Vituo viwili vipya vya mafunzo ya Quran Tukufu vijulikanavyo kama 'Sayyeda Ruqaiya (SA) ' na 'Abdulla bin al Hussein (AS) vimefunguliwa na Taasisi ya Misaada ya Imam Ali (AS) chini ya usimamizi wa Ayatollah Mohammad Taqi Modarresi, mwanazuoni wa ngazi za juu wa Kishia katika mji mtakatifu wa Karbala nchini Iraq.