Muhammad Reza Purzargari, mmoja kati ya maqari wa kimataifa wa Iran ameyasema hayo na kuongeza kuwa maqari vijana hawapasi kuridhika na kusikia visomo vya kari mmoja au wawili tu duniani.
Amesema wasomaji wanaojufunza na walio katika kiwango cha kuwaiga wengine wanapaswa kuzingatia zaidi suala la lahn ili waweze kujistawisha katika kusoma Qur'ani Tukufu. Aidha amewataka maqari kujitahidi kusoma kwa njia sahihi . 400068