindi cha mwaka mmoja ujao. 394292